Nimefanya Mabadiliko katika Kuunganisha Website Mbili. Ya Kiswahili na Kiingereza. Kwa hiyo usishangae. Kuunganisha Mitandao hii miwili itanirahisishia katika Utafiti wangu na pia kwa Wasomaji itakuwa vizuri Kusoma zote katika sehemu moja. “Ni kupiga njiwa wawili kwa jiwe moja”. Usishangae unapotumia Anuani http://www.uislamunasayansi.com au Anuani http://www.islamicresearchsite.com zote mbili ni zangu na zote zitakupeleka moja kwa moja katika Website (Mtanadao) Huu.
UTAFITI MBALIMBALI KATIKA DINI NA SAYANSI
IMEANDALIWA NA AL-AMIN ALI HAMAD
Jielimishe na Kuruani
ULIMWENGU NI KURUANI INAYOONEKANA NA KURUANI NI ULIMWENGU UNAOSOMEKA / THE UNIVERSE IS THE SEEN QURAN AND THE QURAN IS THE READABLE UNIVERSE / L’UNIVERS EST LE CORAN VU ET LE CORAN EST L’UNIVERS LECTABLE
AMANI, REHEMA, NA BARAKA ZA MWENYEEZI MUNGU ZIWAFIKIE / Paix , La Miséricorde et Les Bénédictions de Dieu Sois Sur Vous / Peace, Mercy and Blessings of God be Upon You
————————————
NAKUKARIBISHENI WOTE KATIKA KUISOMA QURUANI TUKUFU / I welcome you all to the reading and understanding of the Holy Quran
/ I welcome all of you to read and understand the Holy Quran / Je vous souhaite à tous la bienvenue à la lecture et à la compréhension du Saint Coran
KARIBU – Swahili
WELCOME-English
BIENVENU(E)-French
Welcome- Arabic
HERZLICH WILLKOMMEN- German
BIENVENIDOS (DAS) – Spanish
BENVENUTO (TA) – Italian
ようこそ Yōkoso-Japanese
欢迎 Huānyíng-Chinese
ДОБРО ПОЖАЛОВАТЬ DOBRO POZHALOVAT’- Russian
WITAMY-Polish
આપનું સ્વાગત છે-Gujrati I (Indian)
ਸੁਆਗਤ ਹੈ- Punjabi (Indian)
Barka da Shi-Hausa
SALUTATIO-Latin
Mwenyeezi Mungu Mtukufu Anasema katika kuruani yake Tukufu (Sura Ya Fussilat Namba 41-Aya namba 53)
We shall show them Our signs on the horizons and within themselves, until it becomes clear to them that it is the truth. He is witness to all things
Tafsiri Ya Aya Hii;
“Tutawaonyesha alama zetu katika ulimwengu (mbali na sisi) na katika nafsi zetu (karibu na sisi) hata itabainika kuwa ni ukweli. Je haitoshi kuhusu mwenyeezi mungu kuwa yeye ni mshahidi wa kila kitu”.
——————–
Video-1
Karibuni Katika Website.
Video-2
Kila mtu akipita karibu na kumsikia Sheikh Saeed Anasoma Kuruani basi atasimama asikilize. Hakupendelea kurikodiwa na Radio ya Misri (Egypt) kwa ajili ya kuogopa Fitnah. Kuna Wengineo wanaosema siyo yeye. Hapa tusikilize Kuruani tu. Sheikh Huyu ni Mzaliwa wa Sudan. Alifariki Katika Miaka 1960’s.
Dua Nzuri ya Watoto wetu Wa Africa. Allahu Akbar. Dua Inaliza. Nzuri sana. Maana ya Dua hii ndefu nikubwa sana
JINA LA WEBSITE HII NI “WWW.UISLAMUNASAYANSI.COM”
Lengo la Kunzisha Website hii ni kushirikiana na ndugu Waislamu katika Kuisoma Dini ya Kiislamu kwa Vizuri. Na Kazi hii Alhamdulilah Nia Yangu iwe Bure hakuna Malipo yeyote. Ujira Ninaowaomba ni Dua Zenu.
DUA ZENU NI MUHIMU SANA KATIKA MAENDELEO YA WEBSITE HII.
KURUANI SICHO KITABU CHA HESABU AU SAYANSI ZA ULIMWENGU KAMA VILE PHYSICS, CHEMISTRY AU MATHEMATICS BALI NI UJUMBE WA SAYANSI YA MAFUNDISHO KUFUATA TULIYOAMRISHWA NA KUJIEPUSHA NA TULIYOKATAZWA. KURUANI PIA IMEKUSANYA ELIMU ZA SAYANSI ZA ULIMWENGU ZA HALI YA JUU. KUWEPO KWA ELIMU HIZI KATIKA KURUANI NI MUUJIZA MKUBWA SANA KWANI KURUANI ILISHUKA KATIKA KARNE YA 7 WAKATI AMBAO ELIMU ZA KISASA ZILIKUWA BADO CHANGA SANA. SHEREHE NILIZOFANYA KATIKA WEBSITE HII NI KATIKA JUHUDI ZA KUFAFANUA MADHUMUNI YA BAADHI YA AYA NA HADITHI ZA MTUME (SAW). KWA HIYO UKIKUTA MAKOSA YOYOTE BASI YATAKUWA YANGU BINAFSI NA SIYO KURUANI, KWANI KURUANI HAINA KOSA. KURUANI NI SAHIHI 100%. TUNAPOKOSEA BASI KURUANI NDIYO ITATUSAHIHISHA. KURUANI NI KIPIMO CHA KILA KITU. I don’t rule ya maisha. NAMUOMBA MWWENYEEZI MUNGU ATUSAMEHE TUNAPOKOSEA KWANI SISI NI WAJA WAKE NA YEYE NDIYE ANAJUA ZAIDI. Allahu Akbar. KUPIGA BAO NA UCHAWI NI HARAMU. KAZI ZA KUTABIRI ZOTE NI HARAMU. TUSITUMIE ELIMU ZA HESABU KATIKA UPUZI WA KUTABIRI KWANI HIYO SIYO KAZI YETU. TUKIFANYA HIVYO BASI TUNAINGILIA KAZI YA MWENYEEZI MUNGU. TUSIDANGANYE KULA PESA ZA WATU KWA KUPIGA BAO (UTABIRI) ELIMU HII INAJULIKANA KAMA NUMEROLOGY NA NI TOFAUTI NA ELIMU YA HESABU KATIKA UTAFITI WA KISAYANSI. NI MUHIMU KUELEWA HAYA KWANI WATU WENGI WANACHANGANYA. UISLAMU ULIPOKUJA MILANGO YA GIZA NA UJINGA ILIFUNGWA NA NURU IKAENEA. AYA YA KWANZA KUSHUKA INAHIMIZA KUSOMA ELIMU ZENYE KULETA FAIDA NA MAENDELEO KATIKA MATAIFA. TUKIFANYA HIVYO BASI TUNAINGILIA KAZI YA MWENYEEZI MUNGU. TUSIDANGANYE KULA PESA ZA WATU KWA KUPIGA BAO (UTABIRI) ELIMU HII INAJULIKANA KAMA NUMEROLOGY NA NI TOFAUTI NA ELIMU YA HESABU KATIKA UTAFITI WA KISAYANSI. NI MUHIMU KUELEWA HAYA KWANI WATU WENGI WANACHANGANYA. UISLAMU ULIPOKUJA MILANGO YA GIZA NA UJINGA ILIFUNGWA NA NURU IKAENEA. AYA YA KWANZA KUSHUKA INAHIMIZA KUSOMA ELIMU ZENYE KULETA FAIDA NA MAENDELEO KATIKA MATAIFA. TUKIFANYA HIVYO BASI TUNAINGILIA KAZI YA MWENYEEZI MUNGU. TUSIDANGANYE KULA PESA ZA WATU KWA KUPIGA BAO (UTABIRI) ELIMU HII INAJULIKANA KAMA NUMEROLOGY NA NI TOFAUTI NA ELIMU YA HESABU KATIKA UTAFITI WA KISAYANSI. NI MUHIMU KUELEWA HAYA KWANI WATU WENGI WANACHANGANYA. UISLAMU ULIPOKUJA MILANGO YA GIZA NA UJINGA ILIFUNGWA NA NURU IKAENEA. AYA YA KWANZA KUSHUKA INAHIMIZA KUSOMA ELIMU ZENYE KULETA FAIDA NA MAENDELEO KATIKA MATAIFA.
JINA LA MTUME MOHAMED KATIKA BIBLIA: (AGANO LA KALE: WIMBO ULIO BORA)
Katika Biblia Mlango wa 5 Verse Namba 16 kuna Wimbo unaojulikana katika Lugha ya Kiingereza kwa majina yafuatayo:
Song of Solomon or
Song of Songs or
Canticle of Canticles
Na Kwa Kiswahili “WIMBO ULIO BORA”
Katika Video Hapa Chini Sikiliza Jina La Mtume Mohamad (Sala na Amani Yake Mwenyeezi Mungu Zimfikie) Linavyotajika katika visomo vya Lugha ya Kiyahudi. (Hebrew).
Jina La Mtume (Sala na Amani Ya Mwenyeezi Mungu Zimfikie) unalisikia wazi wazi kama ni Mahamadim (“im” mwisho wa Jina la Mohamad ni nyongeza ya Kumpa Heshima kama vile neno “Honorable”)
Na Katika Lugha ya Kiyahudi Ili kumpa mtu Utukufu “im” inaongezwa mwishoni mwa Jina.
The Historians tell us that the Hebrew language “im/eem” is added as a mark of respect, honor and grandeur. )
Lakini wafasiri wamegeuza Jina lake na Kulifesiri kwa maneno mengine. Haiwezekani Kufasiri Jina la mtu.
Hapa Jina la Mtume linaeleweka waziwazi hata kwa wasiojua Lugha ya Kiyahudi.
Kwa nini wafasiri wanaficha ukweli?
Allahu Akbar.
(16 Kinywa chake kimejaa maneno matamu, NDIYE MZURI SANA PIA. Ni huyu mpendwa wangu, ni huyu rafiki yangu, Enyi binti za Yerusalemu)
Tafsiri ya Aya hii inashangaza. Jina la Mtume Limefasiriwa katika Biblia as NDIYE MZURI SANA PIA au He is Altogether Lovely badala ya jina la Mtume “Mohamad”
TAARIFA KWA WASOMAJI WA WEBSITE HII
ALHAMDULILAHI LEO NIMEFUNGUA MLANGO MPYA AMBAO NITAUTUMIA KATIKA KUORODHESHA UTAFITI WOWOTE MPYA. JINA LA MLANGO HUU NI “MUHTASARI/UTAFITI-1”. KUNA NAFASI.
HUU MLANGO UNAISHIA HAPA NA KUANZIA TAREHE 01/15/2022 MAANDISHI YATAENDELEA KATIKA MLANGO WA “MUHTASARI/UTAFITI-1”
HABARI ZA JANUARY KUANZIA TAREHE 1 MPAKA 14
MWAKA 2022
01/14/2022
Katika Mlango wa HERUFI/MANENO/AYA Alhamdulilahi Leo Nimezungumzia Aya Namba 33 Kutoka Katika Sura Ya Al-Anfal Namba 8 hekima ya kutumika kwa maneno mawili; To punish them na Muathibhemۡ katika Aya Ifuatayo. Maneno Mawili yana Maana Moja ya “Kuadhibu” Lakini Kuna Tofauti Katika Makusudio. Katika Elimu ya Grammar au Sarufi ya Arabic Neno la kwanza ni “Kitendo” (Verb) na La pili ni Nomino Mtendaji (Doer Noun).
And God would not chastise them while you were among them, and God would not chastise them while they seek forgiveness (33)
10/01/2022
Hekima ya Matumizi Ya Maneno اََۡabadُ / اَابَدُونَ / na َabadtumۡ Katika Sura Ya Al-Kafirun. Soma Hekima Hii katika Mlango wa “HERUFI/ MANENO/AYA” wa Website hii.
01/08/2022
HABARI YA KWANZA
Katika Sura Ya AL-Falaq Neno FALAQ Katika Aya ya Kwanza
Say I seek refuge in the Lord of the Falaq Lina Maana ya “KUPASUKA” Tafsiri za Kuruani Zinafasiri Aya Hii Kwa
“NAJIKINGA KWA MLEZI WA KUPAMBAZUKA KWA ASUBUHI”
na pia
“NAJIKINGA KWA MLEZI WA ULIMWENGU”
Tusibabaike kwani Tafsiri zote mbili hizi zina maana moja na Hazikukosea Kabisa kwani Asili ya Ulimwengu wote kwanza ni “KUPASUKA”. Kwa mfano mbegu ardhini kwanza zinapasuka kisha zinaota. Mayai Yanapasuka Kisha Kunatoka Kifaranga, Cells za Mbegu za Viumbe zinapasuka kwanza ilizigawanyike katika Mchakato unaojulikana kama MITOSIS NA MEIOSIS. Na pia Kupambazuka kwa Asubuhi ni baada ya Kupasuliwa kwa Giza La Usiku na Mwanga wa Jua.
Soma Habari hizi katika Mlango Mpya wa “HERUFI, MANENO NA AYA” wa website hii. Nimeongeza Video na Picha ili zisaidie Kufafanua zaidi habari hizi.. Alhamdulilah Allahu Akbar.
HABARI YA PILI
Alhamdulilah. Leo Nimezungumzia habari inayohusiana na Faida za Kufunga katika Mlango wa “MASUALA YA DINI” Hadithi za Mtume (peace be upon him) Na Matokeo ya Utafiti wa Kisayansi. Allahu Akbar.
01/02/2022
HABARI YA KWANZA
Sura Ya Al-Kawthar Ni Fupi. In Aya 3. Mtume alitukanwa na Kuitwa ABTAR na Mwenyeezi Mungu akajibu Makafiri kwamba Wao ndiyo ABTAR na isitoshe Akaahidi Kumpa Mtume KAWTHAR ambayo ni zawadi Kubwa na akamuamrisha afanye Sala na Kuchinja. Soma Habari Hizi katika Mlango Mpya wa MIUJIZA YA KURUANI-5. Aya Hizi Tatu zina Miujiza Mingi na Pia Miujiza Mikubwa ya Elimu za Genetics na Mathematics zimedokezwa kiajabu sana. Kwa kweli siyo Madogo. Allahu Akbar.
HABARI YA PILI
Alhamdulilah Nimeongeza Nasiha Nzuri katika Mlango wa “MISEMO YA WANAVYUONI” Nimeelezea Shairi lifuatalo ambalo Historia inasema ni Maneno ya Imamu Shafii’ ambaye alianzisha Shule (Madhehebu) Ya Shafi’ (Sunni School of Thought). Na pia Mengineo aliyoyasema Imam Huyu Na Maimamu Wengineo.
I complained to Wakee’ about my bad memory
and guided me to abandon sins
And tell me that knowledge is light
And the light of God does not come to a disobedient
01/01/2022
1/ Katika Mlango wa Matukio/ Visa nimezungumzia Kisa cha Watu wa Mitaro. (Ashab Al-Ukhdud). Nimetumia Lugha Rahisi katika Kisa Hiki kwa kutumia Aya Za Kuruani Sura Ya Al-Buruj Aya Namba 4 Mpaka 9 na Pia Hadithi Ya Mtume Iliyopo katika Sahih Muslim. Kuna Hadithi Nyingine pia Iliyopo katika Jami` at-Tirmidhi. Lakini Nimechagua Hadithi Ya Muslim. Ni Kisa kinachozidisha Imani Na Pia Umuhimu wa Dua. Alhamdulilah. Allahu Akbar.
2/Pia Nimezungumzia Tukio Katika Maisha Ya Imamu Bukhari. Alipoteza Nuru Ya Macho Alipokuwa bado Kijana Mdogo. Dua Ya Mama Yake ni Muujiza sio Mdogo. Baada Ya Kurudishiwa Uwezo wa Kuona akaweza Kukusanya Hadithi za Mtume karibu 6000, 000 na Pia Kuandika Vitabu Vinginevyo. Macho yake yakawa na Nguvu zaidi kuliko Mwanzo. Allahu Akbar.
HABARI ZA MWEZI WA DECEMBER 2021
12/29/2021
Alhamdulilah leo nimezungumzia Muujiza Wa Rangi (Colors) na Pia Nyongeza Inayohusiana na “Milango ya Peponi na Motoni” katika Mlango wa “HESABU NA KURUANI” Kuna Picha kuhusiana na Colors ambazo nimeongeza hapo pia ili Sayansi hii ipate kufahamika vizuri.
kila Herufi, Neno, Aya, Sura na Mpangilio wake Katika Kuruani ni Muujiza Mkubwa. Hakuna Dogo au Upuuzi wowote.
Neno Rangi katika Plural yaani Wingi his colors (Colours) limetajika Mara 7 kwa njia ya Muujiza wa hali ya Juu.
Neno hili limekariri kimiujiza mara 7 kulingana na tunavyoambiwa na Sayansi kwamba Mwanga Mweupe ni Mchanganyiko wa Rangi 7. (Visible Light Spectrum)
Mwana Sayansi Maarufu Isaac Newton aligundua Sayansi Hii katika mwaka 1660.
(Newton’s Rainbow. In the 1660s, English physicist and mathematician Isaac Newton began a series of experiments with sunlight and prisms. He demonstrated that clear white light was composed of seven visible colors)
Ilikuwa Karne ya 17 yaani mwaka 1660 ndiyo ulifanyika Uvumbuzi huu!!! Hebu fikiri. Kuruani imetaja haya kuanzia karne ya 7. Miaka 1000 (Elfu Moja) kabla ya Uvumbuzi uliofanywa na Mwana Sayansi ISAAC NEWTON Allahu Akbar. Huu ni ushahidi kwamba Maneno ya Kuruani siyo ya Binaadamu. Hakuna anayeweza kusema au kuthubutu kutaja haya katika wakati huo wa karne ya 7.
