UTAFITI MBALIMBALI KATIKA DINI NA SAYANSI
IMEANDALIWA NA AL-AMIN ALI HAMAD
Dakitari Wa Elimu Ya Kizazi(Embryology) Bwana Keith Moore Alifanya Utafiti Wa Aya Za Kuruani Na Elimu Ya Kizazi Na Akashagaa Sana Kukuta Kuruani Inazungumzia Elimu Hiyo Kwa Ufafanuzi Wa Hali Ya Juu Bila Ya Kosa Na Vyombo Vya Vya Kisasa Kama Vile Microscope Na Vinginevyo Vinathibitisha Hayo .
MUUJIZA KUHUSU ELIMU YA KIZAZI (EMBRYOLOGY) KATIKA KURUANI
Maisha Ya Keith Moore
Bwana Keith Moore ni Profesa Aliyestaafu katika kiwanja cha Elimu ya Anatomy (ambayo ni Elimu inayohusiana na sayansi ya maumbile ya vilivyo hai kama vile umbo la binadamu, wanyama, vidudu, ndege, miti na vinginevyo) Katika Idara ya Operasheni (upasuaji au Surgery). Alikuwa Mkurugenzi wa Elimu hii kuanzi mwaka wa 1974 mpaka 1984 na Alihusika pia na Elimu za Madawa katika kitivo (faculty of medicine) cha Madawa katika Chuo kikuu cha Toronto, Ontario, Canada. Na pia alifanya kazi katika Chuo Kikuu cha King Abdulaziz huko Saudi Arabia.
Vitabu Alivyoviandika na Nishani Alizopata
Katika vitabu vyake maarufu kama vile “Clinically Oriented Anatomy” ambacho ni kitabu maarufu sana ulimwenguni kinachotumika katika vyuo vya matibabu ulimwenguni, Madakitari wa kawaida na pia Madakitari wa matibabu ya viungo. Kitabu hicho maarufu sana, kimefasiriwa katika lugha mbalimbali za ulimwenguni.
Kitabu cha pili “Essential Clinical Anatomy”
Katika kuviandaa Vitabu hivi alishiriakiana na wanavyuoni wengine kama vile Profesa Arthur au Profesa Anne.
Alitunikiwa kupata nishani mbalimbali kwa ajili ya uhodari wake katika uwanja huo; The American Association of Clinical Anatomists walimtunukia Dr. Moore na Honored Member Award (katika mwaka 1994).
Bwana Keith Moore na Kuruani Kwa Ufupi
Huko Saudi Arabia alisikia kwamba kuna aya mbalimbali katika kuruani ambazo zinataja elimu zinazohusiana na Elimu ya Kizazi na akashangaa sana kuona Kuruani ambayo ilishuka katika karne ya saba ambapo hakuna aliyejua Elimu ya kukua kwa mtoto katika tumbo la mama (Stages of Enbryo) Developement) Yaani Daraja mbalimbali Za kukua kwa mtoto katika tumbo la mama. Katika Karne ya 17 Bwana Leeuwenhoek aligundua darubini ya kwanza ambayo ilisaidia kuchunguza daraja mbali mbali za kukua katika tumbo la kizazi cha kifaranga.
Bwana Keith Moore akakiri kuwa Kuruani siyo maneno ya binaadamu bali alishushiwa mtume Mohamed (Salam na Amani za Mola Zimfikie). Hakuna uhakika kama aliingia katika uislamu (kama kichwa cha Video hii inavyosema). Lakini alikubali Kuruani kuwa ni yake Mola.
Baadhi Ya Aya Za Kuruani Ambazo Zinahusiana Na Elimu Ya Uzazi Na Alizoshughulika Nazo Dakitari Bwana Keith Moore
Tafsiri Ifuatayo kutoka Sura Ya Azumar Aya namba 6
He creates you in your mother’s womb, creation after creation, in a third of your darkness.
“Anakuumbeni katika matumbo ya mama zenu umbo baada ya umbo katika viza vitatu”
1-Ukuta wa Ngozi Ya Tumbo (Abdominal Wall)
2-Ukuta wa ngozi ya Tumbo la kizazi (Uterine Wall)
3-Na ukuta ambao kama mfuko unaozungukia mtoto mchanga ambaye mdogo sana (Amniotic Sac)
Kwa hiyo kuta hizi zote tatu zinamlinda mtoto asipatwe na dhara yeyote inayotokana na joto au baridi au chochote kile cha hatari. Kila ukuta una kazi mbalimbali ambapo unataka maandishi mengi kuelezea kazi hizo nasi tutatosheka na haya mafupi. Kufuatana na elimu wakati huo wa karne ya saba haikuwezekana kwa watu kuelewa habari hizi na kuweza kuandika elimu kama hii.
Aya zifuatazo kutoka katika sura ya Muuminun Aya namba 12 mpaka 14 zinatuelezea daraja mbalimbali za kukua kwa mtoto katika tumbo la mama
And We certainly created man from a stream of clay (12) Then We made him a sperm-drop in a solid place (13) Then He was created The sperm is a clot, so We made the clot a lump of flesh, then We made the embryo from bone, and clothed us with the bones Then We created him as another creation, so blessed be God, the best of creation (14)
Aya namba 12
Aya namba 13 “Kisha tukamuumba kwa tone la manii (mbegu ya uzazi zinazotokana na wazazi; baba na mama) lililowekwa katika makao yaliyohifadhika” (Yaani katika Uterus au tumbo la uzazi)
Aya namba 14 “Kisha tukalifanya tone hilo kuwa pande la damu, na tukalifanya pande la damu hilo kuwa pande la nyama, kisha tukalifanya pande la nyama hilo kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama, kisha tukamfanya kiumbe kingine, Basi ametukuka mwenyeezi mungu Mbora wa wa umbaji “
Tafsiri ya Aya ifuatayo kutoka katika sura ya Al-Haj aya namba 5 inazungumzia habari za maumbile:
O people, if you are in doubt about the Resurrection, then I created you from dust, then from a sperm-drop, then from a suspension. Then from a developed embryo, formed and unformed, that We may make clear to you and establish in the wombs what We will for a term. ۬ Named Then We will bring you out as infants Then that you may reach the most severe of you, and of you is he who dies, and of you is he who is returned to me The most insignificant life He knows a thing from me after knowing a thing
Enyi watu! kama mumo katika shaka juu ya ufufuo; (mnaona haimkiniki kufufuliwa), basi (tazameni namna tulivyokuumbeni): Kwa hakika tulikuumbeni kwa udongo (kama Mzee wetu Nabii Adamu alivyoumbwa kwa udongo) kisha kwa manii (ambayo inatokana na vyakula tunavyokula vinavyotoka ardhini na vimejengwa na elementi mbalimb ali za udongo, nasi wote tunatokana na udongo pia) Kisha (manii hayo) yanageuka kuwa kipande cha damu, kisha (damu hiyo huwa kipande cha nyama kinachoumbika kwa sura na kisichoumbika kwa sura (katika tumbo la mama katoto bado kadogo sana mwanzoni huwa sehemu za mwili zinaonyesha viungo mbalimb ali vinavyotambulikana na sehemu nyinginezo bado hazina sura yeyote wala mfano wowote wa kiungo chochote cha binadamu)ili tukubainishieni (kudra zetu). Nasi tunakikalisha matumboni tunachokitaka mpaka muda uliowekwa kisha Tunakutoeni katika hali ya ototo. Kisha (Tunakuleeni) ili mfikie (umri) wa kubaleghe (maturity) Na kuna wanaofishwa (Na Mwenyeezi Mungu kabla ya kufikia umri huu) Na katika nyinyi wako wako wanaorudishwa katika umri (wa uzee) katika hali dhalili, wasijue chochote baada ya kule kujua kwao. (Binaadamu anapozeeka sana anakuwa kama mtoto na anapoteza elimu yote aliyokuwa nayo alipokuwa kijana na huu ndio ukweli ambao tumaona kila siku kwa macho yetu)
Kuruani Na Elimu Ya Uzazi
Haya tuliyataja hapo juu ni kwa ufupisho. Lakini kuna utafiti mbalimbali kuhusu elimu hii katika kuruani tukufu imefanywa na manavuoni mbalimbali ulimwenguni. Na hii inaonyesha utukufu wa kuruani kwani ni kitabu cha miujiza. Sicho kitabu cha sayansi bali alama zake mola zinazolinda maneno aliyoshushiwa mtume Mohamed (Salaam na Amani za Mola ziwe juu yake) na Pia kuwatia imani wacha mungu katika kila karne
MUUJIZA WA NAMBA KATIKA KURUANI TUKUFU
SALA ZA FARDHI 5, SUNNAH 12, NA RAKAA 17 INALINGANA NA HESABU YA AYA MUUJIZA WA KWANZA NI IDADI ZA SALA TANO Prayers (SALA)
Muujiza wa ajabu kwani Aya zinazohusu sala nazo kwa idadi katika kuruani zipo tano tu katika kuruani nzima. Aya zote tano hapa chini zimetumia neno Prayers (SALA). Na kwa kweli idadi za aya na neno salwaat inalingana na sala tulizoamrishwa. .