12/24/2021
Alhamdulilah Leo Nimezungumzia Katika Mlango wa “HESABU NA KURUANI” Neno Medۡḍamṭānī na Muujiza wa Namba 8 ambao unaashiria Milango Minane Ya Pepo. Kwa Hakika neno hili limepangwa katika Kuruani Kiufundi na Kiajabu sana. Na mpangilio huu unathbitisha kwamba maneno ya Kuruani siyo ya Binaadamu. Allahu Akbar.
12/23/2021
Alhamdulilah katika Mlango wa “LINGUISTICS/KURUANI” leo nimezungumzia HEKIMA YA MANENO for his companion na his owner . Ijapokuwa Maneno haya mawili yana maana moja ya RAFIKI, MWENZIWE AU SWAHIBU lakini tofauti ya Herofi ya ALIF iliyotumika Inaleta nyongeza. Neno la kwanza lina herufi Ndogo au mchoro mdogo wa Alif inayojulikana kama The dagger alif or superscript alif (Arabic: alif khanjarīyah) na la pili lina MEDIAL VOWEL ALIF baina ya Herofi mbili za SWAD na HAA.
Mwenyeezi Mungu amefanya kutofautisha herufi Hizi mbili ni kwa hekima kubwa. La kwanza linaonyesha Urafiki na la pili linaonyesha Urafiki iliovunjika. Nakukaribisha Katika Mlango ili tufanye utafiti katika Tafsiri ya Aya zinazotoka katika Sura Ya Al-Kahf. Mwenyeezi Mungu anajua Zaidi iwapo tumekosea. Allahu Akbar.
12/22/2021
MUUJIZA ULIONISHANGAZA SANA NA AMBAO UNAONEKANA KAMA JUA LA MCHANA. NI SAINI YA MWENYEEZI MUNGU NA WALA SIO MZAHA .
Alhamdulilah. Leo Nimezungumzia katika Mlango wa “Hesabu Na Kuruani” Aya 3 zenye Hesabu za kushangaza. Kwa kweli ni MAREMBO YA MWENYEEZI MUNGU” ameyaremba maneno yake vizuri sana. Yeye Mwenyeezi Mungu Ametukuka sana kwa hiyo Maneno yake hayatakuwa hovyo hovyo. Ikiwa yeye ni Mtukufu basi Maneno yake pia yatakuwa hivyo. Aya Tatu nilizozizungumzia ni:
And when We promised Musa forty nights, then you took the calf from him after him, and you were unjust (51)
Whoever cannot afford to fast for two consecutive months before they touch each other, then whoever cannot afford it, then he should feed sixty five consecutive As long as you believe in God and His Messenger, and those are the limits of God, and for those who disbelieve, a painful punishment (4)
Ask forgiveness for them, or do not ask forgiveness for them. If you ask forgiveness for them seventy times, God will not forgive them. ۚ That is because they disbelieved in Allah and His Messenger, and Allah does not guide the righteous (80)
Nimegusia Muujiza mzuri sana ambao unatupa imani na Yakini kwamba maneno haya siyo ya kibinaadamu. Allahu Akbar. Allahu Akbar. Ukianza kupata wasiwasi wowote kutokaana na Sheytani basi soma habari hizi na InshaAllah zitakuzidishia imani. Kwa hiyo Ewe Ndugu zangu Waislamu mkipata nafasi tutakutana katika Mlango huo wa “Hesabu na Kuruani” Nakukaribisheni huko kwa mikono miwili. Karibuni.
12/20/2021
Nilizungumzia katika Mlango wa “SAYANSI ZA MAJI” Aya kutoka katika Sura ya Al-Furkan Namba 25, Aya namba 53 Muda mrefu uliopita. Aya Hii Inahusu Mkutaniko wa Maji Ya Chumvi na Tamu.
And it is He who stirred up the seas, this is a torment of furat, and this is salty and bitter, and He made between them a barrier and a pilgrimage ۡRA۬ Mahjoura ۬
Na Alhamdulilahi Leo Nimeongeza Aya Ya Pili (Hapa Chini) Yenye habari za Mkutaniko wa Bahari. (Maji Ya Chumvi Zote Mbili) Nimefafanua maana ya Ibara وَحْجۡر۬ا محۡ۬۬ا (Hijran Mahjura) na Barzakh. Na Pia nimeongeza Picha ya Ghuba (Gulf) Ya Oman na Arabian/Persian na Barzakh iliyopo baina ya Ghuba hizi Mbili. Allahu Akbar.
Surah Ya Al-Rahman Namba 55 Aya Namba 19 na 20
Marj Al-Bahrayn (19) Between them is a barrier that they do not want (20)
12/19/2021
Alhamdulilahi nimenza Maelezo Mapya ambayo yanahusuiana na Elimu ya Lugha Ya Kuruani katika Mlango wa “Kuruani/Linguistics” Mungu akipenda nitakuwa nikisherehesha Aya za Kuruani na Kuchambua Kwa kutumia Elimu ya Linguistics ambayo imekusanya vipengele mbalimbali. Katika Uislamu hii siyo Elimu mpya. NAHAU (Grammar), SWARFA (Morphology), TAJWIYD (Elimu za Sauti-Phonetics) na Branches (Matawi) Mengineyo ya Lugha yalishughulikiwa tangu hapo zamani
Linguistics is the scientific study of language and its structure, including the study of grammar , syntax , and phonetics . Specific branches of linguistics include sociolinguistics , dialectology , psycholinguistics , computational linguistics , comparative linguistics , and structural linguistics .
Leo nimeanza na Aya ifuatayo:
Indeed, Our Messengers came to Abraham with good tidings. They said, “Peace.” He said, “Peace.” hurts (69)
Na nimeelezea tofauti ya maneno mawili salam ۬aۖ na salam ۬ۖ kilugha na Kisarufi (Grammar)
Na pia Nimezungumzia Aya Ya Pili Kuhusu Maneno mawili Peace be upon you
Peace, utterance, from my Lord, most merciful (58)
Allahu Akbar. Kuruani in Elimu isiyo na Mwisho.
12/18/2021
Alhamdulilah Leo ninawaletea Mpangilio Wa Aya Za Kuruani wa Hali Ya juu ambao unathibitisha kwamba maneno ya Kuruani ni ya hali ya juu sana. Hebu tufikiri Pamoja Mpangilio Huo Katika Mlango Wa “Mfumo wa Kuruani” wa Website hii Hii ndiyo Saini ya Mwenyeezi Mungu. Mpangilio Uliohesabiwa kiajabu sana tena sana. Hata Super Computer haiwezi kufanya kazi kama hii. Na tuelewe kwamba Kuruani iliposhuka kulikuwa hakuna Namba za Aya, Namba za Sura. Hizi ziliongezwa baadaye. Kuruani ilikuwa katika hifadhi ya Wanavyuoni kimoyomoyo na mpaka leo ipo hivyo hivyo na hata Herufi haikubadilishwa kama Mwenyeezi Mungu alivyoahidi kuitunza. Mpangilio Huu ndiyo Makufuli Katika Kuruani. Ni Makufuli ya Kihesabu ambayo kama Mtu angebadilisha chochote basi kusingepatikana Nidhamu na mpangilio wa hali ya juu kama huu. Allahu Akbar.
12/13/2021
Alhamdulilahi Leo neimeanza kuchambua utafiti unaohusiana na Mtume Mohamad (Sala Na Amani Yake Mola Zimfikie). Nabii Musa na Isa Katika Biblia katika mlango wa “Mtume katika Biblia”. Bado naendelea na Utafiti huu ambao unatumia Hesabu. Allahu Akbar.
11/12/2021
MUUJIZA WA KWANZA
Nyongeza Kuhusiana na Muujiza wa Hesabu Ya Kurasa- Pages
Katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-1” Siku zilizopita Nilizungumzia Kisa Cha Kushangaza cha Waumini waliolazwa katika Pango kwa Muda wa miaka 300 ya Calendar zetu za Kawaida ambayo ni sawa na miaka ambayo sawaa sawa na 309 ya Calendar ya Kiislamu Jambo the kushangaza ni kuwa Idadi ya maneno yaliyotumika katika maelezo ya kisa hiki katika sura hiyo ya Al-Kahf ni 309 pia. Ukihesabu Kuanzia mwanzo wa kisa katika neno LABITHU-katika aya namba kumi na mbili mpaka neno la pili-LABITHU-katika aya ya ishirini na tano, Baina ya maneno haya mawili maneno yaliyotumika katika kisa hiki ni 309 pia. (Yaani hao Waumini walikaa katika Pango lao kwa muda wa miaka 300 on Wakaongeza 9,
Leo ningependelea kuongeza Muujiza Mwingine wa Kushangaza zaidi. Kwani Kuruani in Miujiza isiyo na Mwisho.
Ukihesabu Kuanzia Ukurasa namba 296 ambao kuna Aya Inayosema
And they stayed in their cave for a third of a hundred years, and they added nine
Walikaa Katika Pango Lao kwa muda wa miaka mia tatu na wakazidisha 9.
Mpaka Mwisho wa Kuruani Ukurasa namba 604 Mwisho wa Kuruani katika Sura Ya Al-Nasi Utapata Kurasa 309 pia. Kulingana na Muda waliolazwa waumini katika pango!!!!!
Je unaona Muujiza Wa Kuruani? Mpaka Kurasa pia. Kisa kinazungumzia kulazwa kwa watu kwa muda wa miaka 309, kisha idadi ya maneno katika kisa hiki ni 309 na sasa tunagundua kurasa pia. Yaani kuanzia pale inaposema 309 mpaka mwisho wa Kuruani yaani sura ya Mwisho ya Al-Nasi kuna Kurasa 309 pia. Allahu Akbar. Kwa kweli Ni Kiujiza isiyo na Mwisho na ni ya hali ya Juu sana.
MUUJIZA WA PILI
Kuruani Imekusanya MANENO, AYA NA SURA AU KWA LOGHA NYINGINE TUNAWEZA KUSEMA Mkusanyiko wa MANENO, AYA NA SURA Ndiyo unafanya MSAHAFU AU KURUANI. Sasa Angalia Muujiza unaofuata. Allahu Akbar. Kwa Kweli unathibitisha kwamba Mwenyeezi Mungu mkubwa sana tena sana na Elimu yake kubwa sana tena sana ambayo haina kipimo.
Sasa tukuchunguza Kuruani tutakuta imetumia maneno yote haya matatu.
NENO WORD MAANA YAKE NI “NENO”
NENO MAANA YAKE NI “AYA”
NENO SURA MAANA YAKE NI “SURA”
NENO QURAN MAANA YAKE NI “KURUANI”
Sasa tunapogeuza Herufi za maneno haya katika Namba zilizotumika hapo Zamani wakazi wa Enzi Ya Karne ya 7 utapata kama ifuatavyo:
word = 95
Verse = 17
Surah = 271
383 = The Qur’an
ukijumlisha Thamani Ya “Maneno”, “Aya” Na “Sura”
95 + 17 + 271 = 383
Neno “Kuruani” peke yake ni 383
Ndiyo kusema MANENO + AYA + SURA = KURUANI
YAANI 95 + 17 + 271 = 383
Kwa lugha Nyingine. Jumla Ya Maneno, Aya Na Sura Ni Sawa na Kuruani Tukufu. Au Tukijumlisha Maneno, Aya Na Sura Tutapata Kuruani.
Na Namba hii 383 ni Thamani ya Kuruani peke yake.
Je unaona vipimo via kushangaza. Katika Kuruani killed her in a hamani yake. Yaani kill Herufi imehesabiwa. Allahu Akbar. Miujiza Isiyo Kipimo.
Hey Inathibitisha Kwamba Kuruani siyo maneno ya Binaadamu. Allahu Akbar
06/12/2021
HABARI YA KWANZA ( AYA YENYE MAAJABU )
And they say, “Why is not a sign sent down to him from his Lord?” So say, “The unseen is only for Allah, so wait. I am with you in the ۡWaiting (20)
Aya hii ilishuka Kuwajibu Makafiri waliotaka Miujiza Mingineyo kwani hawakutosheka na Kuruani Tukufu.
Tafsiri Ya Aya
Na wanasema: “Kwa nini haikuteremshwa juu yake kutoka kwa Mola wake Miujiza (tunayoitaka)?” Basi sema: “ilimu ya mambo yasiyoonekana yapo kwa Mwenyeezi Mungu. Basi ngojeni; na mimi ni pamoja nanyi katika wanaongoja.”
Ndugu msomaji Ukikutana na watu wenye masuali ya aina hii basi wasomee Aya Hii na kisha uwaonyeshe Muujiza wa Hesabu wenye kushangaza ambao nimeuelezea katika Mlango wa “Hesabu na Kuruani” wa website hii. Muujiza sio mdogo kwani Aya hii inaashiria Idadi ya Sura na Aya za kuruani kwa njia ya Hesabu.
HABARI YA PILI
Alhamdulilah. Leo Nimeongeza Masuali Mawili; Suali Namba 4 na 5 katika Mlango wa “Elimu Ya Mirathi” wa website hii.
05/12/2021
HABARI YA KWANZA
MICHAEL H. HART NI MYAHUDI AMBAYE ALIANDIKA KITABU MAARUFU KWA JINA “The 100: A Ranking of the Most Influential Persons in History” NA AKAMWEKA MTUME MOHAMED (SAW) NAMBA 1 (MOJA) KATIKA ORODHA YA WATAALAMU 100 DUNIANI KUFUATANA NA JUHUDI ZAO ZA KULETA MAENDELEO. Inashangaza kwani hakuwa Muislamu. Alhamdulilahi Nimeelezea Habari hizi kwa urefu katika Mlango wa “Waandishi Duniani”
HABARI YA PILI
Hesabu za Kushangaza Katika Kuruani. Tunakuta namba mbalimbali zimetumika katika Ujumbe. Ukizikusanya namba hizi utapata Namba mbalimbali na katika hizi zote kuna namba Nne tu ambazo zina Vipeo. Na Vipeo vya namba hizi Nne pia ni miongini mwa orodha ya Namba zote zilizotajika katika msahafu. Ajabu ni kwamba Jumla ya namba hizi ni sawa na Jumla Ya Idadi ya Sura Za Kuruani katika Msahafu yaani 114. Soma habari Hizi katika Mlango wa “Hesabu Na Kuruani” katika Website hii. Allahu Akbar.
HABARI YA TATU
Al-Hamdulikahi leo Nimeelezea Dibaji Na Utangulizi katika Mlango wa “Usul Al-Tafsir”
HABARI ZA MWEZI WA November 2021
11/30/2021
Alhamdulilah ningependelea kumalizia (Kufungia) mwezi huu wa November na Muujiza wa kushangaza. Kabla Kuuelezea Muujiza Huu ningependelea kusema kwamba Jumla Ya Aya Za Kuruani ni 6236 .
Ukijumlisha Aya zote za Sura zote Katika Kuruani utapata namba hii.
Sasa tuangalie Muujiza unaofuata kwa kuzingatia Namba hii 6236
Neno the reading “Al-Quran” limetajika katika Kuruani mara 8 na Mar Ya Kwanza Kutajika Ni Katika Sura Namba 2 ya Al-Bakarah Aya Namba 2 mbyo inasema:
The month of Ramadan is in which the Qur’an was revealed as a guidance for people, and you have made clear the guidance and the criterion. During the month, let him fast it, and whoever is sick or on a journey, then the same number of other days. And he does not want hardship for you, and let you fill the period, and let you glorify God for what He has guided you, and perhaps you will not ۡkron (185)
TAFSIRI
185. (Mwezi huo mlioambiwa mfunge) ni Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa katika (mwezi) huo hii Qurani ili iwe uwongozi kwa watu, na hoja zilizo wazi wa uwongozi na upambanuzi ( wa baina ya haki na batili). Atakayekuwa katika mji katika huu mwezi (wa Ramadhani) afunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi (atimize) hisabu (ya siku alizowacha kufunga) katika siku nyingine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, ·na pia (anakutakieni) mtimize hisabu hiyo, na (anakutakieni) kumtukuza Mwenyezi Mungu kwa . kuwa amekuongozeni, ili mpate kushukuru.
MAAJABU YA KWANZA
Katika Aya Hii Neno Kuruani ndiyo Mara ya Kwanza Kutajika katika Msahafu. Baada ya hapo kuna Aya 7 zinazofuata ambazo zimetaja pia neno quruan “Kuruan”.
Aya hii inazungumzia Kushuka Kwa Kuruani Katika Mwezi wa Ramadhani sasa tuchunguze Herofi za neno Hili.
Herufi za Aya Hii ni Alif/Lam/Qaf/Raa/Hamza/Alif/Nun
Jumla ni Herofi 7
Tukihesabu Kuanzia Mwanzo wa Kuruani Mpaka Mwisho wa Aya Hii Matumizi ya Herufi Hizi au Kwa lugha nyingine Kukariri kwa Herufi Hizi utapata kama ifuatavyo:
Alif Imetukika (Kariri) Mar 2346
Lam Imetukika (Kariri) Mara 1727
Qaf Imetukika (Kariri) Mara 329
Ra Imetukika (Kariri) Mara 484
Hamzah Imetukika (Kariri) Mar 170
Nun Imetukika (Kariri) Mara 1180
Sasa Tujumlishe Namba Hizi
2346 + 1727 + 329 + 484 + 170 + 1180 = 6236
Je unaona jawabu la kushangaza? Hii Aya Inazungumzia Kushuka Kwa Kuruani Mara Ya Kwanza Katika Mwezi Wa Ramadhani Na Jawabu Tulilopata hapa Ni Idadi Ya Aya Zote Za Kuruani ambazo ni 6236.
Hata Mimi Mwenyewe ninayeandika haya ninatoka jasho.