1 Sura Ya Albakarah Aya Namba 157- Chapter (2) sūrat l-baqarah (The Cow)
On them are blessings from their Lord and mercy, and those are the ones who are rightly guided.
They are those on whom (Descend) blessings from Allah, and Mercy, and they are the ones that receive guidance.
————————————————– ——————————
2 Sura Ya Albakarah Aya Namba 238- Chapter (2) surat l-baqarah (The Cow)
Preserve the prayers and the middle prayer, and stand obedient to God
Maintain with care the [obligatory] prayers and [in particular] the middle prayer and stand before Allah, devoutly obedient.
————————————————– ——————————
3 Sura Ya Attawbah Aya Namba 99-Chapter (9) sūrat l-tawbah (The Repentance)
And among the Bedouins is he who believes in God and the Last Day, and takes what he spends as nearness to God and the prayers of the Messenger. God will admit them into His mercy. Indeed, God is Forgiving, Merciful.
But among the bedouins are some who believe in Allah and the Last Day and consider what they spend as means of nearness to Allah and of [obtaining] invocations of the Messenger. Unquestionably, it is a means of nearness for them. Allah will admit them to His mercy. Indeed, Allah is Forgiving and Merciful.
————————————————– ——————————
4 Sura Ya Alhajj Aya Namba 40-Chapter (22) sūrat l-ḥaj (The Pilgrimage)
Those who were expelled from their homes unjustly, except to say, “Our Lord is God.” And gatherings, and selling, and prayers, and mosques, in which the name of God is much mentioned, and let God help those who help him. Indeed, God is powerful, mighty.
[They are] those who have been evicted from their homes without right – only because they say, “Our Lord is Allah.” And were it not that Allah checks the people, some by means of others, there would have been demolished monasteries, churches, synagogues, and mosques in which the name of Allah is much mentioned. And Allah will surely support those who support Him. Indeed, Allah is Powerful and Exalted in Might.
————————————————– ——————————
5 Sura Ya Amuuminuwna Aya Namba 9-Chapter (23) sūrat l-mu’minūn (The Believers) And they who carefully maintain their prayers
————————————————– ——————————
MUUJIZA WA PILI NI KIPANDE CHA AYA and establish prayer (SIMAMISHA SALA)
Ajabu nyingine ni kipande cha aya kinachosema “simamisha sala” imeshuka katika kuruani nzima katika aya tano tu hapa chini. Inashangaza kwani inalingana na tulivyoamrishwa tusali sala tano. Huu ni muujiza katika miujiza chungu nzima katika kuruani na hii inathibitisha kwamba kuruani siyo maneno ya mtume bali mwenyeezi mungu mtukufu.
1 Sura Ya Hud- Aya namba 114-Chapter (11) sūrat hūd (Hud)
And establish prayer at the two ends of the day and at the very beginning of the night. Indeed, good deeds remove evil deeds. This is a reminder to those who remember.
And establish prayer at the two ends of the day and at the approach of the night. Indeed, good deeds do away with misdeeds. That is a reminder for those who remember.
————————————————– ——————————
2 Sura Ya Isra-AYA NAMBA 78-Chapter (17) sūrat l-isra (The Night Journey)
Establish the prayer from the declining of the sun until the darkness of the night, and the Quran of dawn, for the Quran of dawn is witnessed.
Establish prayer at the decline of the sun [from its meridian] until the darkness of the night and [also] the Qur’an of dawn. Indeed, the recitation of dawn is ever witnessed.
————————————————– ——————————
3 Sura Ya Taha-AYA NAMBA 14- Chapter (20) sūrat ṭā hā
I am God, there is no god but me, so worship me and establish prayer for my remembrance
Indeed, I am Allah. There is no deity except Me, so worship Me and establish prayer for My remembrance.
————————————————– ——————————
4 Sura Ya al-Ankabūt (The Spider)
Recite what has been revealed to you of the Book and establish prayer, for prayer forbids indecency and evil, and the remembrance of God is greater, and God is the greatest. Know what you are doing
Recite, [O Muhammad], what has been revealed to you of the Book and establish prayer. Indeed, prayer prohibits immorality and wrongdoing, and the remembrance of Allah is greater. And Allah knows that which you do. ————————————————– ——————————
5 Sura Ya Luqman-AYA NAMBA 17-Chapter (31) sūrat luq’mān
O my son, establish prayer, enjoin what is right and forbid what is wrong, and be patient over what befalls you.
my son, establish prayer, join what is right, forbid what is wrong, and be patient over what befalls you. Indeed, [all] that is of the matters [requiring] determination.
————————————————– ——————————
MUUJIZA WA TATU NI IDADI YA SALA ZA SUNNAH RAKAA KUMI NA MBILI
Muujiza wa tatu ni sala za sunnah ambazo ni ajabu kwani aya zinazotumia kipande cha Aya “And establish prayer” yaani “SIMAMISHENI SALA” zimashuka idadi kumi na mbili tu katika kuruani takatifu kama tunavyoona hapa chini.
1 Sura Ya Al Bakarah Aya Namba 43-Chapter (2) sūrat l-baqarah (The Cow)
And establish prayer and pay the zakat and bow with those who bow
And establish prayer and give zakah and bow with those who bow [in worship and obedience].
————————————————– ——————————
2 Sura Ya Albakarah Aya Namba 83-Chapter (2) sūrat l-baqarah (The Cow)
And when We took a covenant from the Children of Israel, that you shall not worship except God, and be kind to parents, and to kindred, and to orphans, and to the needy, Speak good to people and establish prayer and pay the zakat, then you turned away, except for a few of you, and you turned away.
And [recall] when We took the covenant from the Children of Israel, [enjoining upon them], “Do not worship except Allah; and to parents do good and to relatives, orphans, and the needy. And speak to people good [words] ] and establish prayer and give zakah.” Then you turned away, except a few of you, and you were refusing.
————————————————– ——————————
3 Sura Ya Albakarah Aya Namba 110- Chapter (2) surat l-baqarah (The Cow)
And establish prayer and pay the zakat, and whatever good you put forward for yourselves, you will find it with God. Indeed, God is Seer of what you do. , and whatever good you put forward for yourselves – you will find it with Allah. Indeed, Allah of what you do, is Seeing.
————————————————– ——————————
4 Sura Ya Annisaa Aya Namba 77-Chapter (4) sūrat l-nisāa (The Women)
Have you not considered those who were told to restrain your hands and establish prayer and pay the zakat? But when fighting was ordained for them, behold, a party of They fear people as the fear of God or worse, and they say, “Our Lord, why did You ordain for us to fight, had You not delayed us for a term?” Near, say, the enjoyment of this world is little, and the Hereafter is better for those who fear God and Do not wrong a fuse
Have you not seen those who were told, “Restrain your hands [from fighting] and establish prayer and give zakah”? But then when fighting was ordained for them, at once a party of them feared men as they feared Allah or with [even] greater fear. They said, “Our Lord, why have You decreed upon us fighting? If only You had postponed [it for] us for a short time.” Say, the enjoyment of this world is little, and the Hereafter is better for him who fears Allah. And injustice will not be done to you, [even] as much as a thread [inside a date seed].”