Angalia Kuruani ilikusanya Maajabu?
Na Miujiza hii tunayozungumzia ni katika Kisomo Kimoja Tu Cha Kuruani Je Visomo Vinginevyo? Yaani hakuna Versions katika Kuruani bali kuna Visomo yaani KIRAAT. Ikiwa KIRAA moja tu ina haya tunayosoma Je Nyinginezo? Kwa kifupi Kila KIRAA in Miujiza mbali mbali ambayo inahitajia Utafiti. Je Unaona Elimu ya Mwenyeezi Mungu ilevyo kubwa? Hii Inathibitisha Kwamba Kuruani haikuguswa tangu kushuka. Herofi, maneno, Aya Na Sura zimepangwa vile vile kama ilivyopokelewa. Kwani kama ingebadilishwa basi tusingepata miujiza kama hii. Na Mwenyeezi Mungu ameahidi Kuitunza kwa uwezo wake up. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
Hatujamaliza Bado. Sasa Tuendele tuone Maajabu zaidi.
Tumesema kwamba Neno the Qur’an limeshuka mara 8 Katika Aya 8 tu za Kuruani yote. Sasa Hebu tuchunguze Aya Ya 8 ambayo ni ya mwisho na ambayo inasema
And when the Qur’an is recited to them, they do not prostrate themselves. (21)
TAFSIRI
21. Na wanaposomewa Qurani bawanyenyekei?
MAAJABU YA PILI
Sasa Angalia Maajabu Yafuatayo.
Aya Ya Kwanza Tuliyoitaja hapa Juu Kutoka Katika Sura Ya Al-Bakarah ni
Sura Namba 2 Aya Namba 185
Na Aya hii Ya Mwisho ni Kutoka katika Sura ya Al-InshiQaQ
Sura Namba 84 Aya Namba 21
Hebu tutoe namba hizi mbili Ya Mwisho kutoa Ya Kwanza. (Namba Za Sura Na Aya)
Yaani 8421 – 2185 = 6236
Angalia Majabu. Ukitoa Aya Ya Mwisho iliyotaja Neno “QURUAN” katika Aya Ya Mwanzo Yenye neno “QURAN” unapata tena mara ya pili Jumla Ya Sura Za Kuruani ambazo ni 6236 kama tulivyopata hapa juu. Na hii ndiyo saini ya Mwenyeezi Mungu. Anatuthibitishia Mara Ya Pili jawabu la Jumla ya Aya Za Kuruani. Je Unaona Muujiza? La Ilaha Ila Allah. Allahu Akbar Wa Lillahi Alhamd
Hi ni sababu mojawapo ambayo hakuna Binaadamu yeyote ambaye anaweza kutunga maneno kama kuruani. Na hata tungeshiriakiana na Majini wote tusingeliweza. Je mnaona Maajabu? Na hii ni tonye tu la Maajabu yaani kuna mengi bado hatuyajui. Allahu Akbar. Hi Aya Ya Mwisho inasema Tumsujusie Mwenyeezi Mungu inaposomwa kuruani. Baada ya Muujiza Huu na baada ya Kusoma Aya Hii basi tumsujusie Mwenyeezi Mungu na tusisubiri. Tumshukuru kwa kutufundisha Siri Hii kubwa. Allahu Akbar.
11/29/2021
MAAJABU
Aya 11 za kwanza katika Msahafu zina maneno 57 (Kuanzia Sura Ya Al-Fatiha Na Mwanzoni mwa Sura Ya Al-Bakarah) Sura 11 za mwisho Katika Kuruani (Kuanzia Sura Ya Al-Humazah mpaka Al-Nasi) zina Aya 57 Ukijuumlisha namba hizi mbili ; 57 + 57 = utapata jawabu Sura 114 na namba hii inaashiria jumla ya idadi ya sura zote katika kuruani tukufu. Je unaona Miujiza ya kuruani ambayo haina mwisho. Kuanzia kushushwa kwa kuruani mpaka mwisho wa dunia tunasoma kila siku mapya. Na ndiyo maana Kuruani ni Muujiza Mkubwa usio mfano. Ni zawadi tuliyopewa sisi binadamu. Ikiwa Mitume walipewa miujiza na sisi tumepewa Kuruani ambayo ni Kitabu chenye Miujiza mbalimbali ya kutusaidia katika kukuza imani zetu na pia kuwavutia wasiokuwa waislamu.
11/28/2021
Alhamdulilah Leo nimeongeza Katika Mlango wa “Sayansi Za Maji” utafiti Mpya Uliofanywa huko Japan na Ugerumani wenye uhusiano na Maji Ya ZamZam. Inashangaza sana. Nimeambatanisha Video Mbili na Picha. Na pia Nimeelezea Habari za Utafiti Huo. Ukipata nafasi Sikiliza Video Hizo ni nzuri sana. Allahu Akbar.
11/27/2021
Alhamdulilah. Leo nimezungumzia maajabu ya neno download ۬ “TANZILA” Katika Kuruani Tukufu katika Mlango wa “MIZANI YA KURUANI”. Neno hili limetajika katika Kuruani Mara Nne, katika Aya Nne tu. Mpangilio wa neno hili sio bure bure bali kwa hekima kubwa. Hesabu zinathibitisha kwamba Mpangilio huu ni wake Yule aliyetuumba na aliyeumba kila kitu. Hi ni mojawapo ya Saini zake Mwenyeezi Mungu Mtukufu. Allahu Akbar.
11/26/2021
MAAJABU YA KWANZA
It is God who sent down the Book with truth and balance , and what makes you aware that perhaps the Hour is near (17)
TAFSIRI
Mwenyezi Mungu ndiye aliyeteremsha Kitabu (hiki) kwa (kubainisha) haki na mizani. Na ni nini kitakachokujulisha ya kwamba labda Kiama kimekaribia?
MAONI
Mfano mzuri wa Mizani zetu hapa duniani tunayotumia katika kupimia Vitu. Tukifananisha hivi tutaona kwamba Upande mmoja wa Mizani ni Kuruani ambayo ni Ujumbe kutoka kwa Mwenyeezi Mungu na ambayo inafanana na Majiwe Ya Mizani na Upande wa Pili ni Vitendo Vyetu ambavyo Vitapimwa siku ya Kiayama na Kutakuwa na Malipo. Allahu Akbar.
MUUJIZA
Aya hii ni kutoka katika Sura Namba 42 na ni Aya namba 17. inashangaza. Neno the scale Lenye Maana Ya Mizani lipo katikati ya Aya limezungukwa kwa maneno Matano katika Kila Upande. Kuna Maneno 5 kabla ya neno “Mizani” na Maneno 5 baada ya neno “Mizani” Ukifikiri sana unatona Neno “Mizani” ni kama Mizani ya kupimia vitu na Maneno 5 kila upande ni kama Upande mmoja ni Majiwe Yanayotumika katika Mizani na upande wa pili ni Vitu Venye kupimwa uzito. Huu ndiyo mpangilio wake Mwenyeezi Mungu. Kila Aya Ameipanga kiajabu. Hi ndiyo Saini Yake katika Maneno yake ambayo ni Kuruani. Allahu Akbar.
MAAJABU YA PILI
Mwenyeezi Mungu Amepanga Kuruani Kwa Hekima Kubwa Sana. Sura Ya Al-Sajdah in Aya 30. Sura Hii in Maneno 372. Na Ukitafuta Neno la Katikati katika Sura Hii ambalo ni la 186 basi utashangaa kukuta ni nino
“Prostrate” Yaani ni neno lenye maana ya Kusujudu. Na hili neno ndilo Jina la Sura Hii Ya Al-Sajdah. Neno hili lipo katika Aya ya Sura Ya Al-Sajdah ifuatayo
He only believes in Our signs, who, when they are reminded of them, fall down in prostration and glorify the praises of their Lord, and they do not remain silent. Pron ۩ ( 15
TAFSIRI
Hakika wanaoziamini Aya Zetu ni wale tu ambao wanapokumbushwa kwazo huanguka Kusujudu na humtukuza Mola wao kwa (kutaja) sifa Zake, nao hawatakabari.
MUUJIZA
Angalia Kuruani ilivyopangwa. Neno hili silo dogo. Allahu Akbar. Limewekwa katikati kwa hekima na yule yule aliyeumba Ulimwengu. Yaani halikuwekwa mwanzo au Mwisho wa Sura bali katikati ya Sura yaani Katikati Ya maneno Ya Sura Hii Ya Al-Sajdah. Je mnaiona Saini Yake? Hi ndiyo saini yake katika Kuruani Tukufu. Allahu Akbar. Ni Saini Ya Mfalme wa Wafalme, Mfalme wa siku ya Kiama. Ambaye akitaka kitu kiwe basi anasema “Kuwa na Kinakuwa” Kun Fayakun” anafanya atakavyo, Haulizwi anachofanya. Allahu Akbar.
11/24/2021
Alhamdulilah Leo Nimezungumzia Muujiza Wa Sura Namba 111 (Sura Ya Al-Masad) Katika Mlango wa “Mizani Ya Kuruani” Sura Hii Ina Aya 5 lakini Kuna Mengi Ya Kushangaza. Mpangilio Wa Aya, Maneno Na Herofi Ni Wa Hali Ya Juu Sana Hata SuperComputer haiwezi kufanya Kazi Kama Hiyo. HaKuna Mwingine Isipokuwa Yule Yule Aliyeumba Ulimwengu na Kila Kitu. Elimu Ya Mwenyeezi Mungu ni Kubwa Sana. Aya za Sura Hii zimepangwa kufuatana na Namba za ODD (Witr au Fardiy) Na Even (Shaffi au Zawjiy)) Kiajabu Sana. Maneno na Herofi Zimehisabiwa Kiajabu Sana. Kwa Kweli Kuruani Ni Muujiza Mkubwa Sana. Ni Miujiza Isiyo na Mwisho. Allahu Akbar
11/23/2021
Alhamdulilah. Miaka Iliyopita niliandika kijitabu kidogo sana na kukisambaza katika Mtandao. Kilihusu Mwanga wa LASER ambao ni muhimu sana katika maisha yetu. LASER ni mwanga wenye kutumiwa katika nyanja mbalimbali za maisha. Wataalamu wanatuambia kwamba LASER ni “light amplification by stimulated emission of radiation.” In other words, a laser is a device capable of converting light or electrical energy into a focused, high energy beam.Kwa mfano inatumika katika optical disc drives, laser printers, barcode scanners, DNA sequencing instruments, fiber-optic, semiconducting chip manufacturing (photolithography), and free-space optical communication, laser surgery and skin treatments, cutting and welding materials, military and law enforcement devices for marking targets, measuring range and speed, and in laser lighting displays for entertainment).
Na niligusia Kwamba Kuruani Katika Sura Namba 24, Aya Namba 35 imeashiria Sayansi Hii kiajabu sana. Hakuna anayejua Nuru ya Mwenyeezi Mungu kama alivyosema katika Sura ya Al-Ikhlas kwamba Hakuna kinachofanana naye. Na Nuru yake hakuna anayeijua. Katika Aya hii kuna mengine ya maajabu kwani Imegusia Elimu yenye uhusiano na Mwanga wa LASER na pia Taa za Umeme. Huenda hivyo na mwenyeezi Mungu anajua zaidi iwapo sivyo.
Hivi karibuni nimesoma mengineyo mapya ambayo yanashangaza kutoka katika Aya Hii mbyo ningependelea kuzungumzia leo hii. Kwa kweli Kuruani ni Muujiza mkubwa sana. Any moja in miujiza isiyo na mwisho. Wakati huo sikudhani kwamba Kuna Mengi mengineyo katika Aya Hii. Aya Ni kama ifuatayo na Tafsiri Yake hapa chini.
Surah Namba 24 Al-Nur Aya Namba 35
۞ God is the light of the heavens and the earth. The likeness of His light is like a niche in which there are lamps. A chicken as if it were a shining star lit from an olive tree , neither eastern nor western. Its oil would be lit even if fire had not touched it. Light upon light. God guides to His light whom He wills. And God strikes It is the ideal for mankind, and God is All- Knowing of all things . (35) 35.
TAFSIRI
Mwenyezi Mungu ni nuru ya mbingu na ardhi; mfano wa nuru Yake (anayoongozea waja wake) ni kama shubaka (lenye kuwekwa) ndani yake taa: taa (ile imo) katika tungi, (chemni): tungi (lile ni) kama nyota ing’arayo, inayowashwa (taa hiyo kwa mafuta yanayotoka ) Katika mti uliobarikiwa wa mzeituni, usio (upande) wa mashariki wala wa magharibi,(kawa unapigwa na jua sana linapopinduka na linapotoka); yanakaribia mafuta yake kung’aa (wenyewe) ingawa moto haujayagusa-Nuru juu ya nuru-Mwenyezi Mungu humuongoza katika nuru Yake Amtakaye, na Mwenyezi Mungu Hupiga mifano kwa watu; na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.
SHEREHE YA AYA-MAAJABU YASIYO NA MWISHO
Aya hii inazungumzia uhakika kuhusu Mwenyeezi Mungu. Mwenyeezi Mungu anatuambia kwamba yeye ni Nuru ya mbingu na ardhi. Sasa hebu tuchunguze zaidi na tuone mengine mapya. Allahu Akbar. Neno light (NURU) Limekariri (limetumika) katika Aya hapa juu mara 5. kama ifuatavyo.
Katika Neno la 2
Katika Neno 6
Katika Neno la 33
Katika Neno la 35
Katika Neno la 38
Ukijumlisha Positions (Sehemu) Ya Neno NURU (NURU) katika Aya Hii utapata 2 + 6 + 33 + 35 + 38 = 114
Tumepata jawabu 114
Hebu tuendele. Sasa Tuhesabu Herufi za neno Al- Nur (Al-Nuwr) Kwa Kiingereza maana yake “The Light” katika Aya Hii. Tukifanya hivyo tutapata kama ifuatavyo.
Alif (a) Imekariri (Imetumika) Mara 25
Lam (for) Imekariri (Imetumika) Mara 25
Num (n) Imekariri (Imetumika) Mara 11
Waw (and) Imekariri (Imetumika) Mara 16
Raa (t) Imekariri (Imetumika) Mara 13
Namba Ya Sura Ni 24
Ukijumlisha Herofi na Namba Ya Sura Utapata
25 + 25 + 11 + 16 + 13 + 24 = 114
Tumepata mara ya pili jawabu 114
Inashangaza sana kwani tumepata namba 114 mara mbili. Lakini tusisahau kwamba Kuruani in surah 114 pia. Unaona Muujiza Mbele ya macho yako. Allahu Akbar.
Sifa Yake Al-Nur Imeambatanishwa na idadi ya sura za kuruani. Na Kuna mengi mengineyo katika Aya hii.
Haya mambo yanatisha. Kuruani in mengi ambayo yanatoa mapovu midomoni.
Muhimu siyo Hesabu au Sayansi lakini Ujumbe. Lazima tufuate tuliyoamrishwa.
Hizi Elimu zisikubabaishe ni nyongeza ambayo inaturudishia imani zilizopotea kwa ajili ya dunya.
Kuruani imkusanya Elimu za Ulimwengu. Tumche Mungu kama ipasavyo kwani hatari sana.
Najimbia mwenyewe kwanza kabla ya mwingine. Kwa kweli inatisha sio uongo. Allahu Akbar.
Lazima tuwe macho na tuwaombee ndugu zetu waislamu duniani ambao wapo chini ya mateso ya makafiri kama vile huko Palestine, Rohenga, India, China (Uighurs) na Sehemu Nyinginezo kwani ukiwaombea dua faida inakurudia mwenyewe. Kwa leo naishia hapa.
11/21/2021
Sura Ya Al-Nahl Namba 16 Aya Namba 18
And if you enumerate God’s favor, you will not count it. Indeed, God is Forgiving, Merciful (18)
Aya inasema kwamba ukihesabu neema za Mwenyeezi Mungu hutaweza kizihesabu kwani ni nyingi bila kipimo. Na Mweneezi Mungu ni Mwingi wa Kusamehe (Kughufiria) na Mwingi wa Rehema (Huruma).
Katika Mlango wa “Miujza Ya Kuruani-1” nimefanya nyongeza katika Mada niliyoanza katika masiku yaliyopita inayohusiana na “Golden Ratio” yaani Kiwango cha Dhahabu. Muiyano wa Ajabu. Aya Hii Inasema Kwamba “UKIHESABU NEMA Za Mwenyezi Munugu Basi Huwezi Kuzihesabu Kwani Ni Nyingi Sana Na Hazina Mwisho, Na Mwenyezi Munugu Ni Mwingi Wa Kusamehe Na Kghufiria MAD Hambi “Na Ajabu Ni Kwamba Namba Ya Sura Na Aya Ni 16:18 Na Pia Ukigawa Herufi Za Aya Kipande cha kwanza na Kipande cha pili utapata 1.6 Na hii ni Namba inayofanana na Golden Ratio ambayo wataalamu wa hesabu wanasema kwamba haina mwisho. inajulikana kama Irrational Number. Namba hiyo ni 1.61803398874989484820… (etc.). Yaani ni jawabu unapogawa namba zinazofuatana (Namba za “Fibonacchi”) ni Mlinganisho wa kushangaza. Namba hizi Unapozigawa hupati jawabu la namba kamili la mwisho bali Decimal numbers zisizo na Mwisho na ukilinganisha na Neema za Mwenyeezi Mungu pia hazina Mwisho!!!. Ni Mlinganisho wa Kiajabu. Allahu Akbar. Namba zinazungumza. Na hizi namba ni zake Mwenyeezi Mungu kwa hiyo anazitumia kama atakavyo. Na yeye anajua zaidi iwapo tunakosea. Lakini inashangaza. Allahu Akbar.
11/20/2021
HABARI YA KWANZA
Say: He is God, one (1) God, the Eternal (2) He neither begotten nor begotten (3) and there is none equal to Him (4)
Alhamdulilahi Leo nimezungumzia kwa urefu Maajabu na Tafsiri ya Sura Ya Al-Ikhlas katika mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-5” wa website hii. Kwa mfano Neno is born (Yalid) Katika sura hii lipo kati kati ya maneno ya Sura Hii Yaani Kuna maneno 7 kushoto na maneno 7 kulia mwa neno hili YALID. Na Herofi LAM ipo katikati ya Herofi zote za Aya Hii. Kuna Herofi 23 Kushoto na 23 Kulia Mwa Herofi Ya LAM. Usisahau kwamba Herofi LAM ni ya 23 katika Herofi za Arabic Alphabet!!!! na Herofi Hii in KASRAH ambayo ni Alama Pekee katika Sura Hii. Alama au Harakati pia zimetumika kiajabu. Allahu Akbar. Na ndiyo maana Mwenyeezi Mungu akasema wakikusanyika Binaadamu na Majini wote hawataweza kuleta mfano wa hii Kuruani angalau Aya Moja. Haiwezekani. Angalia Lugha Ilivyopangwa na wakati huo huo kuna Ujumbe (Message) Allahu Akbar. Kwa kweli siyo mchezo!!!
Katika Kuruani Kila Sura, Aya Na Herofi zimepangwa kaijabu na Kwa Hekima kubwa. Kuna mengi bado hatujui Na haya tunayoyajua labda sivyo hivyo. Tunachojua ni Tonye Katika Bahari. Na Hii ndiyo Saini ya Mwenyeezi Mungu. Ni Saini yake katika Kuruani Tukufu. Allahu Akbar.
HABARI YA PILI
Katika Mlango wa “Mizani Ya Kuruani” wa websiet hii Nimezungumzia Aya Kutoka Katika Sura Ya Al-Qalam. Neno middle of them lenye maana ya KATI YAO yaani Kati Ya hao Marafiki Wachoyo na Aya Kutoka Katika Sura Ya Al-Qalam neno between them lenye maana ya BAINA YA MAWILI yaani Baina ya Mabustani mawili. Haya Maneno mawili yanaonyesha Saini Ya Mwenyeezi Mungu kwamba hii Kuruani ni yake. Hakuna anayeweza kuandika kitabu chenye mazungumzo kama haya. Ukihesabu maneno kabla na baada ya maneno haya mawili utashangaa kugundua kwamba Haya maneno ni kama Majiwe ya Mizani. Kuna Maneno 31 katika kila upande wa neno AWSATUHUM na Maneno 12 katika kila upande wa neno BAYNAHUMA. Message au ujumbe ni jambo lingine lakini kihesabu kuna mshangao mwingine pia wa ajabu. Huu ni ushahidi kwamba Kuruani sicho kitabu kama vitabu vinginevyo. Allahu Akbar.
11/15/2021
Alhamdulilah Leo Nimeongeza Miujiza Ya Manyani (Monkeys) Katika Mlango wa “SAYANSI ZA VIUMBE” wa website hii. Kuna Aya 3 zilizoshuka katika Kuruani Tukufu ambazo zinashangaza. Hakuna dogo katika Kuruani kwani Kila Aya ina miujiza mbali mbali ya hali ya juu. Hizi Aya Tatu ndizo Aya Pekee katika Kuruani Tukufu zilizotaja Jina “Nyani” Na Zinatuelezea Adhabu Kali kutoka kwa Mwenyeezi Mungu lakini Pia kuna Ishara za Habari zinazohusiana na Sayansi za Chromosomes. (Mwenyeezi Mungu Anajua Zaidi iwapo Tumesibu au Tumekosa lakini utafiti unashangaza sana.). Allahu Akbar. Chromossomes ni Chembe za Umbile katika kila Nucleus Ya Celi (Cells) za Kiumbe. Elimu hii inahusiana na Cytogenetics ambayo ni tawi la Elimu Ya Genetics. Chromosomes ziligunduliwa Mwanzoni mwa Karne ya 19 na Mjerumani anayejulikana kwa jina kama Walther Flemming. Aliyegundua Huyu Mtaalamu ndiyo yaliyopo katika Kuruani kuanzia Karne ya 7. Allahu Akbar. Na ajabu ni kwamba alitunukiwa zawadi kubwa ya Sayansi kwa ugunduzi huo. Hakufanya hivyo kwa ajili ya Uislamu bali alifanya hivyo kwa ajili ya dunya. Mara Nyingi sana Wataalamu waliotunukiwa zawadi kubwa ni wale ambao utafiti wao ulihusu Kuruani kama kwamba walijua kwamba Waislamu watapata faida kwa kuzidi imani hapo baadaye na pia kuwavutia wengine katika Uislamu. Na huu ndiyo Muujiza. Ni Mpangilio wake Mwenyeezi Mungu. Na Kuhusu Mtaalamu Huyu “Walther Flemming” wanasema kama ifuatavyo: Mara Nyingi sana Wataalamu waliotunukiwa zawadi kubwa ni wale ambao utafiti wao ulihusu Kuruani kama kwamba walijua kwamba Waislamu watapata faida kwa kuzidi imani hapo baadaye na pia kuwavutia wengine katika Uislamu. Na huu ndiyo Muujiza. Ni Mpangilio wake Mwenyeezi Mungu. Na Kuhusu Mtaalamu Huyu “Walther Flemming” wanasema kama ifuatavyo: Mara Nyingi sana Wataalamu waliotunukiwa zawadi kubwa ni wale ambao utafiti wao ulihusu Kuruani kama kwamba walijua kwamba Waislamu watapata faida kwa kuzidi imani hapo baadaye na pia kuwavutia wengine katika Uislamu. Na huu ndiyo Muujiza. Ni Mpangilio wake Mwenyeezi Mungu. Na Kuhusu Mtaalamu Huyu “Walther Flemming” wanasema kama ifuatavyo:
(The Science Channel named Flemming’s discovery of mitosis and chromosomes as one of the 100 most important scientific discoveries of all time, and one of the 10 most important discoveries in cell biology. Flemming’s name is honored by a medal awarded by the German Society for Cell Biology
11/13/2021
HABARI YA KWANZA
Alhamdulilah Leo nimeongeza Video Namba 11 Katika Mlango wa “WANAVYUONI/WATAALAMU” wa Website Hii. Ni Mwanachoni Sheikh Ahmad Kutoka Uganda. Hotuba yake ni karibu dakika 10 huko Pakistan na kama sikosei katika mwaka 2010 na aliifanya Kwa Lugha Ya Kiarabu. Imefasiriwa na wafasiri katika Lugha Ya kiingereza. Kama anavyosema katika Video hii kwamba Mtume (Sala Na Amani Yake Mwenyeezi Mungu Zimfikie) Amepewa Daraja Kubwa Sana na Mwenyeezi Mungu kwa Kiasi Ambacho Katika Kuruani Mwenyeezi Mungu hakumwita Mtume kwa Jina Lake kama alivyowaita Mitume Wengineo kwa Majina Yao kama vile “Ewe Musa “au” Ewe Adam” na wengineo. Kuna Mara Moja Tu Mwenyeezi Mungu alimtaja (na siyo kumwiita kama vile kutumia Ibara Ya Ayuha yaani “EWE”) Mtume kwa jina lake Mohammad (Sala na Amani yake Mwenyeezi Mungu Zimfikie) lakini Katika Aya Hiyo ameambatanisha Jina la Mtume na Utume yaani RASULLULLAH (Prophethood )lakini hakumwita kwa Jina lake kama alivyowanadi Manabii wengineo.. Heshima Kutoka Kwa Aliyemuumba yaani Mwenyeezi Mungu kwa Muumbwa yaani Mtume wake up. Sasa hebu fikiria leo hii watu wanamchezea Mtume kwa kumchora au kutengeneza Cartoons na Kumchezea Mtume wakati ambao aliyeumba ulimwengu huu hakuthubutu hata kumwita Jina lake. Ukipata nafasi tafadhali sikiliza mazungumzo ya mwanachuoni huyu. Allahu Akbar Heshima Kutoka Kwa Aliyemuumba yaani Mwenyeezi Mungu kwa Muumbwa yaani Mtume wake up. Sasa hebu fikiria leo hii watu wanamchezea Mtume kwa kumchora au kutengeneza Cartoons na Kumchezea Mtume wakati ambao aliyeumba ulimwengu huu hakuthubutu hata kumwita Jina lake. Ukipata nafasi tafadhali sikiliza mazungumzo ya mwanachuoni huyu. Allahu Akbar Heshima Kutoka Kwa Aliyemuumba yaani Mwenyeezi Mungu kwa Muumbwa yaani Mtume wake up. Sasa hebu fikiria leo hii watu wanamchezea Mtume kwa kumchora au kutengeneza Cartoons na Kumchezea Mtume wakati ambao aliyeumba ulimwengu huu hakuthubutu hata kumwita Jina lake. Ukipata nafasi tafadhali sikiliza mazungumzo ya mwanachuoni huyu. Allahu Akbar
HABARI YA PILI
Alhamdulilahi katika Mlango wa “Elimu Ya Tawhiyd” ya Website hii Nimeanza kuzungumzia Mada ya MUUJIZA KATIKA TAWHIYD AL-ULUHIYA Unification of Divinity (NABII ISA (YESU) NI KAMA NABII ADAM) wenye uhusiano na NABII ISA (YESU). Mwenyeezi Mungu amejaalia katika Kuruani Miujiza Mikubwa sana ili kuziponda ponda itikadi mbaya kama vile Nabii Isa ni Mtoto wa Mwenyeezi Mungu au Nabii Isa ni Mungu Mwenyewe na pia itikadi nyinginezo za mfano kama huu. Miujiza iliyo ya hali ya juu ambao nimeanza kuielezea leo. Inshaallah Mwenyeezi Mungu akipenda nitaendelea kwani kuna Miujiza Mbalimbali ambayo inazizamisha itikadi hizi na kuzisagasaga mpaka zikabakia as pumba au vumbi. Allahu Akbar
08/11/2021
Nimeelezea Muujiza Wa Mtume Mohammad (Sala na Amani Yake Mwenyeezi Mungu Zimfikie) kutokana na Ushauri aliotoa katika Ujenzi wa Msikiti Huko Yemen. Alimshauri Wabr Ibn Yuanas Al-Khozaee Anapojenga Kiblah basi kielekee Upande wa kulia wa Mlima Dhiyn. Huu Mlima ni karibu kilometer 30 kutoka Sanaa Hapo Yemen. Sayansi Ya leo kwa Kutumia Satellites Inatuthibitishia Kwamba Upande huo wa Kulia wa Mlima Dhiyn unaelekea Kiblah Ya Mecca. Huu Ni Muuujiza Mwingine Katika Ujenzi. Darubini Ya Mtume katika Ushauri huu ulikuwa Wahyi kwani haiwezekani kutoa Ushauri bila ya Vyombo vya hali ya juu. Kutoka Mlima huo mpaka Kiblah Ya Mecca ni katibu Kilometer 50. Kuna VIDEO NZURI na Maelezo yanayotokana na Hadithi Ya mtume kuhusu kisha hiki katika Mlango wa “SAYANSI ZA DUNIA-3”
07/11/2021
HABARI YA KWANZA
Nashukuru Mwenyeezi Mungu leo Nimeendelea Kuelezea Elimu Ya Usul Al-Fiqh (Sources of the Islamic Jurisprudence) katika Mlango wa “USUL Al-FIQH” wa website hii. Ni Elimu muhimu kwani Misamiati Muhimu inatubidi kuielewa na Itatusaidia tunaposikiliza Hotuba za Mashekhe siku za Ijumaa na Katika Madarasa ya Dini. Itatusaidia Kuwafahamu Vizuri. Kwa kweli nimedokeza tu yale yaliyo muhimu lakini siwezi kudai kwamba nimeelezea kila kitu. Ni Utangulizi Mfupi ambao huenda ukatufaa. Namuomba Mwenyeezi Mungu atakabali kazi hii. Kama Kuna Kosa basi ni langu kwani Mwenyeezi Mungu Elimu yake haina Kosa lolote. Nimejitahidi kwa kadiri ya uwezo alionipa na namuomba Mwenyeezi Mungu anisamehe makosa nisiyoyajua katika maandishi haya. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
HABARI YA PILI
Alhamdulilah Leo Nimefungua Mlango Mpya wa “USUL Al-TAFSIR” ambao Mwenyeezi Mungu akipenda Nitaelezea Kwa ufupi Historia ya Tafsiri ya Kuruani na Sayansi za Tafsiri ya Kuruani na Pia nitazitaja na kuelezea zile Aya zilizofasiriwa kwa Upotevu kwa ajili ya Maslahi ya Madhehebu mbalimbali yaliyokuwa hayafuati religion kama ipasavyo. Inatubidi tuwe macho sana. Nimeona bora kuzidhihirisha na kuzielezea Aya hizo katika Website hii kwani ni jambo muhimu sana. Wengi bado hawajui habari hizi. Kuna Vitabu vya Tafsiri ya Kuruani ambavyoo vimejaa Tafsiri za Uwongo viimeandikwa ili kuwavuta watu wafuate matakwa yao.
02/11/2021
Alhamdulilah. Leo nimeanza kuelezea USUL AL-FIQH (Sources of the Islamic Jurisprudence). katika mlango wa “USUL AL-FIQH”” wa website hii. Elimu hii ina faida kubwa katika nyanja mbali mbali za dini. Elimu kubwa kwa hiyo nitaiendeleza Mungu Akipenda kila ninapopata nafasi Usisahau methali isemayo “Ndo Ndo Ndo Huzaja Ndoo”
HABARI ZA MWEZI WA October 2021
10/30/2021
kwanza
Alhamdulilah leo nimezungumzia Mada Inayohusiana na Elimu ya Psychology Katika Mlango wa “KARAMAAT کرَمَات” wa website hii. na pia kuonyesha Video Mbali Mbali ya Vijana Wadogo waliopewa Elimu Ya Hali Ya Juu. Vijana wa aina Hii wanajulikana katika Elimu ya Saikologia (Psychlogy) kama “Prodigy” au Genius” Children . Katika Dini Ya Kiislamu Inajulikana kama KARAMAAT Karamat. Alhamdulilah
PILI
Alhamdulilah Nimeweka Video mbali mbali za Wanavyuoni Waislamu waliopita.(Mola Awarehemu) Katika Mlango wa “Wanavyuoni Waliopita”
TATU
Alhamdulilahi Leo Nimeelezea Elimu Ya Al-Tawhiyd na Sehemu Zake tatu (Al-Rububiya, Al-Uluhiya na Al-Asmaa Al-Husna) katika Mlango wa “Elimu Ya Tawhiyd” wa website hii.
10/23/2021
Alhamdulilahi. Leo Nimeandaa Miujiza Miwili hapa chini na Pia Nimezungumzia Mada Ya Kwanza Kuhusiana na Sherehe za Mawlid Ya Mtume Katika Mlango wa “FATWA NA RAI” Are you inakubaliwa katika Dini Ya kiislamu? Nemeambatanisha Video Za Wanavyuoni Wakubwa Duniani ambazo Zinahusu Habari Hii. Na Pia Fatwa za Nchi Tatu. Egypt, Saudi Arabia and Jordan.
MUUJIZA WA KWANZA
Alhamdulilah. Leo Nimezungumzia Habari katika mlango wa “Sayansi Za Anga-2” Zinazohusiana na Mawingu. Baada Ya Utafiti Wa Muda Mrefu Wataalamu Wa Elimu Ya PHYSICS wanatuambia Kwamba bado wanasoma Elimu inayohusiana na Mawingu. Wanasema Kwamba Mawingu Yapo aina Mbali Mbali kufuatana Na Umbile na Ukubwa Wake. Wanaendelea Kusema kwamba Kuna Mawingu Madogo ambayo yapo karibu na Ardhi na Kuna Mengine Yapo Juu mbali na Ardhi. Katika Yale Madogo mojawapo Wamelipa Jina Cumulus . Jambo the kushangaza Ni Kwamba Wingu hili dogo sana ambalo lipo Juu ya Vichwa Vyetu lina Uzito kutokana na Maji ndani yake wa TEMBO MIA MOJA Allahu Akbar, Yaani Lina Uzito wa 1.1 million pounds!!!. au Tani (Tons) 511 Na Yale Mawingu Makubwa Yanajulikana kama Cumulonimbus yanabeba Maji Mengi zaidi na Uzito wake utashangaa kusikia ni 275 million gallon jars. Karibu 2.3 billion pounds, or 1.1 Million Tani (tons) for Maji. Angalia Maajabu Haya. Yaani Juu yetu Tuanona Mawingu na tunafikiri Mepesi kumbe mazito sana tena sana yanaelea juu yetu. Allahu Akbar. Sasa Ya Kushangaza Zaidi na Muujiza Mkubwa Ni Aya Ya Kuruani Tukufu Kutoka Katika Sura Ya Al-Raadi Yaani Sura Ya Radi. Inayosema
(It is He who shows you the lightning for fear and hope, and creates heavy clouds) [Al-Ra`d: 12]
Tafsiri Ya Aya
i2. Yeye ndiye anayekuonyesheni umeme kwa (kukutieni) khofu (ya kuuawa na radi) na tamaa (ya kupata mvua); na huyaleta mawingu mazito (ya kuleta. mvua).