————————————————– ——————————
5 Sura Ya AlAnaam Aya Namba 72- Chapter (6) sūrat l-anʿām (The Cattle) and to establish regular prayers and to fear Allah: for it is to Him that we shall be gathered together.”
————————————————– ——————————
6 Sura Ya Yunus Aya Namba 87-Chapter (10) surat yūnus (Jonah)
And We revealed to Musa and his brother that you settle in houses for your people in Egypt, and make your houses a qiblah, and establish prayer and give glad tidings to Allah. Believers
We inspired Moses and his brother with this message: “Provide dwellings for your people in Egypt, make your dwellings into places of worship, and establish regular prayers: and give glad tidings to those who believe!”
————————————————– ——————————
7 Sura Ya Annuur Aya Namba 56-Chapter (24) sūrat l-nūr (The Light)
And establish prayer and give zakat and obey the Messenger that you may receive mercy.
————————————————– ——————————
8 Sura Ya Arrum Aya Namba 31-Chapter (30) sūrat l-rūm (The Romans)
repenting to Him, and fear Him, and establish prayer, and be not of the idolaters.
turning in repentance to Him, and fearing Him and establishing prayer and not being of those who associate others with Allah
————————————————– ——————————
9 Sura Ya Almuzzamil Aya Namba 20-Chapter (73) sūrat l-muzamil (The One wrapped in Garments)
Indeed, your Lord knows that you get up in prayer less than two-thirds of the night, half of it, and a third of it, and a group of those with you, and God decrees the night and The day He knew that you would not count it, so He accepted your repentance, so recite what is easy of the Qur’an, knowing that there will be among you sick and others poor. usurers in the land seeking from God’s bounty and Others fight in the way of God, so recite what is easy of it and establish prayer and pay the zakat and lend God a good loan and do not Provide for yourselves some good that you will find with God, it is better and greater in reward, and ask forgiveness from God, for God is Forgiving, Merciful.
Indeed, your Lord knows, [O Muhammad], that you stand [in prayer] almost two thirds of the night or half of it or a third of it, and [so do] a group of those with you. And Allah determines [the extent of] the night and the day. He has known that you [Muslims] will not be able to do it and has turned to you in forgiveness, so recite what is easy [for you] of the Qur’an. He has known that there will be among you those who are ill and others traveling throughout the land seeking [something] of the bounty of Allah and others fighting for the cause of Allah. So recite what is easy from it and establish prayer and give zakah and loan Allah a goodly loan. And whatever good you put forward for yourselves – you will find it with Allah. It is better and greater in reward. And seek forgiveness from Allah. Indeed, Allah is Forgiving and Merciful.
————————————————– ——————————
10 Sura Ya Annisaa Aya Namba 103-Chapter (4) sūrat l-nisāa (The Women)
So when you finish the prayer, remember God standing, sitting, and on your sides, and when you are at ease, establish the prayer. A fixed book is imposed on the believers
And when you have completed the prayer, remember Allah standing, sitting, or [lying] on your sides. But when you become secure, re-establish [regular] prayer. Indeed, prayer has been decreed upon the believers a decree of specified times.
————————————————– ——————————
11 Sura Ya Alhaj Aya Namba 78-Chapter (22) sūrat l-ḥaj (The Pilgrimage)
And strive for God as He deserves to strive, He has chosen you and has not placed upon you any hardship in religion. We were peaceful before and in this, so that the Messenger may be a witness against you and you will be witnesses against the people, so establish prayer and pay the zakat and keep Loyalty to God, he is your master, so yes, the master, and yes. the champion
And strive for Allah with the striving due to Him. He has chosen you and has not placed you in the religion with any difficulty. [It is] the religion of your father, Abraham. Allah named you “Muslims” before [in former scriptures] and in this [revelation] that the Messenger may be a witness over you and you may be a witness over the people. So establish prayer and give zakah and hold fast to Allah. He is your protector; And excellent is the protector, and excellent is the helper.
————————————————– ——————————
12 Sura Ya Almujadalah Aya Namba 13-Chapter (58) sūrat l-mujādilah (She That Disputeth)
Do you fear that you should offer alms in the hands of your conspiring, then if you do not do it and God has forgiven you, then establish prayer and pay the alms tax Oh, and obey God and His Messenger, and God is Aware of what you do.
Have you feared to present before your consultation charities? Then when you do not and Allah has forgiven you, then [at least] establish prayer and give zakah and obey Allah and His Messenger. And Allah is acquainted with what you do.
————————————————– ——————————
MUUJIZA WA NNE NI JUMLA YA RAKAA ZA FARDHI NI 17
Ukijumlisha aya za perform the prayer “simamisheni sala” ambazo ni 12 na ambazo ni 5 utapata idadi 17 ambazo ni Rakaa za Fardhi. Kwa kweli inashangaza sana kila herufi, maneno na aya zimepangwa kiajabu na kwa ufundi wa hali ya juu ambao unatupita ufundi. Kwa kweli Mwenyeezi Mungu ana Elimu kubwa sana kama anvyojiita mwenyewe “Aliym” tunaona kwa macho yetu. Allahu Akbar, Allahu Akbar.
EVOLUTION (KUKUA NA MABADILIKO)
Falsafa ya Wanavitu au “Materialist Philosophy”
Nadharia ambayo inakubali “Matter” tu ndiyo kila kitu (yaani vitu tunavyoviona kwa macho) Na inakataa kuwepo kwa mungu. Asili ya falsafa hii ilianzia huko Ugiriki katika karne za nyuma na kuamshwa tena na mashabiki wa falsafa katika karne ya 18. Na kiongozi wa mashabiki ni Mwingereza aliyejulikana kwa jina la Darwin ambaye alianzisha Nadharia hii kwa jina la evolution. Nadharia inasema kwamba kila kiumbe katika ulimwengu huu kimezuka kienyeji na kutokana na Mazingara. Kwa mfano Wanaamini kwamba Mnyama “Twiga” asili yake alikuwa na shingo fupi lakini how vile majani ya miti yapo juu basi Mazingara haya yalisababisha Twiga atumie nguvu zaidi ili kufikia majani hayo kwa chakula na hatimaye shingo yake ikarefuka. Basi huu ndio mfano wa Evolution kwa njia ya “Natural Selection” yaani kwa njia ya Kuathiriwa na mazingara. Nadharia hii imeshaanguka na imepigwa vita vikali na wanasayansi wakubwa ulimwenguni. Kwa kifupi imeshatiwa katika debe la taka la Historia. Baada tu ya Kuja kwa Elimu Ya Genetics na wanasayansi Kugundua DNA katika Cells (Seli) ambayo in habari zetu zote basi Nadharia hii ikaangushwa. Leo hii bado wapo wajinga wanaoamini watu ambao hawana elimu yeyote. Na Muujiza mkubwa Kuruani imejibu nadharia hii katika aya zifuatazo. Mwenyeezi Mungu Anasema katika Kuruani Tukufu: Na Muujiza mkubwa Kuruani imejibu nadharia hii katika aya zifuatazo. Mwenyeezi Mungu Anasema katika Kuruani Tukufu: Na Muujiza mkubwa Kuruani imejibu nadharia hii katika aya zifuatazo. Mwenyeezi Mungu Anasema katika Kuruani Tukufu:
Sura Namba 16-Sura Ya Annahl Aya Namba 8
And horses, and mules, and donkeys, so that you may rear them and adorn them, and He creates that which you do not know.
Amejaalia Farasi, Nyumbu, Na Punda ziwe vipandio na pia marembo na Mwenyeezi Mungu anaendelea kuumba msiyoyajua. (Aya Hii Mwenyeezi Mungu anajibu suala la evolution kwamba yeye ndiyo mwenye kuleta hayo maumbile na ni yeye ndiye aumbae. Hakuna kienyeji bali mabadiliko yeyote yanatokana na yeye mwenyewe. Ni yeye ndiye anayeendelea kuumba mpaka mwisho wa dunia. We kuna Viumbe vingine vi po katika kuumbwa na wala hatuvijui na hii ndiyo Evolution yetu sisi Waislamu na siyo hiyo ya Kina Darwin wa huko Uingereza tusidanganyike Hao hawana kazi bali kujidanganya na kudanganya watu wajinga.
Sura Namba 28-Sura Ya Alqasas Aya Namba 68
And your Lord creates what he wills and selects what is the good for them
Mwenyeezi Mungu anaumba anachotaka na anachagua, nyinyi hamna uchaguzi , Mwenyeezi Mungu aliyetukuka ametakasika na wanayoshiriki (Nadharia ya Darwin Inadai kwamba kila kiti chenye uhai kimezuka na kukua na kubadilika kufuatana na Mazingara. Katika sehemu niliyopigia Mstari hapa juu Mwenyeezi Mungu Anajibu anasema Anaumba anachotaka na yeye ndiyo anaye chagua na siyo Mazingara kama wanavyodai kina Darwin na Mashabiki wengineo. Hapa Nadharia ya Darfwin inayohusiana na “Natural Selection” inaangushwa na Mwenyeezi Mungu anaposema hapa Juu kwamba yeye ndiye anayesababisha “Selection” na siyo Mazingara. Ndugu Waislamu Kuweni Macho. Hawa siyo Wanasayansi bali wamedanganyika Tuwaombee Mungu awape mwanga Kwani wamepotea.
Sura Namba (71) Sura Ya Nuhu Aya 13, 14 Na 15
What is the matter with you that you do not hope for reverence for God? (13) And He has created you in phases. (14) Have you not seen how God has created the Seven Sublime? ٬Tabaqa (15)
Mbona hamweki tegemeo kwake Mwenyeezi Mungu kwamba atatulipa ujira? N a hali ya kwamba ametuumba katika daraja (stages) mbalimbali. Je hamuoni namna alivyoumba matabaka ya mbingu saba. (Katika Nadhari Ya Darwin na Mashabiki wa nadharia yake wanatuambia kwamba mazingara ndiyo sababu ya viumbe ulimwenguni na sisi binaadamu asili yetu huko nyuma tulikuwa manyani. Na nadharia hii inasema kwamba imechukuwa muda mrefu kufanyika hayo. Mwenyeezi Mungu hapa anajibu kwamba Ame tuumba katika daraja (stages) mbalimbali.Na hii ndilo jibu lililo safi.Ametuumba na anendelea kuumba daraja baada ya daraja kwa mpango na kwa muda na siyo kienyeji.Nimepigia mstari hapa juu kwani inahusiana na wakati au Stage by Stage kwa kiingereza.Msidanganyike Waislamu kuweni Macho.Analia Jibu wan alopewa wajinga hapa juu katika aya ya kuruani Tukufu.
Surah Namba 15-Surat Ya Alhijr
They do not believe in it, and the year of the ancients has passed (13) And if We had opened for them a door from the heavens, they would have remained in it. (14) They would have said: Our eyes are only intoxicated, but we are a people bewitched (15)
Hawataamini Na hali ya kwamba mifano ipo kwa wale waliotangulia. Na hata tungefungua mbingu na hali ya kwamba wakaweza kupaa angani kwenda juu na kuendelea juu na juu basi wangelisema kwamba macho yetu yameleweshwa na kwa hakika sisi ni watu tuliotiliwa uchawi.
MUUJIZA WA KIHISTORIA NA PIA KISAYANSI Sura Ya Al-Rum (The Romans)Namba 30 Aya Namba 2-5
Sura Ya Al-Rum (The Romans) Namba 30 Aya Namba 2-5
The nations (1) The Romans have been defeated (2) In the nearest part of the earth, and after their victory they will be defeated (3) In a few years, for God’s sake. There is no command before and after, and on this day, the believers will rejoice (4) in the help of Allah. He helps whom He wills. And the Mighty, the Merciful (5)
Tafsiri Ya Aya Hii:
l. Alif Lam Mym.
2. Warumi wameshindwa
3. Katika nchi iliyo karibu (na nchi ya Bara Arabu. Nayo ni Shamu); nao baada ya kushindwa kwao, watashinda
4. KatiKa myaka michache; Amri ni ya Mwenyezi Mungu kabla (yake) na baada (yake); na siku hiyo Waislamu watafurahi
5. Kwa nusura ya Mwenyezi Mungu (atakayowapa wao. Nayo ni kuwashinda Makureshi siku hiyo). (Mwenyezi Mungu) humnusuru Amtakaye; naye ni Mwenye nguvu (na) Mwenye rehema.
Sura Ya Romans inajulikana kutokana na habari za Warumi. Walipewa bishara (habari nzuri) na Mwenyeezi Mungu kwamba hapo baadaye watashinda vita vitakavyokuwa baina yao na Waajemi au Wafarsi (Iran Ya leo) Ijapokuwa Waajemi walishinda hapo awali na Warumi kushindwa kabisa na hakuna tamaa yeyote kwamba watashinda tena, Miliki za Warumi zilikuwa zilikuwa mechukuliwa na waajemi na hakuwa na ishara yeyote inayooonyesha kwamba watashinda tena. Sura hii ilishuka Huko Mecca kabla ya Hijra. Hizi Falme mbili zilikuwa kubwa sana kwa wakati huo.
Habari and kushinda Vita Waajemi hapo awali zilipofika Mecca Makafiri walifurahi sana, Kwani Waajemi walikuwa wanaabudu masanamu kama hao Makafiri na hao Makafiri wakasema kuwaambia Waislamu kwamba Hao Warumi ni wakristo wenye kitabu kama nyinyi yaani Waislamu kitabu chao ni Kuruani na wameshindwa na makafiri na hii ni dalili Kwamba Nanyi pia Mtashindwa kama wao yaani Tutakushindeni.
Hapa Kuruani inatangaza Aya Hizi zanye Bishara (Habari Nzuri) Mbili: Kwanza Baada ya Miaka 9 Waajemi Watashindwa Vita na Bishara Ya Pili Ni Kuwa Waislamu Watafurahi Pia kwani Makafiri wa Mecca Watashindwa.
Na katika Mwaka 624 Kiracleus Mfalme wa Warumi Alishinda Vita Na kuingia Madayin Katika Nchi Ya Ajemi. Na pia Katika Mwaka Huu Huu Waislamu 313 walilishinda jeshi la makafiri 1,000 (mastadi wa vita waliokuja kwa nia ya kuangamiza) Na hapa Bishara iliyotangazwa katika Sura Hii Ikatimia.Wataalamu Wa Kiislamu Wanatuambia Kwamba Maneno “Adna Alardh” in the ۡنَا ڪلۡاَرۡدِ lina maana mbili;
Kwanza-Katika nchi iliyo karibu (na nchi ya Bara Arabu. Nayo ni Shamu). Pili-Sehemu Ya ardhi iliyo chini sana Duniani. Na Kisayansi Sehemu Ya chini sana Duniani ni Katika Dead Sea (Bahari Iliyokufa).
Kwa hiyo Vita hivyo Vilitokea katika Sehemu Hiyo Ya Pwani Ya Dead Sea ambayo pia ipo karibu Na Shamu.
Muujiza Juu Ya Muujiza.
Muujiza Wa Kwanza-Habari Za Ushindi Wa Warumi Miaka Kabla Kutokea Muujiza Wa Pili-Ushindi wa Waislamu Miaka Kabla Ya Kutokea
Muujiza Wa Tatu-Mwenyeezi Mungu Kutujuulisha kwamba Katika Dunia kuna Sehemu iliyo chini sana kwa kipimo Cha Bahari.
Na Leo Hii Wataalamu Wanatuthibitishia kwamba Dead Sea (Bahari Iliyokufa) Ndiyo sehemu ya chini sana Duniani kuliko sehemu Yeyote. Yaani Kwa kipimo cha Bahari ni Mita 423 au futi 1388 chini ya kipimo cha bahari (423 m or 1388 ft below sea level) Na Hapo Ndipo Vita Vilitokea na Warumi Kushindwa.
RESEARCHES(UTAFITI) MPANGILIO WA SURA NA AYA HALI YA JUU KATIKA KURUANI TUKUFU-USANIFU WA HALI YA JUU UNAOTUTOA JASHO-NAMBA 777 NDANI YA KURUANI.