Angalia Ibara niliyopigia mstari. Sayansi imetumia Vyombo Mbali Mbali Sasa angalia Kuruani Inasema kuhusu Mawingu kwamba ni “MAZITO” je unaona Muujiza Mkubwa kama huu. Mtume alisomea wapi habari kama hii? Nani angeweza kuthubutu kusema haya katika wakati huo wa karne ya 7 huko Mecca. Ibara inayokubaliwa na Sayansi duniani baada ya utafiti wa muda mrefu. Allahu Akbar. Katika Mlango wa SAYANSI ZA ANGA-2 leo nimezungumzia habari hizi na miujiza mikubwa katika Aya za kuruani zinazohusiana na Mawingu. Nimeongeza Picha mbali mbali pamoja Na video Ya PHYSICSinayofundisha Sayansi za Mawingu, Alhamdu Lilahi Kwa Kweli Inasisimua. Kila neno katika kuruani ni Muujiza Mkubwa,. Allahu Akbar.Hii Inathibitisha Kwamba Yule Yule Aliyeshasha Kuruani Ndiye Yule Yule Aliyeumba Ulimwengu. Allahu Akbar. Allahu Akbar. Pia Mwenyeezi Mungu anasema Kwamba Milima Duniani inafanana na Mawingu na ajabu ni kwamba Hivyo ndivyo ilivyo. Angalia Picha Iliyopigwa na Satellite katika “Mlango wa Sayansi-2”. Picha hii inathibitisha Kauli Ya Mola Katika Kuruani Inayosema:
and descends from the sky from the mountains
Tafsiri Ya Kipande hiki ni ” Anashusha Kutoka Mbinguni (Mvua) kutoka katika (Mawingu Mfano wa) Milima”
Huu Ni Muujiza Mwingine wa Kushangaza. Kuona Wingu lenye umbile kama hili inabidi Upande juu ya Anga kwa kutumia Ndege au Satellite. Sasa Je wakati wa Mtume Huko Mecca Kulikuwa Na Ndege? Au satellite? Kwa kweli walikuwa wanapanda Punda na Farasi. Hawakufikiri kama kutakuja kuwa na Ndege (Aeroplanes) na Mengineyo. Allahu Akbar. Angalia Muujiza mbele ya Macho yako?
MUUJIZA WA PILI
Alhamdulilahi Leo Nimezungumzia Habari and Kipimo Kinachotumika Katika Kupimia Madawa Katika Pharmacy na Hospitalini. Kipimo Maarufu kinachojulikana kama “MOLE” Nimezungumzia kwa kirefu katika Mlango Mpya wa “Sayansi Za Dunia-3”
Katika Elimu ya CHEMISTRY Kipimo Cha Mole Moja Ya Maji ni sawa na Grams 18 . Kipimo hiki kinatumika Katika Maduka Ya Kutengeneza Dawa na Pia Hospitalini. Ni Kipimo Muhimu kinachohusika na Chembe Ndogo Ndogo sana ambazo huwezi Kuhesabu kama vitu vikubwa Kama Vile Aroms na Molecules ya Vitu. Ajabu Ni Baadhi Ya Aya Za Kuruani zilizotaja Neno Maji Yaani Maa ۬ kama katika Aya Ifuatayo:
Who made the earth a bed for you, and the sky a building, and sent down water from the sky, and with it brought forth some of the fruits. sustenance for you, so do not set up equals to God while you know (22)
Herofi zake zimekariri mara 18 Pia na Ajabu Ni kwamba Aya nyinginezo tunakuta neno maa ۬ Linatupa Namba 18 pia. Allahu Akbar.
Kwa Kweli Inashangaza. Huenda namba hii inaashiria Kipimo Hiki cha MOLE ? Are you Maajabu? Tunakuta mpaka Vipimo kama hivi Katika Kuruani.
Kipimo hiki kimekubaliwa hivi karibuni na Mashirika Makubwa duniani Yanyohusika na Vipimo Mbalimbali.
Mkataba wa Mashirika Makubwa Ya Vipimo Duniani kama vile IUPAP, IUPAC, International Organization for Standardization (ISO), our CIPM ambayo yalikubaliana hivi karibuni Kutumia na kuingiza Kipimo Cha MOLE kiwe mojawapo wa Vipimo Vinginevyo Duniani.Allahu Akbar. Hii Inaonyesha kwamba Yule yule aliyeumba Ulimwengu ndiye yule yule aliyesha Kuruani. Allahu Akbar.
10/16/2021
Alhamdulilah Leo Nimegusia Miujiza Miwili Mikubwa na Pia Elimu ya Hadithi
MUUJIZA WA KWANZA
Nimezungumzia Habari Ya Kwanza inayohusiana na lugha katika Mlango wa “Mizani Ya Kuruani” ya website hii yenye Kushangaza sana. Ni Mizani ya Mpangilio wa Maandishi katika Kuruani ambao unathibitisha kwamba hakuna anayeweza kuwa na uwezo huo isipokuwa yeye mwenyewe Mwenyeezi Mungu Mtukufu. Maelezo haya yana uhusiano na Elimu ya Sayansi Ya Lugha ambayo tunaweza kuzua na kuunda Ibara Mpya kama
“Mathematical Compative Anto nyms of Repetitive Terms” na kuongeza ibara hiikatika Uwanja wa Sayansi ya Linguistics-Semantics. Tumepewa Kuruani ambayo in Elimu kubwa kwa hiyo tuwe wa kwanza kuzua na kuunda mapya tusisubiri kuundiwa na kupewa bali tujitahidi tuwe katika mstari wa mbele Na kama inavyoeleweka kwamba Sura, Aya, Herofi na Maneno ya Kuruani yana uhusiano baina yake na hesabu kwa hiyo k una Ibara nyingine inayosifu Uhusiano huu unaosema “Interlocking Mathematical Codes In the Quran”. Mungu akipendaTutazidi kuelezea zaidi Kuripiti au Kukariri kwa Maneno au ibara zenye kupingana Kimaana. Kwa Kweli Inashangaza na inathibitisha kwamba Elimu ya Mwenyeezi Mungu ni kubwa Sana. Allahu Akbar.
MUUJIZA WA PILI
NImezungumzia Utafiti katika “Maziwa Ya Mama” Katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-5” wa Website hii Utafiti Unathibitisha kwamba Kuruani na Hadithi Ya Mtume Ni Miujiza Mikubwa. Wataalamu wamegundua STEM CELLS, Milk microRNAs na Mengineyo katika Maziwa Ya Mama. Na Kwa Hiyo mtoto wa Kunyonya na wa Asili ni ndugu kutokana na Utafiti wa Madakitari na Wataalamu Duniani. Utafiti wa Wataalamu Huko Australia katika University ya Australia wanathibitisha haya. Na ndugu hawa kuoana ni hatari kubwa. Ajabu Ni Kwamba Kuruani Inathibitisha na Hadithi ya Mtume pia tangu karne ya 7. Mtume alisoma wapi Habari hizi.
Kuruani inasema
حُرِّمَتۡ عَلَيۡڪُمۡ أُمَّهَـٰتُكُمۡ وَبَنَاتُكُمۡ وَأَخَوَٲتُڪُمۡ وَعَمَّـٰتُكُمۡ وَخَـٰلَـٰتُكُمۡ وَبَنَاتُ ٱلۡأَخِ وَبَنَاتُ ٱلۡأُخۡتِ وَأُمَّهَـٰتُڪُمُ ٱلَّـٰتِىٓ أَرۡضَعۡنَكُمۡ وَأَخَوَٲتُڪُم مِّنَ ٱلرَّضَـٰعَةِ وَأُمَّهَـٰتُ نِسَآٮِٕكُمۡ وَرَبَـٰٓٮِٕبُڪُمُ ٱلَّـٰتِى فِى حُجُورِڪُم مِّن نِّسَآٮِٕكُمُ ٱلَّـٰتِى دَخَلۡتُم بِهِنَّ فَإِن لَّمۡ تَكُونُواْ دَخَلۡتُم بِهِنَّ فَلَا جُنَاحَ عَلَيۡڪُمۡ وَحَلَـٰٓٮِٕلُ أَبۡنَآٮِٕڪُمُ ٱلَّذِينَ مِنۡ أَصۡلَـٰبِڪُمۡ وَأَن تَجۡمَعُواْ بَيۡنَ ٱلۡأُخۡتَيۡنِ إِلَّا مَا قَدۡ سَلَفَۗ إِنَّ Allah is Forgiving, Most Merciful (23)
Haramu Kwenu………………. na ndugu wa kunyona “na pia mtume amesema”
“ Indeed , God has forbidden breastfeeding what He has forbidden in terms of lineage.”
Mwenyeezi Mungu ameharimisha ya wa kunyonya kama alivyoharimisha (ndugu) wa asili.
Allahu Akbar. Miujiza na Miujiza isiyo na mwisho.
HADITHI ZA MTUME (Amani na Sala Za Mwenyeezi Mungu Zimfikie)
Alhamdulilah leo Nimeanza Kuelezea “Elimu ya Hadithi” za Mtume (Amani Na Sala Zimfikie) Katika Mlango wa “USUL AL-HADITH” Nimeanza kuelezea Mgawanyiko wa Elimu hii Na Misamiati (Terminology) Mbali mbali kufuatana na Mgawanyiko wa Hadithi Mustalah al -Hadith “Classification of Hadith”
10/10/2021
HABARI YA KWANZA
Alhamdulilah Leo Nimezungumzia Miujiza Mbalimbali katika Aya Namba 3 Sura Ya Al-Maidah Namba 5. Aya Moja lakini Kuna Mengi ya Kushangaza. Miaka ya Wahyi, Umri wa Mtume (SAW), Muda wa Kulingania Dini Huko Mecca na Madinna Umeshiriwa Kiajabu Sana. Allahu Akbar. Sasa ikiwa Aya Moja Tu ina yote haya ambayo ni tonye tu katika tukiyoelezea au tonye tu la Bahari ya mambo tuliyogusia sasa je Kuruani Yote? Ni Mabahari yasiyo na Mwisho. Allahu Akbar. Soma Habari hizi katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-5”
HABARI YA PILI
Alhamdulilah. Leo Nimeongeza Suala La Tatu Na Jawabu Lake Katika Mlango wa “Elimu Ya Mirathi” Suala La Tatu Linalosema
Mtu amefariki na ameacha Mtoto wa Kike Mmoja na Dada Wawili Wa Kwa Baba na Mama. Je Dini Ya Kiislamu Inatoa Fundisho Gani katika Kugawanya Mali Kufuatana na Elimu Ya Urithi?
08/10/2021
HABARI YA KWANZA
Alhamdulilah. Leo Nimeongeza Suala La Pili Na Jawabu Lake Katika Mlango wa “Elimu Ya Mirathi” Suala La Pili Linalosema
Mtu amefariki na ameacha Mtoto wa Kiume Mmoja na Watoto Wawili Wa Kike. Je Dini Ya Kiislamu Inatoa Fundisho Gani katika Kugawanya Mali Kufuatana na Elimu Ya Urithi?
HABARI YA PILI
NAMBA ZA KUSHANGAZA
Surah Ya 47 Muhammad Aya Namba 13
And how many towns are more powerful than yours, which expelled you from their families, so they have no helper (13)
TAFSIRI
Na (watu wa) miji mingapi iliyokuwa yenye nguvu zaidi kuliko (watu wa)mji wako uliokutoa: Tuliwaangamiza wala hawakuwa na msaidizi.
KUHUSU MAANDISHI YA KURUANI
Kabla ya Kuielezea Aya Hii ningependelea kuzungumzia kuhusu Maandishi ya Kuruani kwamba hapo mwanzoni Aya zilikuwa hazina Namba au alama zozote the kusaidia Kisomi katika Alama za Elimu Ya Al-Tajwid na Nyinginezo (Diacttritical Marks) Kama vile Fatah, kasrah, Dhumma au S ukuun. Hizi zote ziliongezwa badaye kama tulivyozungumza katka sehemu nyingine ya Website hii.Neno Aya Maana yake Muujiza au Alama za Muujiza.
MUUJIZA WA KUSHANGAZA
Baada ya Kuichunguza Aya hii Tunagundua Muujiza wa Kushangaza. Allahu Akbar.
Aya hii Namba 13 Katika Sura Ya Mohamed (Sala na Amani Yake Mola Zimfikie). Ina Herofi 53 Kufuatana Na Maandishi Ya Mwanzo Kabla Ya Kuongezwa Harakati Yeyote Ile. Yaani Al-Othmanic Script na Siyo Al-Imlai Script.
Aya hii ilishuka Wakati Mtume anakimbia kwenda Madinna baada ya Makafiri wa Mecca kufanya njama ya kutaka Kumwua. Hakuona la kufanya isipokuwa kukimbia mbali na Mji huo wa Mecca na alipokuwa safarini katika Mwaka wa 13 wa Utume.(Revelation) Mwenyeezi Mungu akamshushia Aya Hii ili kumliwaza na kumpa moyo kwamba kuna watu waliotangulia ambao walikuwa na nguvu zaidi kuliko watu wa mji wako uliokutoa: Tuliwaangamiza wala hawakuwa na msaidizi. (Na kwa hiyo usiogope tutakusaidia.) Sasa Angalia Ya kushangaza. Allahu Akbar.
Aya Hii ilishuka mwaka wa 13 wa Hijra (Migration Period) na katika kuruani Ni Aya namba 13 pia!!!! Angalia ya kushangaza, Hapo awali Aya za kuruani hazikuwa na Namba yeyote. Ndiyo kusema waliofanya kazi ya kuongeza Namba walifanya hivyo na hali Mwenyeezi Mungu alikuwa nao anasimamia bila wao kujua. Kwa kweli inashangaza. Muujiza wa pili Aya hii in herufi 53 sasa tuone mangine ya kushangaza. Mtume katika wakati huo alikuwa na umri wa miaka 53 pia!!!! Allahu Akbar
Angali ya kushangaza. Aya Moja inatupa Umri wa Mtume na Pia Namba Ya Aya katika Kuruani Tukufu. Je huoni Muujiza wa Ajabu, Kwani Mtume alishushiwa Wahyi (Revelation) wakati alipokuwa na numri wa miaka 40 on akaishi Mecca miaka 13 on Jumla ni 53. Aya hii ilimshukia akiwa na Umri wa miaka 53!!!! sawa sawa na Jumla ya herofi za Aya hii.
Wala Mtume hakujua uhusiano wa Aya hii na Umri wake na pia namba 13 Ya Aya katika Kuruani. Miujza hii tunaigundua leo ili kutusaidia sisi. Inatuhusu sisi watu wa leo. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
05/10/2021
MUUJIZA MPAKA KATIKA ADHANA
Alhamdulilah Leo Nimeelezea Muujiza Mkubwa Unaohusiana na Adhana. (Invitation to Obligatory Prayers or a Call to Obligatory Prayers). Asili Ya Adhana ni Ndoto ya Maswahaba Wawili;Abdullah Ibn Zaid na Umar Ibn Khataab (Radhi Ya Mwenyeezi Munfgu ziwafikie) Na Mpaka leo Tunatumia Adhana Hiyo. Allahu Akbar. Muujiza wa Kushangaza. Muujiza Siyo Katika Kuruani na Hadithi za Mtume peke yake bali Hata Adhana na una uhusiano na Hesabu. Kwa kweli inashangaza Allahu Akbar. Allahu Akbar.
03/10/2021
HABARI YA KWANZA
Alhamdulilah. Nimeongeza Mlango Mpya wa “Elimu Ya Mirathi” ili Mungu akipenda tupate kusoma Elimu hii kwa njia ya Masuali na Majibu. Kwa Leo Nimeanza Na Swala La Kwanza Linalosema
Mume amefariki na ameacha Mke na Mtoto Mmoja wa Kiume Je Dini Ya Kiislamu Inatoa Fundisho Gani Katika Kugawanya Mali Kufuatana na Elimu Ya Urithi?
Na Mungu akipenda nitaendela na Maswali Mengineyo. Nadhani Njia hii Ni Nzuri zaidi Kusoma Elimu hii kuliko Maelezo Marefu ambayo yanahitaji muda mrefu.
HABARI YA PILI
MARA 31 KATIKA SURA YA AL-RAHMAN NA KUASHIRIWA KWA AYA HII KATIKA SURA YA AL-FATIHA
Alhamdulillahi Leo Nitazungumzia Muujiza Wa Kushangaza Sana Allahu Akbar.
Tukichunguza mpangilio wa Aya ya Sura Ya Al-Rahman Namba 55 Utashangaa sana Kuona Muujiza Wa Kukariri Kwa Aya Mara 31. lakini siyo Kukariri tu bali Zimegawanywa Na Mwenyewe Mwenyeezi Mungu Kiajabu Sana kufuatana na Maana au madhumuni ya Sehemu Za Sura Hii.
Hebu Tuchunguze Maajabu Haya. Allahu Akbar.
Kufuatana Na Madhumuni Ya Sura Hii Tunaweza Kuigawa Katika Mafungu Manne.
Fungu La Kwanza
Ni Aya zinazozungumzia Neema Mbalimbali Kutoka Kwa Mwenyeezi Mungu Mtukufu kama vile Kumuumba Binaadamu, Kuumba Nyota, Jua, Mwezi, Bahari, Mimea Na Neema Nyinginezo. Aya Za Fungu hili ni Kuanzia Aya Namba 10 Mpaka Aya Namba 30.
Aya Inayosema Which of the favors of your Lord do you deny imekariri katika Fungu hili Mara 8
(And the earth He has provided for the human beings. (10) There is fruit in it, and palm trees with sleeves. How much do you deny (13) Man was created from clay like pottery (14) And the elves were created from raging fire (15) So which of the blessings of your Lord are You are lying (16) Lord of the two Easts and Lord of the West (17) Which of the favors of your Lord would you deny (18) The two sides meet (19) Ben They are a barzakh that they do not transgress (20) Which of the favors of your Lord would you deny? (21) Pearls and corals emerge from them (22) So which of the favors You both deny your Lord(23) And he has as a neighbor the installations in the sea like flags (24) Which of the favors of your Lord would you deny? The Face of your Lord of majesty and honor remains. (27) Which of the favors of your Lord would you deny? (28) Whosoever is in the heavens and the earth asks Him. and what is it In a matter ( 29) Which of the favors of your Lord would you deny (30)) [Al-Rahman: 1-30]..