UTAFITI WA KWANZA NAMBA 777
Kuna Sura Mbili tu katika Kuruani Tukufu Ambazo zote mbili zina Aya 7
Sura Ya Alfatiha hii sura in Aya 7 (Pamoja Na Aya ya kwanza yaani Basmallah)
Sura Ya Al-Mauun..Hii sura Ina Aya 7 Pia nayo ni sura namba 107
Sura Zote mbili zinashirikiana idadi ya namba za aya zake
Sura Ya Al-Mauun ni ya 107 na baada ya hapo kuna sura 7 mpaka mwisho wa kuruani Tukufu.
Namba za sura hizi ni kama zifuatazo
Kuanzia 108 mpaka 114
Na ukijuumlisha utapata namba 777
108 + 109 + 110 + 111 + 112 + 113 +114 = 777
Hii Namba 777 inashanaza sana kwani kama tulivyoona katika sherehe ya namba 7 katika mlango wa “elimu” website hii kwamba namba 7 ni mojawapo na namba zilizopewa utukufu na Mwenyeezi Mungu
UTAFITI WA PILI NAMBA 777
Katika Kuruani kuna sura 12 ambazo namba za sura zake zinaishia na namba 7 na Sura ya Al-Mauun ndiyo ya mwisho katika hizi 12,ina aya 7 na namba ya sura ni 107
Na sura hizo tutazitaja na tutaihesabu Alfatiha (ijapokuwa ni sura namba 1) kwani ni Msingi au Dibaji ya Utafiti wetu na pia ni mama ya Kuruani Tukufu. Nazo ni kama zifuatazo:
Alfatiha Sura Ya Kwanza in Aya 7 / Al-Araf Sura Namba 7 in Aya 206 / Al-Israa Sura Namba 17 in Aya 111/ Al-Naml Sura Namba 27 in Aya 93/ Al-Swafaat Sura Namba 37 in Aya 182/ Mohamad Sura Namba 47 in Aya 38/ Al-Hadiyd Sura Namba 57 in Aya 29 / Al-Mulk Sura Namba 67 in Aya 30 / Al-Mursalaat Sura Namba 77 in Aya 50 / Al-Aala Sura Namba 87 in Aya 19 / Alkadr Sura Namba 97 in Aya 5 / Almauun Sura Namba 107 in Aya 7 /
Ukijuumlisha Aya zake utapata 777
7 + 206 + 111 + 93 + 182 + 38 + 29 + 30 + 50 + 19 + 5 + 7 = 777
Sura Ya Alfatiha in Aya 7 na Al-Maun in Aya 7 na baina ya hizi sura mbili kuna sura ambao zinaishia na namba 7 nazo Jumla ya Aya zake ni 777!!!! ze huoni ya kushangaza.
UTAFITI WA TATU NAMBA 777
Utafiti huu wa tatu utakuwa ni katika Sura za Kuruani zote.
Utaratibu wa Sura Za Kuruani na Idadi ya Aya zake zimefungamana katika mfumo wa Usanifu wa hali ya juu sana. Mshikamano wa Sura na Aya Ni dalili kwamba Mwenyeezi Mungu ndiye aliyejaalia mpangilio huu wa juu.
Sasa tutachunguza utafiti huu wa tatu kwa kutumia Sura ya katikati katika kuruani. Kwa hiyo tugawe sura za kuruani 114 katika mafungu mawili yaliyo sawasawa. yaani tugawe na namba 2 na tukifanya hivyo tutajikuta katika sura ya katikati katika kuruani nayo ni sura namba 57 yaani sura ya Al-Hadiyd.
Namba ya Sura hii inaishia na namba 7 na pia ni ya saba katika mpangilio wa sura zinazoishia na namba 7 kama tulivyoona katika utafiti wa pili hapa juu. Na la kushangaza ni kwamba sura ya Alhadiyd ipo katika Juzuu ya 27 na ni ya 7 katika Juzuu hii.
Kwani Juzu namba 27 in sur 7 tu. Na hizi sura 7 zimepangwa kiajabu sana. Tutajumlisha namba za sura hizi 7 na pia idadi ya Aya za sura hizi 7.
Sura Ya Kwanza katika hizi sura ni Sura Ya Adhariyaat. Sura Namba 30 nayo Nusu ya sura hii yaani Aya 30 zipo katika Juzuu ya 26 na nusu ya pili zipo katika Juzuu ya 27
Na katika Utafiti wetu tutajumlisha zile Aya 30 tu za Juzuu ya 27 na siyo zile zilizopo Katika Juzuu ya 26. Kwani utafiti wetu upo Katika Juzuu ya 27 tu.
Sura hizi ni kama zifuatazo:
Sura Namba 51 + Aya Za Sura Hii 30 / Sura Namba 52 + Aya Za Sura Hii 49 / Sura Namba 53 + Aya Za Sura Hii 62/ Sura Namba 54 + Aya Za Sura Hii 55/ Sura Namba 55 + Aya Za Sura Hii 78/ Sura Namba 56 + Aya Za Sura Hii 96/ Sura Namba 57 + Aya Za Sura Hii 29/
Jumla ya Namba za sura zote ni 378
Na Jumla ya Idadi za Aya zote ni 399
378 + 399 = 777
Je unaona namba 777 inavyoshangaza. Huu kweli ni muujiza mkubwa sana tena sana.
UTAFITI WA NNE NAMBA 777
Idadi ya Aya za Kuruani ni 6236
Kama hapo Juu tukizigawa tutajikuta katika Aya Ya katikati katika kuruani tukufu.
Na tukigawa mara mbili tutapata Aya Namba 3118 Nayo ni katika sura ya Ashwara Aya namba 186
And you are only a human being like us, and if we think you are of the liars
na jambo la kushangaza ni kwamba kuna Aya zinazokariri katika sura hii ambayo pia imekariri mara 7 kabla ya Aya hii ya 186 Nayo inasema
Indeed, your Lord is the Mighty, the Merciful.
(Tafsiri Ya Aya-Na hakika Mola wako Yeye ndiye Mwenye Nguvu, Mwenye rehema- Sura Ya Asuaraa)
Aya Namba 9/ Aya Namba 68/ Aya Namba 104 / Aya Namba 122 / Aya Namba 140/ Aya Namba 159/ Aya Namba 175 /
Ukijumlisha Aya zake utapata ya kushangaza kama hapo juu.
9 + 68 + 104 + 122 + 140 + 159 + 175 = 777
Utafiti huu unathibitisha kwamba Aya za Kuruani ni kamili na hazikuguswa. Kama Mtume alivyoshushiwa na ndivyo alivyotuletea na wala hakuna pungufu yeyote.
Je baada ya maajabu kama haya kuna shaka yeyote? Je hushangai namba zinavyokariri katika kuruani? hakuna kitabu chochote katika duniani tunachoweza kulinganisha na kuruani tukufu.
Namba 777 inaonyesha kwamba kuruani ni jengo lililojengwa kwa ufundi wa hali ya juu sana. Ni Usanifu/Architecture wa hali ya juu usio na mfano duniani. Katika Research/Utafiti zote Nne hapa Juu tunapata uhakika na pia inatuzidishia imani kwamba Kuruani ni Maneno ya Mwenyeezi Mungu yaliyohifadhiwa na Ni Muujiza Mkubwa sana tena sana usio mfano.
Utafiti hapa Juu unathibitisha kwamba Aya za Kuruani, Sura za Kuruani, Mpangilio wa Sura na Aya ni kutoka kwa Mwenyeezi Mungu Mtukufu na siyo Mtume peke yake. Pia tumeona Aya Ya Mwanzo “Basmallah” yaani Bismillahi Arrahmani Arrahim
Mtu yeyote mbele ya Utafiti huu itambidi amsujudiye Mwenyeezi Mungu. Utafiti huu unatosha kuondoa shaka yeyote ile katika kuruani na Dini ya Kiislamu Pia. Tumche Mungu, Tusimamishe Sala. Utafiti Huu unondoa Ujinga na Upumbavu kwa wasioamini.
Je kuna Kitabu gani duniani chenye Maajabu kama haya. Na anathibitisha Mwenyeezi Mungu kauli yake aliposema.
Surah Namba 17, Verse 88
Say, “All mankind and the jinn have gathered together to produce the like of this Qur’an. They cannot produce the like of it.” Had it been some of them, they would have supported each other (88)
Tafsiri Ya Aya
Sema “Hata wakijikusanya watu (wote) na majinni ill kuleta mfano wa hii Qurani basi hawangaliweza kuleta mfano wake up; hata kama watasaidiana (vipi) wao kwa wao.
Tonye tu la Utafiti huu unatutoa Mapovu Midomoni. Allahu Akbar, Allahu Akbar.
KURUANI NA HESABU ZA HALI YA JUU ZENYE KUSHANGAZA SANA.
Maandishi Ya Hali Ya Juu Usio Mfano
Sura Ya Al-Bakarah Namba 2 Aya ya 19
Or, like a downpour from the sky, in which there is darkness, thunder, and lightning. He warned the dead, and God encompasses the unbelievers (19)
Tafsiri Ya Aya
Au (mfano wao pia) ni kama mvua kubwa itokayo mawinguni; ndani yake mkawa mna viza na radi na umeme; wakawa wakitia vidole vyao masikioni mwao kwa ajili ya mingurumo, kwa kuogopa kufa; (na kufanya hivyo hakuwasaidii kitu). Na Mwenyezi Mungo anawajua vyema hao makafiri.
Maajabu Ya Hesabu
-Aya Namba 19 Ni Aya ya 26 kuanzia mwanzo wa kuruani (Na 26 ni sawa na 13 + 13)
Sura Ya Al-Raad Namba 13 Aya Namba 13
And the thunder glorifies His praise, and the fear of Him, and He sends thunderbolts, and strikes with it whom He wills, and they are ۡ They argue about God while He is severe in difficulty (13)
Tafsiri Ya Aya
Na Radi inamsabihi Mwenyezi Mungu kwa kumshukuru na (pia) Malaika (husabihi) kwa kumuogopa. Na (Mwenyezi Mungu) hupeleka mapigo ya radi na kumpiga nayo amtakaye. Na hao (makafiri) wanabishana juu ya Mwenyezi Mungu (kuwa yuko kweli au hayuko), na hali (ya kuwa yuko na) yeye ni Mkali wa kuadbibu.
Maajabu Ya Hesabu
-Aya Namba 13 Ni Aya ya 1720 kuanzia mwanzo wa kuruani (Ni sawa na 860 + 860). Neno Al-Raad katika sura ya Raad herufi zake zimekariri Jumla mara 61 (Alif mara 25, Lam mara 18, Ra mara 6, A’in mara 6, Na Dal mara 6) Na ajabu ni kwamba namba 61 ni prime number ya 18.
Maajabu Ya Hesabu Katika Aya Namba 19 Ya Al-bakarah na 13 ya Al-Raad
Hizi Aya Mbili Katika Kuruani Nzima Kila moja ina maneno 19 on hero 86. Herofi za Neno Raad zimekariri katika hizi Aya mbili (Namba 19 Ya Albakarah na 13 Ya Al-Raad) mara sita kila moja. Katika Alphabet Za kiarabu Taratibu za Herofi “Ra” ni ya 10, “A’in” ni ya 18 na “Dal” ni ya 8 na Jumla ya taratibu hizi ni 36 (Na namba hii 36 Ni sawa na 18 + 18)
Aya Sura Ya Al-Fatiha Namba 1. Aya 1-7
In the name of God, the Most Merciful, the Most Merciful (1) Praise be to God, Lord of the worlds (2) The Most Gracious, the Most Merciful (3) The King of the Day of Judgment (4) Thee we worship, and Thee we seek help (5) Show us the straight path (6) The path of those whom Thou hast bestowed upon May those who are not angry be upon them, nor those who go astray (7)
Tafsiri Ya Aya Za Sura Ya Al-Fatiha
1-Kwa jina Ia Mwenyezi Mungu Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo. 2-Shukrani zote anastahiki Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote 2-Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo 3-Mwenye kumiliki siku ya malipo. 4-We tu ndiye tunayekuabudu, na wewe tu ndiye tunayekuomba msaada.5-6-Tuongoze njia iliyonyoka.7-Njia ya wale uliowaneemesha; siyo (ya wale) waliokasirikiwa, wala (ya) wale waliopotea.
Maajabu Ya Hesabu-Sura Ya Alfatiha
Herufi hizi za Raad katika Sura Ya Alfatiha zimekariri mara 18 (Ra mara 8 + A’in Mara 6 na Dal mara 4 =`18)
Aya Sura ya Albakarah namba 221
And do not marry a female idolatrous woman until he believes, and a believing slave woman is better than a female idolatrous woman, even if she pleases you. ۗ And do not marry the polytheists until they believe It is Allah who invites you to Paradise and to forgiveness by His permission, and He makes clear His verses. It is for people so that they may remember (221)
Tafsiri Ya Aya
Wala msiwaoe wanawake washirikina mpaka waamini. Na mjakazi mwenye kuamini ni bora kuliko muungwana mshirikina, hata ingawa kakupendezeni. Wala msiwaoe wanaume washirikina (Wanawake Waislamu) mpaka waamini. Na mtumwa mwenye kuamini ni bora kuliko muungwana mshirikina hata akikupendezeni. Hao (washirikina) wanaitia kwenye Moto. Na Mwenyezi Mungu anaitia kwenye Pepo na samahani, kwa amri Yake. Naye hueleza Aya Zake kwa watu ili wapate kukumbuka.
Maajabu Ya Hesabu Aya Namba 221
Neno Raad Herufi zake zimekariri mara 18 (Ra mara 9 + A in Mara 6 na Dal mara 3) Na herofi za Al-Raad zimekariri katika Aya hii mara 61 (Na 61 ni Prime Namba ya 18) (Alif mara 23 + Lam mara 20 + Ra mara 9 + A’in Mara 6 na Dal mara 3 = 61 ) Namba 13 hapa inaashiria Namba ya Sura ya Al-Raad.Aya hi ni ya 228 kuanzia mwanzo wa kuruani tukufu na 228 ni sawa na 114 x 2(Namba 2 hapa inaashiria Namba ya sura ya Albakarah na 114 ni idadi ya sura zote katika kuruani Tukufu).
Aya surah ya yusuf namba 100
And he raised his parents to the throne, and fell down prostrating to him, and said, O father, this is the interpretation of what I had seen before. ۡ My Lord made it true, and He did good to me when He brought me out of prison and brought you from the desert after The devil arose between me and my brothers. Indeed, my Lord is kind to what He wills. Indeed, He is the All-Knowing, the Wise (100). )
Tafsiri Ya Aya
(Na walipoingia kwa Yusufu), aliwainua wazazi wake na kuwaweka katika kiti (chake) cha ufalme. Na wote wakaporomoka kumsujudia. Na (Yusufu) akasema: “Ewe babaangu! Hii ndiyo (tafsiri) hakika ya ndoto yangu ya zamani. Bila shaka Mola wangu ameihakikisha. Na amenifanyia ihsani; na ndugu zangu. Hakika Mola wangu ni Mwepye kulifikia alitakalo. Bila shaka Yeye ni Mjuzi na Mwenve hikima.”
Maajabu Ya Hesabu Aya Namba 100
-Aya Namba 100 Sura Ya Raad ni baada ya Sura Ya yusuf na Aya Namba 100 kutoka katika sura ya Yusuf Neno Raad limekariri katika Aya hii mara 18 (Raa mara 7 + A’in mara 6 + Dal mara 5 = 18). Herofi za Neno Al-Raad katika Aya hii zimekariri mara 61 (Alif mara 28 + Lam mara 15 + Raa mara 7 + A’in mara 6 + Dal mara 5 = 61). herufi za Aya namba 100 ni 169 (Sawa na 13 x 13) na namba 13 ni namba ya Sura ya Raad Na Namba Ya Aya katika Sura Hii Ya Raad.