Fungu La Pili
Aya Za Fungu La Pili Zinazungumzia Moto wa Jahannam, Na pia Kupasuka kwa Mbingu siku ya Kiyama na Mengineyo. Aya Za Fungu hili ni Kuanzia Aya Namba 31 Mpaka Aya Namba 45. Aya Inayosema Which of the favors of your Lord do you deny
(We will empty for you, you heavy burdens. (31) Which of the blessings of your Lord will you deny? (32) O assembly of jinn and mankind, if you are able to Pass through the regions of the heavens and the earth, and pass through, you cannot pass through except with authority (33) Which of the blessings of your Lord will you deny? (34) He sends Splinters of fire and copper upon you, do not be victorious (35) Which of the favors of your Lord would you deny? (36) Then, when the sky was cleft asunder, it was as pink as paint. (37) Which of the favors of your Lord would you deny? (38) On that day, neither man nor jinn will be questioned about his sin. (39) Which of the favors of your Lord will you both deny?(40) Criminals are known by their marks, and they are seized by the forelocks and feet. (41) Which of the favors of your Lord will you deny? (42) This is Hell. Which criminals deny (43) They go around between it and an intimate place (44) So which of the favors of your Lord will you deny? (45))) [Rahman: 31-45] ].
Fungu La Tatu
Aya Za Fungu La Tatu Zinazungumzia Kuhusu Mabustani Mawili, Matunda na Mengi Mengineyo huko katika Mabustani Hayo. Imekariri katika fungu hili Mara 8
(And for him who fears the position of his Lord, two gardens. (46) Which of the favors of your Lord will you deny? (49) In them are two eyes running (50) So which of the favors of your Lord would you deny? (51) In them there are two pairs of every fruit ( 52) So which The favors of your Lord you both deny (53) Reclining on mattresses lining them of elastane, and the two gardens are close (54) So which of the favors of the Lord As you deny (55) Among them are minors, whom neither man nor jinn had menstruated before them (56) Which of the favors of your Lord would you deny? (57) K They are rubies and corals (58) Which of the favors of your Lord would you deny? (59) Is the reward for good except goodness? (60) Which of the favors of your Lord would you deny? (61))) [Rahman: 46] -61].
Fungu La Nne
Aya Za Fungu La Nne Zinaelezea Habari Za Mabustani Mengine Mawili Huko Peponi na Neema Nyinginezo Katika Mabustani hayo. Aya Za Fungu Hili Ni Kuanzia Namba 62 Mpaka 78. Aya Inayosema Which of the favors of your Lord do you deny?
(62) Which of the favors of your Lord would you deny ? (63) Two walls (64) Which of the favors of your Lord would you deny? (65) No fresh eyes (66) Which of the favors of your Lord would you deny? (67) In them are fruits, palm trees and pomegranates (68) So which of the favors of your Lord will you deny? two flies ( 69) In them are good and beautiful things (70) Which of the favors of your Lord will you deny? It is clear (73) that neither man nor jinn before them had menstruated them (74) Which of the favors of your Lord would you deny? ( 75) Reclining on a green ledge and Genius Hassan (76) So which of the favors of your Lord will you both deny (77) Blessed be the name of your Lord, Possessor of Majesty and Honor (78) [Al-Rahman: 62-78].
Sasa Angalia Muujiza Mkubwa Unaofuata. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
So which of the favors of your Lord would you deny?
Ukichunguza Sana utaona Muujiza Kwani Fungu La Kwanza Linahusikana na Neema na Mambo Mazuri na Kwa Hiyo Aya Which of the favors of your Lord do you deny? Iliyosema Kwamba Huko Peponi Kuna Milango Ya Pepo 8
Hadithi Kutoka katika Vitabu vya Bukhari na Muslim inasema kwamba “Katika Pepo kuna Milango Minane Na Kuna Mlango Unaoitwa kwa jina “Ar-Raiyan” hakuna watakaoutumia katika kuingia Peponi isipokuwa Wenye Kufunga (Saumu)”
Said bin Abi Maryam told us, Muhammad bin Mutrif told us, he said Abu Hazim told me, on the authority of Sahl bin Saad – may God be pleased with him – on the authority of the Prophet He, may God’s prayers and peace be upon him, said: “In Paradise there are eight gates, in which there is a gate called Al-Rayyan, and only those who fast can enter it . ” ..
Narrated Sahl bin Sa`d: The Prophet (peace be upon him) said, “Paradise has eight gates, and one of them is called Ar-Raiyan through which none will enter but those who observe fasting.”
Na Katika Fungu la 3 Na 4 Pia Zilihusika Na Mabustani Ya Peponi Na ndiyo Maana Kila Kundi Katika Haya Mawili Pia Utakuta Aya So which of the favors of your Lord do you deny? Na Hii Inaashiria Milango Ya Peoponi ambayo ni Minane. Imekariri katika fungu hili la pili Mara 7 tu. Kulingana Na Idadi Ya Milango Ya Motoni ambayo Ni Saba kama Alivyosema Mwenyeezi Mungu Katika Kuruani Tukufu Kwamba Jumla ya Milango ya Motoni ni Saba.
Sura Ya Al-Hijr Aya Namba 43 na 44 (44) And verily, Hell is for their appointment all together (43) It has seven gates , for each of them is an apportioned portion.
Tafsiri
43. Na bila shaka Jahanamu ndipo mahali pao walipoahidiwa wote’
44. In a milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu yao iliyogawanywa (ya kuwa hii ya mlango fulani na hii ya mlango fulani).
Sasa Tujiulize Maswali. Je Huu Mpangilio Umejifanyia Peke Yake? Hatuoni Kama Yana Mpangaji. Aya Hizi Zimepangwa Kiajabu Sana tena Sana. Allahu Akbar. Allahu Akbar. Idadi Ya Kukariri Aya Which of the favors of your Lord do you deny mara 7 na 8 siyo bure bure bali kwa hekima kubwa. Ni Muujiza katika Miujiza Yake Mola. Namba hizi zina uhusiano na Idadi Ya Milango Ya Peponi na Motoni. Yaani Zinaashiriya Milango hiyo.
Hizi Aya 31 Zimeashiriwa Kiajabu Sana katika Sura Ya Al-Fatiha. Yaani Sura Ya Kwanza. Allahu Akbar.
Tutafanya Utafiti Katika Maandishi Yanayotumika Leo Hii Katika Misahafu ilityoenea Duniani. (AL-RASM AL-IMLAI) ambayo inatumia (Diactritical Marks) at Harakati.kama vile Fatah, Dhummah, Kasrah na Sukuun.
Hizi Harakati ziliongezwa baada ya Mtume Kufariki Katika Mwaka-(Circa yaani Approximately 70)-Baada ya Hijrah. Ziliongezwa na Waislamu ili kuwasaidia wasomi wa Kuruani ili wassome bila makosa na hasa baada ya Wasiokuwa Waarabu Kuingia katika Uislamu ilibidi kuongezwa alama hizi ili kurahisisha kisomo.
Kwa mfano Neno in the name of ni rahisi kulisoma kwani kuna Kasrah chini ya Herofi Baa na Mim na Sukun Juu ya herofi Sin na kwa hiyo msomaji hawezi kukosea katika matamshi na atatamka kufuatana na alama hizi. Kwani Alama hizi zinamwongoza msomaji asome Bismi na siyo Vingine kama vile Basmi au Basmu au Busmi au Busimu na hali kadhalika zaidi ya mifano kama hii..
Sasa Tuchunguze Uhusiano wa Aya Hii Iliyokariri mara 31 katika Sura Ya Al-Fatiha Kama Nitakavyofanya hapa chini.
In the name of God , the Most Gracious , the Most Merciful. We have come to the straight path / the path of those whom You have blessed , not of those who have gone astray , nor of those who have goneastray
Sasa Tuchukue Neno la kwanza la kila Aya na tujumlishe Herofi zake.
Herufi 3 + Praise be to Him Herufi 5 + Most Gracious Herufi 6 + Malik Herufi 4 + Beware of Herufi 4 + Guide Us Herufi 5 + The Path of Herufi 4 = Jumla Herufi 31
Angalia Hapa Jumla ya Herufi ya maneno haya ni 31 na namba hii inaashiria Aya zile 31 za Sura Ya Al-Rahman tuliyoitaja katika Muujiza uliopita hapa juu yaani Which of the favors of your Lord do you deny
Sasa tuendelee na Maajabu ya kushangaza kwa kuchukua neno la pili la kila Aya na tujumlishe herufi zake
God Herufi 4 + To God Herufi 3 + The Merciful Herufi 6 + The Day of Herufi 3 + We Worship Herufi 4 + The Path Herufi 6 + Those Who Herufi 5 = Jumla Herufi 31
Angalia Hapa Herofi za Jumla ya maneno haya ni 31 na namba hii inaashiria Aya zile 31 za Sura Ya Al-Rahman yaani So which of the favors of your Lord do you deny
Sasa tuendelee na Maajabu ya kushangaza kwa kuchukua neno la tatu la kila Aya na tujumlishe herufi zake
The Most Merciful Herufi 6 + The Lord of Herufi 2 + Aya Ya Tatu Hakuna Neno la tatu kwa hiyo ni 0 + Religion Herufi 5 + And beware of you Herufi 5 + The upright One Herufi 8 + You have been blessed Herufi 5 = Jumla Herufi 31
Angalia Hapa Herofi za Jumla ya maneno haya ni 31 na namba hii inaashiria Aya zile 31 za Sura Ya Al-Rahman yaani So which of the favors of your Lord do you deny
Allahu Akbar. Hebu tuendelee na Maajabu haya yasiyo na mwisho Allahu Akbar Allahu Akbar
Tukihesabu Jumla ya Dots au Nukta Juu na Chini ya Maneno matatu ya kila Aya Yaani Katika Maneno Tuliyoyachagua hapa Juu utapata Jumla ni Herofi 31 pia Allahu Akbar. Yaani Hata Points au Dots yaani Nukta katika hizi Herufi jumla yake ni 31.
Je huoni Muujiza Huu wa Kushangaza. Kama tulivyoeleza hapo awali kwamba Hizi Alama (Diactritics) Yaani Fatah, Kasrah Na Sukuun ziliongezwa baada ya muda wa miaka mingi. Na walioongeza siyo Mtume au Maswahaba bali Waislamu Waliokuja Baadaye ili kurahisisha Kisomi cha Kuruani. Mwenyeezi Mungu amesema katika Kuruani Tukufu kwamba Ataihifadhi Hii Kuruani isiharibiwe wala kubadilishwa. Hapa tunaona Muujiza. Yaani Wale waliokuwa wakiongeza Alama au Harakati Hizi walikuwa wakisaidiwa Na Mwenyeezi Mungu Mwenyewe. Unaona Muujiza. Yaani Walikuwa wakichungwa na Mwenyeezi Mungu katika shuguki zao zote.
Unaona Uwezo wa Mwenyeezi Mungu ambao sio Mdogo. Haikuwa mikono yao iliyofanya hivyo bali ni Mkoni wake Mwenyeezi Mungu aliye na uwezo wa kila kitu. Sasa Mpaka Nukta tunapata Jumla hiyo hiyo ya 31. Yaani Hesabu zinazungumza yaani Namba Zinatueleza Ya Kushangaza. Unaona Ukubwa na Elimu ya Mwenyeezi Mungu ilevyo kubwa!!!!! Allahu Akbar.
Angalia Picha Hapa Chini ya Jumla Ya Nukta (dots) Katika Maneno Tuliyoyataja hapa Juu,. Yaani kuhusu Utafiti wa Maneno Matatu kutoka katika Kila Aya Ya Sura Ya Al-Fatiha.
Linaloshangaza ni kwamba Mwenyeezi Mungu alijua Alama hizi Yaani Diacteritical Marks (Harakati)kama Fatah, Kasrah na Sukun kabla ya Binaadamu kufikiria na kuzigundua na kuzitumia. Alijua yaliyomo katika fikra zetu kabla na baadaye Je hatuogopi?
Hatujamaliza Huu muujiza usiyo na Mwiso hebu tuendelee Kuchunguza zaidi. Tuhesabu Herofi za Majina Yake Mwenyeezi Mungu katika Sura Ya Al-Fatiha.
God Herufi 4 + Most Gracious Herufi 6+ Most Merciful Herufi 6+ To God Herufi 3 + Most Gracious Herufi 6 + Most Merciful Herufi 6 = Jumla Herufi 31. Majina yake pia yana jumla ya herufi 31. Alahu Akbar. Allahu Akbar.
Sasa Fikiri Mwenyewe je namba 31 imekariri mara 5 as tulivyoona hapa juu katika Sura Ya Al-Fatiha je huu siyo Muujiza? Je huoni Ya Kushangaza hapa?
Kwa kweli siyo bure bure bali kuna sababu. Dalili Zinaonyesha Kwamba namba hii inaashiria Aya Iliyokariri katika Sura Ya Al-Rahman Kama tulivyoelezea Hapa Juu. Mwenyeezi Mungu Anajua Zaidi. Allah Akbar.
Miujiza isiyo na Mwisho. Allahu Akbar. Allahu Akbar. Mwenyeezi Mungu Mkubwa Sana na Elimu yake kubwa sana tena sana. Allahu Akbar.

Angalia Nuqta (DOTS) Zilvyotumika Jumla mara 31 kiajabu sana. Yaani Hakuna Upuuzi wowote katika Kuruani Tukufu. Kila Kilichotajwa kina Maana. Allahu Akbar.
HABARI ZA MWEZI WA September 2021
MUUJIZA WA LEO SIYO MDOGO UNAHUSIANA NA MILANGO YA PEPONI NA MOTONI
09/30/2021
Alhamdulilah Tunashukuru Mungu Kutupa Uzima. Ni Tarehe ya Mwisho wa Mwezi Wa September na Alhamdulilahi Kesho Ni Tarehe 01 October 2021. Leo Nimeelezea Muujiza wa Neno “Milango” Katika Kuruani kufuatana na Milango Ya Pepo na Moto. Kwa Kweli Siyo Madogo bali Makubwa sana. Hi Miujiza ya Kuruani siyo midogo. Habari Ya leo inahusiana na Milango ya Pepo na Moto. Hadithi ya Mtume Mohamed hapa chini (Amani na Sala Zake Mwenyeezi Mungu zimfikie) iliyopo katika Vitabu vya Bukhari na Muslim inasema kwamba “Katika Pepo kuna Milango Minane Na Kuna Mlango Unaoitwa kwa jina “Ar-Raiyan” hakuna watakaoutumia katika kuingia Peponi isipokuwa Wenye Kufunga( Saumu)”
Said bin Abi Maryam told us, Muhammad bin Mutrif told us, he said Abu Hazim told me, on the authority of Sahl bin Saad – may God be pleased with him – on the authority of the Prophet He, may God’s prayers and peace be upon him, said: “In Paradise there are eight gates, in which there is a gate called Al-Rayyan, and only those who fast can enter it.” ..
Narrated Sahl bin Sa`d: The Prophet (peace be upon him) said, “Paradise has eight gates, and one of them is called Ar-Raiyan through which none will enter but those who observe fasting.”
na Kuhusu Jumla ya Milango ya Motoni ni Saba kama Mwenyeezi Mungu alivyosema katika Kuruani Tukufu Sura Ya Al-Hijr Aya Namba 43 na 44
(44) Hell is for their appointment all together. (43) It has seven gates, for each of them is a part divided.
Tafsiri
43. Na bila shaka Jahanamu ndipo mahali pao walipoahidiwa wote’
44. In a mijango saba; na kwa kila mlango iko sehemu yao iliyogawanywa (ya kuwa hii ya mlango fulani na hii ya mlango fulani).
Kwa hiyo ukijuumlisha Milango ya huko Peponi na Motoni utapata Jawabu Milango 15
(8 Milano Peponi + 7 Milano Motoni = 15)
Sasa Angalia Muujiza Ya Kushangaza. Allahu Akbar.
Neno doors yaani Milango limetumika katika kuruani yote mara 15 tu!!! yaani Kulingana na Jumla ya Milango ya Peponi na Motoni. Nimekusanya hapa chini Aya Zote zenye Kutumia Neno yaani Milango doors . Neno doors Katika Aya zote hapa chini limetumika kwa maana mbalimbali kama vile Milango ya Nyumba au Milango ya Mbingu na maana Nyinginezo. Lakini Muujiza unaotushangaza ni Mpangilio wa Kihesabu Katika Kuruani. Hii inathibitisha Kwamba Kuruani imepangwa na Mwenyeezi Mungu Katika Mfumo wa hali ya Juu sana tena sana. Katika Kuruani Yote zipo hizi Aya 15 tu ambazo ni Hizi hapa Chini. Angalia Aliyeshusha Kuruani Kweli hastahiki Kuogopewa? Je Huoni Muujiza Mbele ya Macho Yako. Kuruani Ilishuka Katika Wakati Mbalimbali na Mazingara Mbali Mbali kwa kipindi Cha Miaka 23. Lakini Mpangilio Wake Umesimamiwa Na Yeye Mwenyewe Mwenyeezi Mungu na Hakuna Aliyebadilisha, Kupunguza au Kuzidisha. Na Hesabu hizi zinathibitisha kauli yake Mwenyeezi Mungu aliyesema kwamba Ataihifadhi Kuruani Hii Mwenyewe. Muiyano Huu wa Kihesabu Unathibitisha Kwamba Hadithi Ya Mtume Ni Sahihi na Ulikuwa Wahyi. Allahu Akbar
1- (And enter the houses from their doors , and fear Allah, that you may succeed) [Al-Baqara: 189].
2- (When they forgot what they were reminded of, We opened the doors of everything to them) [Al-An’am: 44].