Ufupisho Wa Utafiti Katika Aya Tulizozitaja hapa Juu
Tumeona namba zilivyopangika kiajabu sana. Namba 18 imekariri katika karibu kila Aya hapa Juu kiajabu sana na Pia namba 61 ambayo Ni Prime Number ya 18. Namba 13 imekariri inaashiria Aya namba 13 na Ni Sura namba 13 ya Araad imeashiriwa pia kimaajabu sana. Habari hizi ni za Leo hii baada ya Sayansi za leo kuweza kuchambua Kuruani Tukufu. Tunazidi Kusoma Kwamba Aya, Maneno na Herofi za Kuruani zimepangwa kiajabu na katika ufundi wa hali ya juu usio mfano. We mwenyewe unajionea kwa macho yako katika Aya chache tu hapa Juu. Engineering isiyo mfano. Na kwa nini isiwe hivyo na haya ni maneno ni yake Mwenyeezi Mungu Mtukufu aliyeumba kila kitu. Na kama alivyosema katika Kuruani Tukufu kwamba “Amehesabu Kila Kitu kwa Namba”. Je hatutishiki baada ya utafiti unaoshangaza kama huu?
MAAJABU MAKUBWA LA NENO FURQAN NA NAMBA ZA KUSHANGAZA KATIKA KURUANI TUKUFU YAMEPITA UJUZI WETU WOTE
Neno FURQAN peke yake linatosha kukushangaza na kukuacha bila ya uchaguzi wowote isipokuwa kukubali na kuzidi imani kwamba Kuruani ni maneno yake Mwenyeezi Mungu yasiyo na mfano.
Soma maajabu ya (Mathematical Calculations hapa chini)
Sura Ya Anfal Namba 8 Aya Namba 41
And know that whatever thing you gain, a fifth of it belongs to Allah, to the Messenger, to the kindred, the orphan and the sick. A knife and a wayfarer, if you believe in God and what We sent down to Our servant on the Day of Judgment, the Day of the Meeting. All together, and God is Able to do all things (41)
Tafsiri ya Surah ya Anfal
Na jueni ya kwamba chochote mnachokiteka (mnachokipata ngawira), basi sehemu yake ya tano ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume na jamaa (zake Mtume) na mayatima na masikini na wasafiri (walioharibikiwa); ikiwa nyinyi mumemuamini Mwenyezi Mungu na tuliyoyateremsha kwa mja wetu siku ya kipambanuzi, siku (inayowafikiana na siku) yalipokutana majeshi mawili (siku ya vita vya Badri-jeshi Ia Waislamu na jeshi la makafrri). Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye uweza juu ya kila kitu.
Sherehe Ya Aya
Kwa kifupi Aya Hii inahusiana na Vita Vya BADR vilivyofanyika huko BADR (Baina ya Mecca na Madinna) Na waislamu walishinda vita hivyo kiajabu sana. Kwa kweli vita vilitokea kiajabu bila waislamu kutegemea.
Maajabu Ya Hesabu Katika Kuruani
The Day of Judgment, the Day of Meeting
kipande hiki cha Aya kipo katikati ya sura ya Anfal na jumla ya maneno kuanzia mwanzo wa sura ya Anfal mpaka kabla ya neno FURQAN ni 619 na taratibu ya (Position) namba hii 619 ni ya 114 katika Prime Numbers.(Nimeelezea kuhusu Prime Numbers katika sehemu nyingine ya Website hii)
Na Ajabu ni kubwa kwani namba 114 inaashiria idadi ya Sura zote za Kuruani na neno FURQAN ni mojawapo ya Jina la Kuruani Tukufu. Jumla ya idadi ya Maneno ya Aya Hii kabla ya neno FURQAN ni 23 na namba hii inaashiria muda wa kushuka kuruani kwa mtume Mohamed, yaani miaka 23 ya Ujumbe kutoka kwa Mwenyeezi Mungu.
Na Jambo the Kushangaza zaidi ni Vita Vya BADR ambavyo vinazungumziwa katika Aya Hii vilifanyika mwaka 624 (Christian Era)na Mwaka huu unaashiriwa katika Aya hii kiajabu sana katika Kipande cha Aya
The Day of Judgment, the Day of Meeting, the Gathering, and God
Jina la Mwenyeezi Mungu God ni neno la 624 kuanzia mwanzo wa Sura na Neno “FURQAN” ِِِِThe Furqan pia ni neno la 624 ukihesabu maneno kwa reverse (Kinyume) kuanzia Mwisho wa Sura kurudi nyuma mpaka neno Hili la FURQAN.
Namba 25 pia inashangaza kwani Jumla Ya Herufi za aya hii ni 25, Herufi ya mwisho katika Aya hii ni NUN nayo ni ya 25 katika Herufi za Lugha ya kiarabu. . Idadi ya herufi za Aya hii namba 41 ni 150 mbyo ni sawa na (25 X 6) Sura Ya Anfal ina Aya 75 mbyo ni sawa na (25 X 3) Jumla ya Namba za Aya Ya sura ya Anfal ni 2850 yaani ukijuumlisha 1 + 2 + 3 + 4 + . . . . + 74 + 75 = 2850 Unaweza pia kutumia hesabu ifuatayo na utapata jawabu ni 2850
(Sum = n/2 x (a + Tn) = 75/2 x (1 + 75) = 5700/2=2850).
Na namba 2850 ni sawa na (114 X 25) Namba 114 inaashiria jumla ya idadi ya sura za kuruani takatifu na namba 25 inaashiria pia namba ya Sura Ya FURQAN katika kuruani Tukufu kwani ni Sura namba 25 pia!!!!
Je unaona Muujiza wa namba na uhusiano baina ya Sura, Aya, Maneno na Herofi?
Sasa tulichunguze neno ِِِِMwanzoni mwa Sura ya Al-Imran na Sura Ya Al-Furqan
Sura Namba 3 Ya Al-Imran Aya 1 mpaka ya 4
(1) Allah, there is no god but He, the Ever-Living, the Self-Subsisting (2) He sent down to you the Scriptures in truth, confirming what He has made clear. He sent down the Torah and the Injeel (3) beforehand as a guidance for people, and He sent down the Criterion. For them is a severe punishment, and God is Mighty, Possessor of vengeance (4)
Tafsiri Ya Aya
1-Alif Lam Mym 2-Mwenyezi Mungu,hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye-Mwenye uhai wa milele, na Mwendeshaji wa mambo yote. 3-Amekuteremshia Kitabu kwa haki,kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na lnjili.4-Zamani-ziwe uwongozi kwa watu.Na akateremsha vitabu vingine vya kuambabanua baina ya haki na batili. Hakika wale waliozikufuru Aya za Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu kali; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye kulipa.
Neno Furqan Hapa ni la 25 kwanzia mwanzo wa Sura Ya Al-Imran. Herufi Ya Nuun ni ya 25 kuanzia mwanzo wa Aya hii ya 3 Na kama tulivyoona Herufi Nuun ni ya 25 katika mpangilio wa herufi za lugha ya kiarabu. (Arabic Alphabet)
Angalia Huu mpangilio wa kushangaza katika kuruani namba 25 inavyokariri katika maneno haya.
Sura Ya Alfurqan Aya namba 1
Herufi baada ya Neno Furqan mpaka mwisho wa Aya ni 25 pia. na Sura hii ni namba 25 katika Msahafu.
Blessed is He who sent down the Criterion to His servant, that he may be a warner to the world (1)
Tafsiri Ya Aya
I-Ni Mwenye kuleta baraka (kweli kweli yule aliyeteremsha Qurani kwa mja wake ili awe Muonyaji kwa walimwengu (wote).
Kwa kweli mpangilio huu was Aya hizi sio wa kibinaadamu hata kidogo. Huu mpangilio ni wake aliyeumba ulimwengu/malimwengu kwani ni wa hali ya juu na hasa maandishi haya ni ya karne ya 7 wakati ambao ulikuwa hakuna Computer wala Calculator katika kusaidia hesabu kama hizi.
Hii inatuthibitishia ukubwa wake Mwenyeezi Mungu na pia Kuruani ni kweli kutoka kwake. Hatuna la kusema isipokuwa kuifuata bila ubishi wowote.