3- (Indeed, those who deny Our signs and are arrogant about them, the gates of heaven will not be opened for them ) [Al-A’raf: 40].
4- (And the one in whose house he was seduced by himself and closed the doors ) [Yusuf: 23].
5- (And he said, “My son, do not enter from one gate, but enter from separate gates ” [Yusuf: 67].
6- (It has seven gates , each of them has a divided part) [Al-Hijr: 44].
7- (So enter the gates of Hell to abide therein. What an evil abode for the arrogant) [An-Nahl: 29].
8- (Gardens of Eden, the doors of which are open for them ) [p.: 50].
9- (Those who disbelieved will be driven to Hell in droves until, when they reach it, its gates will be opened ) [Al-Zumar: 71].
10- (It was said, Enter the gates of Hell to abide therein, for what an evil abode for the arrogant) [Al-Zumar: 72].
11- (Those who feared their Lord will be marched to Paradise in groups until, when they come to it, its gates will be opened ) [Al-Zumar: 73].
12- (Enter the gates of Hell to abide therein. What an evil abode for the arrogant) [Ghafir: 76].
13- (They have doors to their homes , and couches on which they recline) [Al-Zukhruf: 34].
14- (So We opened the gates of the sky with pouring water) [Al-Qamar: 13].
15- (And the heavens were opened, and there were gates ) [Al-Naba’: 19].
09/29/2021
Alhamdulilahi. Leo Nimezungumzia Muujiza Mwingine wa habari za Maradhi ya nafsi yanayojulikana kama (OCD) “obsessive-compulsive disorder” katika Mlango wa “Sayansi Za Viumbe” Nimeongeza Picha Tatu ili Kuelezea Habari Hizi kwa Vizuri Zaidi.
Haya Ni Maradhi mabaya sana ambayo Yanavamia na Kuilazimisha Nafsi ya Mtu ifanye mabaya au machafu yeyote kama vile kudhuru nafsi yake au ya mwingine, Kutamani Mengineyo kama vile Uasherati na Pia Kutukana Dini na Kumtukana Mwenyeezi Mungu. Mtaalamu Dakitari Maarufu Wa Maradhi ya Akili na Nafsi (Psychiatrist) Bwana Ian Osborne alifafanua katika kitabu chake kizuri sana Kinachojulikana kwa jina ( “Tormenting Thoughts and Secret Rituals”)maandishi yaliyoandikwa na Mtaalamu Dakitari Mwingine wa Magonjwa ya (Psychiatrist) Akili na Nafsi Sir Aubrey Lewis yenye kuhusu Vipengele Vitatu. (1) Filth and Lust (2) Harm na (3) Blasphemy. Mpaka Leo Ugonjwa huu bado kujulikana Chanzo au Sababu Zake. Madawa Yaliyopo yanasadia lakini hayaponyeshi kwa ukamilifu. Muujiza Ni Kwamba Aya Ya Kuruani ifuatayo imetumia Vipengele hivi vitatu na kutoa sababu ya Maradhi na Dawa yake. Mwenyeezi Mungu anasema katika
Surah Ya Bakarah Namba 2 Aya Namba 168-169
O people, eat of what is in the earth, lawful and good, and do not follow the footsteps of Shaitan, for he is yours. a clear enemy (168) He commands you only to do evil and lewdness, and to say about God what you do not know (169)
Tafsiri
168. Anyi watu! Kuleni vilivyomo katika ardhi, halali na vizuri, wala msifuate nyayo za Shetani (yale anayokuamrisheni). Bila shaka yeye kwenu ni adui dhahiri. I69.Yeye anakuamrisheni mfanye mabaya (yenye dhara) na (kufanya) mambo mabaya na machafu, (kama vile uasherati)na mumsingizie Mwenyezi Mungu msiyoyajua
Katika Kitabu Hicho cha (“Tormenting Thoughts and Secret Rituals”) Bara Ya Kuruani inayosema
And that you say about God what you do not know
Allahu Akbar. Utafikiri Madakitari hawa walitumwa kuwasaidia Waislamu. Wao hawakuwa Waislamu wala hawajui lolote kuhusu Aya Hii katika Kuruani Tukufu. Enyi Wasomaji Huu siyo Muujiza? Kuruani Inasema Sababu Ya Ugonjwa Huu ni Dhara Ya Shetani. Kuruani inatupa Sababu ya Maradhi na Dawa Yake. Allahu Akbar.
09/26/2021
Na Imetumika katika Sura Ya Al-Bakarah Mara 4214 Kisha Inafuatiwa Na Herofi Ya Al-Lam ambayo ni Ya Pili nayo imetumika katrika Sura Ya Al-Bakarah Mara 3198 na Herofi ya Mwisho ni Al-Mim ambayo imetumika mara 2192. Yaani Kimatumizi pia ni Muujiza. Iliyotumika zaidi imekuja Mwanzo na Iliyotumika kidogo Inafuatia. Ukijuumlisha Jumla Ya Herufi hizi Tatu utapata 4214 + 3198 + 2192 = 9604 Na Mpangiko huu pia upo Katika Aya Ya Kwanza Ya Sura Ya Al-Rum. Yaani Alif, Lam na Mim zimepangwa hivi hivi. Allahu Akbar. Siyo Mtume au Maswahaba waliopanga Bali Ni Yeye Mwenyeezi Mungu aliyeshusha Kuruani hii. Lam na mim zimepangwa hivi hivi. Allahu Akbar. Siyo Mtume au Maswahaba waliopanga Bali Ni Yeye Mwenyeezi Mungu aliyeshusha Kuruani hii. Lam na mim zimepangwa hivi hivi. Allahu Akbar. Siyo Mtume au Maswahaba waliopanga Bali Ni Yeye Mwenyeezi Mungu aliyeshusha Kuruani hii. Na Hii Namba 9604 Ni sawa na 7 X 7 X7 X7 X4 angalia namba 7 ilivyokariri. Namba zinazungumza. Ni Lugha Pia. Namba hii 7 Tumeizungumzia katika Website hii, imepewa Utukufu sana na Mwenyeezi Mungu. Haya yote tunayagundua Leo kwani Mtume Hakuwa akihesabu yote haya. Tumewekewa sisi katika wakati huu wa maendeleo ya kisayansi ili kuwapa imani waumini, kuwaongoza waliopotea na wanaokataa uislamu. Kwani Kuruani ni Kitabu cha Mwisho Na Mtume Mohamed (Sala na Amani Ya Mwenyeezi Mungu Zimfikie) ni wa Mwisho na kwa hiyo inatupa Mapya Kila siku mpaka mwisho wa dunia. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
09/24/2021
MUUJIZA WA KWANZA
Kuruani Ni Muujiza Mkubwa sana. Mpangilio Wa Sura, Aya, Maneno na Herofi Zake Ni Muujiza Mkubwa. Mpangilio Huu unatoka Kwake Mwenyeezi Mungu. Tumeona Ushahidi na Tutaona tena na tena. Leo Hii Nitakuelezeeni Muujiza Wa aina Hii ambao Unathibitisha Kwamba Kuruani imehifadhiwa kama alivyoahidi Mwenyeezi Mungu Mtukufu. Allahu Akbar. Mwenyeezi Mungu anasema katika Sura Ya Al-Kiyama Namba 75 Aya Namba 17
It is upon us to collect it ۥ and recite it ۥ (17)
Tafsiri Ya Aya Hii
Mwenyeezi Mungu anasema kwamba Yeye ndiye atakayesimamia Kukusanywa kwa Kuruani na Pia Kusaidia katika Kisomo chake.
Kuruani Imehifadhiwa mpaka leo bila kuguswa. Sasa tufanye hesabu na tuone Muujiza wa kushangaza. Allahu Akbar. Sura Namba 75. Aya Namba 17 . Jumla Ya Herofi Za Aya Hii ni 17 na Idadi ya maneno ni 5
Ukijuumlisha Namba Hizi utapata Jumla 114 yaani
( 75 +17 + 17 +5 = 114)
Sasa Angalia Maajabu. Kuruani in Jumla Ya Sura za Kuruani ambazo ni 114. Je unaona Namba Zinavyozungumza?
(Note: Herufi Ya and WAW hapa ipo peke yake na ina Fathah Juu Yake. Herufi hii inahisabiwa kama Neno kwani inaleta maana ya “NA” na unapohesabu Herufi za Aya Hii basi itahesabiwa miongoni mwa Herufi 28 za Arabic Alphabet)
Yaani Fikiri mwenyewe maneno aliyosema Mwenyeezi Mungu hapa kwamba yeye ndiye atakayekusanya kuruani hii na ndiye atakayesimamia kisomo chake. kwani ni hotuba yake. Na hesabu kimuujiza kama tulivyoona zinatupa Idadi ya Sura Za Kuruani Tukufu. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
MUUJIZA WA PILI
Shafi Maana Yake ni Even Number (Namba Mbili Mbili) Na Witri Maana Yake ni Odd Number (Namba Moja Moja). Katika Sura Ya Al-Fajr Menyeezi Mungu Anaapia Viumbe Vyake Vitatu. Aya Ya Kwanza Kipindi (Time) Cha Alfajiri, Aya Ya Pili Siku Kumi za Mwanzo wa Dhul-Hijjah na Aya Ya Tatu “shafi” na witri (Yaani Naapa Kwa Namba Mbili (mbili Mbili) na Moja (Namba Moja Moja) Na Aya Namba Nne anaapia Usiku Unapopita. Viapio hivi siyo bure bure bali anatukumbusha tufikiri kwa alivyoviumba na ndiyo maana katika Aya Namba Tano akasema “Je Viapo Hivi havitoshi kwa wale wenye Akili?” Tukichinguza Aya Namba Tatu tunapata Muujiza Wa Kushangaza. Jumla ya Herofi za maneno and the intercessor ( Wa-Al-Shafi)na wa wa- al-watir (Wa-Al-Witr) katika Sura Ya Al-Fajr ni Multiple ya Mbili Mbili na Tatu Tatu. Soma Habari hizi za Kushangaza katika Mlango wa “Mengineyo Mbalimbali” Wa Website hii. Allahu Akbar.
09/23/2021
Alhamdulilah Katika Mlango wa “Sayansi Za Viumbe” Nimezungumzia habari inayohusiana na Utafiti Uliofanywa kuhusiana na Faida Ya Mwili Wa Ngamia. Wataalamu Wamegundua Madawa Mbali Mbali Kutokana na Mikojo, Maziwa na Nyama Ya Ngamia. Na huenda kuna Faida Nyinginezo Bado Kugundulikana. Katika Mikojo kunapatikana Dawa Mbalimbali. Kwa Mfano “The nano-particles in the camel’s urine can be used to fight cancer ” “Camel urine has antimicrobial activity against pathogenic bacteria” n a Faida Nyinginezo hatukuzitaja hapa. Nasiha ni kwamba usinywe Mikojo ya Ngamia hovyo Hovyo bali Madawa yaliyotengenezwa na Wataalamu Kutoka na Mikojo (The biochemical composition of camel urine can be scientifically extracted and formulated as a therapy. rather than drinking raw urine) Na hapa tumeashiria tu Muujiza huu kufuatana na Hadithi Ya Mtume Mohamed (Sala na Amani yake Mola Zimfikie) Soma habari hizi kwa urefu katika Mlango wa “Sayansi Za Viumbe” Allahu Akbar. Sasa Leo Wanasayansi wanafanya utafiti na kugundua haya Je Mtume alijua Vipi habari kama hizi. Hii Inathibitisha kwamba Huu Uliwa Wahyi na siyo Hovyo Hovyo.
09/20/2021
Alhamdulilah Leo nimeelezea habari za Muujiza wa Kihistoria kutokana na Matumizi ya Neno teach him katika Mlango wa “Muujiza Wa Kuruani-1” wa website hii. Aya za Kuruani zimepangwa Kimiujiza na haiwezekani kuwa bila mpango wowote. . Any zinazungumzia kufundishwa kwa manabii wanne. Na Sura hizi zipo katika sehemu mbali mbali za Kuruani. Katika Sura Namba 12,18,21 na 36. Na neno lililotumiwa ni teach him. Yaani “Tulimfundisha” Na ukichunguza Neno hili utakuta limetumika mara nne tu katika kuruani yote. (Mara ya Kwanza limeambatana na Nabii Yusuf, Kisha Musa, Kisha Dauwd na Mwisho Nabii Mohmaed) Muujiza wa kushangaza ni kwamba Neno hili limetumika na kupangika kihistoria kwa ajabu sana wakati ambao Kuruani ilikuwa haina Namba yeyote. (Hapo awali Sura za Kuruani na Aya zilikuwa hazina namba). Namba ziliongezwa baada ya muda ili kuwarahisishia wasomaji. Hivi sasa tunaona Miujiza isiyo na mwisho kwa macho yetu. Yaani baada tu ya kuongezwa namba. Allahu Akbar..
09/19/2021
Alhamdulilah leo nimeelezea katika mlango wa “Miujiza ya Kuruani-4” habari za Formula Ya Mwana Sayansi Maarufu Duniani anayejulikana as Albert Einstein inayosema E=mc2 ambayo inayotokana na Nadharia ya Special Relativity. Kuna Miashirio Mbalimbali katika kuruani Tukufu ya Vipengele Vya Nadharia hii. Leo nimegusia kipengele kimoja tu nacho ni Formula inayojulikana kama E=mc2 ambayo Ni Maarufu sana. Imeleta mazuri mengi na mabaya pia. Katika Mazuri ni kuzalisha kwa Electronics za kisasa, GPS Navigation na Nuclear Power. na Katika Mabaya ni Atomic Bombambayo in hatari kubwa. Muujiza Wa leo ni Aya namba 7 na 8 katika Sura Ya Al-Zalzalah na Aya Namba 40 Sura Ya Al-Nisaa Zimegusia Formula Hii Kiajabu sana. Mwenyeezi Mungu anajua zaidi. Allahu Akbar.
09/18/2021
Alhamdulilahi Leo hii nimezungumzia Muujiza Wa Aya na Hadithi zinazohusiana na Ubongo wa Viumbe katika Mlango wa “Sayansi Za Viumbe” wa website hii. Na pia Nimeongeza Picha za Mfumo (Structure) wa Ubongo ili ipate kueleweka Vizuri Zaidi. Nimeelezea Sehemu ya Ubongo inayojulikana kwa jina CEREBRAL HEMISPHERE na nimechagua sehemu moja tu katika sehemu nyinginezo za Cerebral Hemisphere nayo ni FRONTAL LOBE YA UBONGO (BRAIN) na kufanya Utafiti katika Aya za Kuruani na Hadithi za Mtume (Sala na Amani Yake Mwen yeezi Mungu Zimfikie) Hii ndiyo sehemu inayoashiriwa katika Kuruani katika Aya Inayosema (16) Na Pia kuna Aya Nyinginezo zilizotumia Neno Hili forelockLenye maana ya Nwele zilizoota Katika Sehemu ya Mbele ya Kichwa na katika Sehemu hii ndani ya fuu la kichwa kuna sehemu ya Ubongo inayoitwa kwa jina “Frontal Lobe” nayo imepewa kazi ya Kuhukumu, Kufikiri, Kufanya Uamuzi na Mengineyo. Katika Aya hapa juu Sehemu hii pia imepewa sifa ya Uwongo na Yenye Kufanya Makosa kutokana na Uamuzi wake Mbaya. Tafsiri Hii inatupa Mwanga zaidi kuhusu neno hili. Na ni Muujiza sio Mdogo kwani Vyombo vya utafiti wa kisasa unatugundulia mambo tusiyoyajua vizuri. Na Inathibitisha kwamba Kuruani ni ya Haki na maneno ya Mtume ni ya Haki kutoka Kwa Mwenyeezi Mungu Mtukufu.
09/17/2021
And ask two witnesses from among your men, and if they are not two men, then a man and two women.
TAFSIRI
Na mshuhudishe mashahidi wawili katika watu wenu wanaume (Waislamu). Lakini ikiwa hakuna wanaume wawili, basi mwanamume mmoja na wanawake wawili (watatosha);
Hekima Gani Mwanaume mmoja anatosha kuwa shahidi lakini Wanawake lazima wawe Wawili?
Kipande cha Aya kutoka katika Sura Ya Al-Bakarah Aya Namba 282. Aya hii inahusiana na Mafundisho ya Mwenyeezi Mungu katika Madeni na Biashara. Yaani Ushahidi unaotakikana katika Katika Maandishi yanayohusiana na Kukopeshana na Pia Kuuziana Vitu. Muujiza Mwingine wa Kisayansi Unajitokeza katika kipande cha Aya Hii Ndefu. Kipande hiki kinasema kwamba Wanaume Wawili wanatosha kuwa Shahidi katika wakati huo lakini akikosekana Mwanamume Mmoja Basi wanawake wawili watahitajika katika Ushahidi na siyo mmoja. Mwanaume Mmoja lakini wanawake wawili. Kwani katika hukumu hiyo mmoja wa hawa wanawake akisahau majadiliano hayo basi huyo wa pili atamkumbusha huyo aliyesahau. Sasa kuna hekima gani Mwenyeezi Mungu kusema kwamba Mwanaume anaweza kuwa mmoja lakini wanawake lazima wawe wawili. Sayansi inatupa uhakika na kutufasiria tofauti ya Ubongo wa Mwanaume na Ubongo wa Mwanamke. Utafiti umafanywa katika University na Sehemu mbalimbali Duniani kuhusu Habari hizi hali kwamba hao waliofanya utafiti hawakusoma Kuruani. Huenda utafiti huo utatupa mwanga zaidi kuhusiana na Aya Hii. Nimeelezea habari hizi katika Mlango wa “Sayansi Za Viumbe” wa website hii na pia nimeweka Picha za Ubongo wa kike na kiume ili kuelezea. Huenda habari hizi zikatusaidia kuelewa mafundisho haya vizuri zaidi. Na Mwenyeezi Mungu Anajua Zaidi. Allahu Akbar. Nimeelezea habari hizi katika Mlango wa “Sayansi Za Viumbe” wa website hii na pia nimeweka Picha za Ubongo wa kike na kiume ili kuelezea. Huenda habari hizi zikatusaidia kuelewa mafundisho haya vizuri zaidi. Na Mwenyeezi Mungu Anajua Zaidi. Allahu Akbar. Nimeelezea habari hizi katika Mlango wa “Sayansi Za Viumbe” wa website hii na pia nimeweka Picha za Ubongo wa kike na kiume ili kuelezea. Huenda habari hizi zikatusaidia kuelewa mafundisho haya vizuri zaidi. Na Mwenyeezi Mungu Anajua Zaidi. Allahu Akbar.
09/13/2021
Allahu Akbar Kwa kweli Kuruani na Hadithi za Mtume zimekusanya Habari za Ulimwengu/Malimwengu Mzima. Mwenyeezi Mungu anasema katika Sura Ya Al-Naml And say, “Praise be to God. He will show you His signs so that you will know them. And your Lord is not heedless of what you do.” Aya Namba 93 Tafsiri “Sema Sifa ni zake Mwenyeezi Mungu atakuonyesheni Alama zake (Miujiza) Na Mtaijua na Mola Wako Hakughafilika Mnayoyatenda .
Na kweli Tunashahidi Miujiza Hii Tunayoisoma ambayo haina Mwisho. Leo Alhamdulilahi Nimezungumzia katika Mlango wa “Sayansi Za Anga” Habari inayohusiana na Mwanga Wa Radi. Wataalamu Wamesoma na kufanya Utafiti kwa muda wa Miaka Mingi Na Mwishowe wakagundua kwamba Mwanga wa Radi Unakuja Na Kurudi Angani Kwa Haraka Sana kwa Muda wa Kupepesa Macho. Muujiza Ni Kwamba Mtume Alimjibu Abu Hurayrah alipomuulixa kuhusu Mwanga Wa Radi naye akajibu kwamba “Have you not seen how it passes and returns in the blink of an eye?
“Tafsiri Je huoni kwamba Mwanga Huo Unakuja na Kurudi kwa muda wa kupepesa Macho” Hebu tufikiri. Mtume alisoma wapi habari hizi ambazo wakati wake hakuna aliyejua? Is Alisoma wapi? Wakati ambao Wagiriki waliamini kwamba Mwanga wa Radi ni Kiboko cha mungu wao anyejulikana kama ZEUS kuwapiga wahalifu. Je huoni kwamba Huu ni Muujiza Mkubwa.
Aliyoyasema Mtume yalikuwa yanasahihisha itikadi hizo zisizo na msingi wowote. Na hapo Mtume hakuwa akifundisha Sayansi bali alimjibu Abu Hurayrah Suala la Waumini kuingia Peponi na wala hakuwa akijua hayamwala Sayansi ya Mwanga. Yaani Mtume alitaja habari hizi ambazo zimegunduliwa hivi karibuni baada ya miaka Elfu Moja inathibitisha utume wake na ilikuwa ni WAHYI kwani Mtume hakuzungumza wala kutenda chochote isipokuwa kutoka Kwa Mwenyeezi Mungu Mtukufu.. Alhamdu Lilah nimeelezea habari hizi k wa ufupi. Na hata Maneno ya Wataalamu yanalingana na yale ya Mtume katika hadithi yake kama vile Neno “Return” katika Ibara waliyotumia “Return Stroke” lina maana ya au Kurudi (kwa ule Mwanga Angani). au Neno
in the blink of an eye
ambalo wataalamu wametumia kama “Blink of an Eye” Yaani Wataalamu Wa NASA na wengineo wametumia maneno haya haya katika Maandishi yao ijapokuwa hawakusoma hadithi za Mtume na wala kuzisikia. Ukitafuta Katika Mtandao Utajionea Mwenyewe. Katika Kuelezea Habari Hizi Nimeongeza Picha ili ilieleweke kwa urahisi. Allahu Akbar
09/12/2021
Alhamdulilah. Allahu Akbar. Muujiza Mwingine wa Kushangaza. Bado Wataalamu Wanafanya Utafiti na Bado Mengi Yamefichikana lakini Kuruani na Hadithi za Mtume zipo Mbele. Kuruani imeshinda Elimu zote ulimwenguni. Kuruani Siyo kitabu cha Sayansi bali cha SIGNS (Miujiza). Mtume alisema Katika Hadithi iliyokusanywa na Abu Dawuud Kwamba
Under the sea there is fire, and under the fire there is sea
Tafsiri ni “CHINI YA BAHARI KUNA MOTO NA CHINI YA MOTO KUNA BAHARI”
Hadithi hii inashangaza sana. Wataalamu Na Wanasayansi Duniani wamegindua habari hizi hivi Karibuni Baada ya Utafiti wa muda mrefu. Uamini au Usiamini Moto na Maji vinaishi pamoja tangu kuumbwa kwa dunia. Je Mtume alipata wapi habari hizi. Hakuoata habari hizi isipokuwa WAHYI (Revelation) Sayansi Imasema Kwamba Chini ya Ardhi Kavu au Chini ya Ardhi ya Bahari kuna Moto Kutokana na Joto kali na Chini ya hapo kuna Mabahari Makubwa sana mara tatu ya Bahari zetu zote. Sehemu ya Maji ni Katika Tabaka La Ardhi Linalojulikana kama “MANTLE” katika Miamba Ya Mawe ya rangu ya Buluu yanayojulikana kama “RINGWOODITE” na Aya Za Kuruani pia zinathibitisha Hifadhi ya maji haya. Wataalamu walibabaika sana wakifikiri kwamba Asili ya maji ni Mbinguni kutokana na Mawe yalipogongana na Ardhi mwanzoni mwa Kuumbwa kwa Dunia na mawe haya Yanajulikana kama ” METERIORITES” na leo hii Kuruani tena na tena ipo Juu inaonyesha utukufu wake wa hali ya Juu. lakini kuna wajinga wengi ambao wanafikiri Mungu hayupo na yote haya yamezuka kienyeji kwakweli hao ni wajinga sana tena sana. Soma habari hizi katika Mlango wa “Sayansi Za Maji” kuna Aya za Kuruani zenye habari hizi na tafsiri yake na pia nimeweka picha na vithibitisho. Allahu Akbar. Allahu Akbar
09/11/2021
Alhamdulilahi Leo nimeelezea Miujiza Mitano katika Mlango wa “Mengineyo Mbalimbali” ambayo inashangaza sana: KUASHIRIWA KIAJABU KWA MIAKA 63 YA UMRI WA MTUME, (Sala Na Amani Za Mola Zimfikie)MUDA WA WAHYI (REVELATION) MIAKA 23 , NGUZO TANO ZA KIISLAMU, JUMLA YA SURA ZA KURUANI 114 NA UMRI WA MIAKA 40 MTUME ALIPOSHUSHIWA KURUANI MARA YA KWANZA. MUUJIZA HII INAPATIKANA KWA NJIA YA NAMBA KATIKA AYA TANO ZA MWANZO WA SURA YA AL-Alaq. Allahu Akbar. Allahu Akbar
09/05/2021
Mlinganisho wa Kushangaza Baina Position/Location Ya Moyo (Heart) wa Binaadamu na Namba Ya Sura Ya Sin
Hadithi Ya Mtume Mohamed (Sala Na Amani Zimfikie)kutoka katika kitabu cha Jami At-Tirmidhiy chenye kuhusiana na Maadili ya Kuruani Tukufu inasema kwamba
The Prophet, may God’s prayers and peace be upon him, said, “Everything has a heart, and the heart of the Qur’an is Yaseen, and whoever recites Yaseen, Allah will write for him that he recites it as a recitation of the Qur’an.” times
Tafsiri Ya Hadithi
Kila kitu kina Moyo na Moyo wa Kuruani Ni Ya Sin (Sura Ya Yasin). Yeyote atakayeisoma Ya Sin basi kwa kisomo hicho Mwenyeezi Mungu atamwandikia (atampa ujira) kama kwamba amesoma msahafu mara kumi.
Hadithi Hii imehesabiwa ni miongoni mwa Hadithi Dhaifu yaani siyo 100% Sahihi. Lakini Hadithi ambazo zimehesabwa kama Dhaifu huenda zikawa Sahihi.
Alhamdu Lilahi Leo Nitazungumzia Hadithi Ya Mtume ambayo imehesabiwa kuwa miongoni mwa Hadithi Dhaifu yaani siyo 100% Sahihi. Lakini Hadithi ambazo zimehesabwa kama Dhaifu huenda zikawa Sahihi. Tukiichinguza Kisayansi tutaona Muujiza Mwingine wa kushangaza ambao unaashiria kuwa Hadithi hii ni Sahihi na inathibitisha kwamba Mtume hakuzungumza ila kwa kupewa Wahyi. Hakuna alichotenda wala kusema isipokuwa kutoka kwa Mwenyeezi Mungu.
Namba Ya Sura Ya Sin ni ya 36
Ukitafuta asilimia (Percentage) Ya Sehemu (Location) ya Sura hii katika Sura 114 za Kuruani Tukufu utapata;
114/36 =0.3157% X 100=32% Yaani Position ya Sura Ya “YaSin” ni ya 32% kutoka katika Sura zote 114 za kuruani
Yaani Sura Ya Sin Namba 36 Kugawa kwa Sura Za Kuruani 114=Utapata Jawabu ni 0.3157 Na Namba hii ukii-Multiply na 100 utapata 31.57% Tukifupisha namba hii (Rounding Up) Utapata 32%
Kwa Hiyo Sehemu (Location) ya Sura “YaSin” ni ya 32% Katika mpangilio wa Sura zote 114 za Kuruani.
Hadithi inasema kwamba Kila kitu kina Moyo (Heart) sasa tulinganishe na Binaadamu
Tukigawa urefu wa Binaadamu katika Sehemu (Units) 8 tutakuta Moyo upo katika Sehemu ya 2 na Nusu (Yaani 2.5) Sehemu au Location Ya moyo ni 2.5 Units kutoka Kichwani.
Sasa tutafute Percentage ya sehemu (Location) iliyopo Moyo wa binaadamu baina ya Kichwa na (Miguu)
Tukigawa sehemu (location) ya Moyo wa Binaadamu 2.5 kwa Sehemu zote 8 (Yaani urefu wa Mwili Mzima) = Utapata Jawabu ni Asilimia 0.3125% Na Namba hii ukii-Multiply na 100 utapata 31.525% Tukifupisha namba hii (Rounding Up) Utapata 32% ambayo ni Position ya Heart (Moyo) kutoka Kichwani.
Sasa unaona ya Kushangaza? tunapata namba ile ile
tuliyopata hapa juu “location sehemu ya “YaSin” katika Kuruani Yaani 32%
Unaona Muujiza? . Hii inathibitisha kwamba Hadithi hii ijapokuwa imehesabiwa kama Dhaifu lakini ni Sahihi (Mwenyeezi Mungu anajua zaidi)
Lakini hesabu zinathibitisha kwamba ni Hadithi sahihi. Pia inaonyesha kwamba Yule Yule aliyeumba Ulimwengu ndiye yuleyule aliyempa Mtume Wahyi atuelezee Hadithi Hii
Unaona Muujiza hapa? Allahu Akbar. Kwa kweli inashangaza.
03/09/2021
Alhamdulilah Leo nimezungumzia Muujiza Unaohusiana na Chromosomes za Nyuki, Farasi, Nyumbu na Punda katika Kuruani Tukufu. Hakuna dogo katika kuruani kwani kilichotajwa ni kwa hekima kubwa. Miujiza Katika Kuruani haina Mwisho. Haya yaligunduliwa katika Karne ya 19 na Kuruani ilishushwa katika Karne ya 7, Yaani baada ya miaka karibu 1200 ndiyo wanasayansi wanagundua na kuisoma Elimu hii ya ( Genetics and Genomics ) lakini Kuruani ilitangulia kuashiria haya tangu hapo zamani. Nimeziandika habari hii katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-4” na pia nimeongeza picha za ushahidi wa utafiti huu. Kwa Kweli ni Muujiza usio Mdogo. Unaweza Kutafuta na Kuthibitisha mwenyewe kwa kutumia vyombo mbalimbali vya utafiti kama vile Google.
Sura Namba 16, Al-Nahl Kuna Miujiza Mbalimbali na Leo tutazungumzia Muujiza Mkubwa Wa Chromosomes katika Sura Hii. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
HABARI ZA MIEZI ILIYOPITA
TAREHE 08/30/2021
Nimerekebisha Lugha na kuirahisisha ili habari hizi za Vipimo zieleweke vizuri zaidi Leo date he 31/08.2021 all hiyo kama hapo mwanzo haikueleweka vizuri basi rudia tena na Inshaallallah utafahamu.
Vipimo vyote katika utafiti huu kutoka katika Vyombo maarufu vya Wanasayansi Duniani kama vile NASA(National Aeronautics and Space Administration) Unaweza kuhakikisha mwenyewe ukipenda kwa kutumia Chombo cha utafiti kama vile Google.
Alhamdulilahi Leo Nimeelezea Katika Mlango wa “Sayansi Za Dunia-2” Miujiza Mikubwa na Ya Kushangaza Sana Yenye kuhusiana na Vipimo Mbalimbali Vya Jua Ardhi na Mwezi katika kilometres. Allahu Akbar. Haya yanazidishia Imani.
1/Kipenyo ( Diameter of the Sun ) Cha Jua Katika Kuruani Tukufu
2/Umbali ( Distance Between The Sun and The Earth) Baina Ya Jua na Ardhi katika Kuruani Tukufu
3/Kipenyo ( Diameter of The Earth) Cha Ardhi katika Kuruani Tukufu
4/ Umbali ( Distance Between The Earth and The Moon ) Baina Ya Ardhi na Mwezi Katika Kuruani Tukufu
Baada ya Haya Yote Je kuna Ubishi Tena? Kwa Kweli Mungu yupo na Inatisha. Wala sio Mchezo. Ulimwengu au Malimwengu yote Katika Kuruani. Inashangaza sana tena sana. Allahu Akbar. Soma Kisha uhakikishe m wenyewe katika Kuruani ukipenda.
TAREHE 08/29/2021
Muujiza wa habari zilizopita. Jina la ” Hamana” aliyetajwa katika Kisa cha Firauni (Ramesses II) huko Misri. Ni Muujiza kwani habari za Hamana Hazikuandikwa katika kitabu chochote duniani. Kuruani katika sura namba 28 Aya namba 38 imefichua habari zilizopotea kwa muda mrefu sana. Je Mtume Alijua vipi? Jina “Hamana” linatokana na “ham nata tapiy amana” ni maandishi (Hierographic Script) yaliyotumika katika enzi ya Firauni Ramsees II aliyekuwa maarufu. Jina lake lilikuwa “Bakenkhonsu” na Hamana ni “Title” au jina kutokana na kazi aliyokuwa anaifanya. yaani neno “Ha” ni Mfanyakazi na “Amun” ni yule “Chief of Gods” au Mkuu wa miungu yote duniani na hivi ndivyo walivyoamini.Na pia Kuruani inatuelezea Utaalamu wa hali ya Juu walitumia Mafirauni katika ujenzi wa Majengo makubwa huko Misri kama vile pyramids kwa kutumia Sayansi ya Kutengeneza Matofali ya Udongo kwa kuyachoma na kuyageuza kuwa kama mawe . Sayansi hii tunaisoma leo lakini hakuna aliyeijua kwani Mafirauni huko Misri hawakuieleza wala kuiandika. Muujiza mkubwa Kuruani Kuzungumzia Utaalamu wa hali ya juu kama huu katika wakati wa karne ya 7 Soma habari hizi kwa urefu katika mlango wa “Sayansi Za Dunia-1” Allahu Akbar.
TAREHE 08/21/2021
Katika Kuruani Kuna Aya Moja Tu mbyo inazungumzia Asali katika Sura Namba 47 (Mohamed) Aya Namba 15. Sura Hii Ina Miujiza Mbalimbali. Leo hii Katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-3” Nimezungumzia Maajabu Ya hesabu za Hali Ya Juu Sana Yanayohusiana na Asali. Wataalamu wanasema kuna asilimia 17% ya Maji Katika Asali n a Ajabu ni Kwamba tunapata namba hii katika Aya Hii ya Namba 15. We have Vipimo vinginevyo Vya Sega la asali au Honeycomb ambayo Nyuki anajenga mwenyewe kwa kutumia NTA in Vipimo vya 71 degrees (Degrees) Katika Pembe (Angle) Inayojulikana kama Acute Angle. Na 109 Digrii (Degrees) za Obtuse Angle. Katika Vifuniko in ya Chini in Sega vinavyojulikana katika Elimu ya Hesabu kama RHOMBUS .Ajabu Kubwa Namba Hizi Zinapatikana katika Sura Ya Mohamed. Kama tulivyosema Ulimwengu wote upo katika Kuruani Tukufu. Kwa Kweli Mwenyeezi Mungu ni Mkubwa. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
TAREHE 08/18/2021
MUUJIZA-1
Alhamdulilah Leo nimezungumzia habari za Muujiza wa Aya inayohusiana na Firauni Huko Misri (Egypt-Cairo). Aya inajibu Itikadi za Firauni wanapokufa kwamba “Mbingu na Ardhi zinalia Firauni anapokufa” baada ya Maelfu ya Miaka Kuruani inatujuulisha habari ambazo hakuna aliyejua duniani. Habari hizi zilijulikana katika Mafukuzi ya pyramids huko Cairo; Maandishi yanayojulikana kama “Egyptian hieroglyphs” yalifasiriwa na habari hizi kujulikana katika karne ya 19 lakini wataalamu hawakujua kwamba kuruani ilishawajibu Ma