MUUJIZA WA ASALI KATIKA KURUANI
Surah Muhammad
Surah Ya 47 Aya Namba 15
The parable of Paradise, in which the righteous were promised that it would be of purer water, and that it would be of pure milk. Its taste has changed, and that it is better than purified honey, and it is delicious for the drinkers. Oh, of all the fruits, and forgiveness from their Lord, is like one who is eternally in the fire. Ahem (15)
TAFSIRI
15-Mfano wa Pepo waliyoahidiwa wacha Mungu (itakuwa hivi): Imo mito ya maji yasiyovunda, na mito ya maziwa yasiyoharibika ladha yake, na mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safi; Tena humo watapata matunda ya kila namna, na kufutiwa madhambi (Maghfira) kutoka kwa Mola wao. (Ukilinganisha) Je hao ni sawa na wale watakaokaa Motoni na kunyweshwa maji yachemkayo yatakayokata matumbo yao?
SHEREHE KISAYANSI MUUJIZA WA KWANZA
Ukihesabu Maneno Ya Aya Hii Kuanzia Neno water (Maji) mpaka Neno honey utapata maneno 17
Water that has not changed its taste, and that of milk whose taste has not changed, and that of wine that is a pleasure to drink yin and yin honey
<><><>
Na ukihesabu maneno kuanzia Neno water (Neno Maji iliyotajwa mara ya pili) katika Aya Hii mpaka Neno honey (Asali) Yaani ukihesabu Kwa Kinyume (Reverse) utapata Maneno 17 pia.
Refined honey, and in it they will have all kinds of fruits, and forgiveness from their Lord, like one who will abide in the fire for eternity and drive Wow water
—>———->——————->————– ->———————————————— >
Tunapata Jumla ya maneno baina ya neno Maji na Asali ni 17? baada ya utafiti tunakuta Muujiza Mwingine wa Ajabu ni kwamba katika asali kuna Asilimia ya maji 17% kama Utakavyopata katika chombo cha utafiti Google. Angalia Jawabu nililopata hapa chini.
Namba hii imekariri mara mbili na hii haiwezekani kufanyika kienyeji hata kidogo bali imepangwa. Kuruani ni yake Mwenyeezi Mungu na hii ni dalili kubwa kwamba kuruani ni maneno ya ukweli kutoka kwa Mwenyeezi Mungu na wala sio ya binaadamu.
Angalia Picha ya chombo cha utafiti Google hapa chini inayoonyesha composition ya Asali kwamba ni 17%
SAYANSI YA NTA (WAX)YA NYUKI KATIKA KUJENGA SEGA (HONEYCOMB)
Muujiza mwingine mkubwa ni kwamba Asali imehifadhiwa na nyuki kiajabu sana katika Celi (Cells) ambazo Maumbile yake ya Jiometri (Geometry) ni Ya hali ya juu sana. Tundu za Celi za Juu zipo wazi na ni za umbile la Hexagonal (Six Sides) na chini pia hivyo hivyo hexagonal lakini zimezibwa kwa Vifuniko vitatu vyenye umbile la kufanana. Tundu and Juu kila Celi zina Pembe 6 na kila Pembe (Angle) in Digrii (Degrees) 120. Vifuniko Vitatu vya Chini (RHOMBUS) in Pembe (Obtuse Angle) ya Digrii 109 na Dakika 28 na Pia Pembe (Acute Angle) ya Digrii 71 na Dakika 32. Vipimo hivi vilijulikana katika Karne ya 18. Historia hapa chini inatuelezea wale walioshugulikia jambo hili. Vipimo hivi ni kutokana na Hekima kubwa ya Mwenyeezi Mungu katika kuwaamrisha Nyuki wajenge Celi katika maumbile ya Hexagonal. Ni Maumbile mazuri sana katika kupunguza matumizi ya NTA (wax) wanayotumia Nyuki katika Ujenzi wa Celi (Cells) Yaani Shape hizi zinasaidia kupunguza Matumizi ya NTA. Maumbile ya Hexagonal yanasababisha Matumizi Machache ya NTA ya Ujenzi. Kila Celi in Vifuniko chini yake Vitatu.
VIPIMO VYA VIFUNIKO VYA CHINI VYA CELI (CELLS)
Tutageuza hizo Dakika ili ziwe Digrii (Degrees) Angle Obtus=109 Digrii on 28 Dakika= 28 Digrii + 28/60=109,47 Digrii=109 Digrii (Rounding Down) Angle Aigu=70 Digrii on 32 Dakika=70 Digrii + 32/ 60=70,53 Digrii=71 Digrii (Rounding Up) Kwa Hiyo Degrii (Degrees) za Pembe (Angle) Ni; Angle Obtus=109 Digrii (Degrees) Angle Aigu=71 Digrii (Digrees) Katika Kila Celi (Cells) ambazo zinajulikana kwa jina la (Alveoli) kuna RHOMBUS tatu na kazi yake ni Kuhifadhi BEE LARVA ili isipondwe. (The honeycomb build by the bees to lay down their honey is formed by two layers of cells opposite by their bottom. An alveolus looks like a right prism with a regular hexagonal base (the opening), but the bottom is an non flat assembling of three identical rhombuses which belong each to two opposite alveolus.Aristotle had noticed the hexagonal form of the alveolus, and Pappus made it’s first geometrical study. It’s only during the 18th century that the bottom form was noticed, and in 1712 Maraldi experimentally worked out the angle of the rhombus: 70°32′. Réaumur suspected the bees to build the bottom in order to use only the minimum of wax. Koenig dealt with the problem, using a differential calculus, and found a slightly different value. The difference between the two values was only 6’… until Mac Laurin proved in 1739 that Koenig made a mistake in his calculations; the value found by Maraldi was exact!) Réaumur suspected the bees to build the bottom in order to use only the minimum of wax. Koenig dealt with the problem, using a differential calculus, and found a slightly different value. The difference between the two values was only 6’… until Mac Laurin proved in 1739 that Koenig made a mistake in his calculations; the value found by Maraldi was exact!) Réaumur suspected the bees to build the bottom in order to use only the minimum of wax. Koenig dealt with the problem, using a differential calculus, and found a slightly different value. The difference between the two values was only 6’… until Mac Laurin proved in 1739 that Koenig made a mistake in his calculations; the value found by Maraldi was exact!)
MUUJIZA WA SEGA YA ASALI (HONYCOMB) KATIKA KURUANI TUKUFU
Ni Mwenyeezi Mungu aliyempa Ufundi huu wa kushangaza. Na kuruani ni Muujiza Mkubwa. Kila Sura, Aya, Maneno, Na Herofi zimehesabiwa kiajabu na kwa hali ya Juu sana. Na leo hii wataalamu wanasoma na kukopi ujenzi huu wa hali ya Juu ili wapate kutumia katika Ujenzi mbalimbali katika Viwanda. Kukopi Elimu kwa njia hii inajulikana kama BIOMIMETICS. Wataalamu wametumia Ufundi huu wa Nyuki katika Ujenzi (Architecture) wa Majumba na Katika Viwanda Pia Vitu mbalimbali. Allahu Akbar. Allahu Akbar. Wataalamu wametumia Ufundi huu wa Nyuki katika Ujenzi (Architecture) wa Majumba na Katika Viwanda Pia Vitu mbalimbali. Allahu Akbar. Allahu Akbar. Wataalamu wametumia Ufundi huu wa Nyuki katika Ujenzi (Architecture) wa Majumba na Katika Viwanda Pia Vitu mbalimbali. Allahu Akbar. Allahu Akbar.

Asilimia Ya Maji ni 17% Katika Asali. Na Kuruani Inathibitisha Hivyo. Nimechkua Kutoka Katika Chombo cha Utafiti Google. Allahu Akbar. Allahu Akbar

Nyuki wapo katika shughuli ya kujenga Celi (Cells) au Alvelioli. Kwa Kutumia NTA. Ufundi wa hali ya Juu sana. Allah Akbar
Celi Za Nyuki. Hapa Juu ni Celi Moja ambayo in Pembe 6 Juu na Chini. Pembe za chini katika Vifuniko vinavyojulikana kama RHOMBUS na Vipimo vyake ni Obtuse Angle 109 Digrii (Degrees) na Acute Angle71 Digrii (Digrees)


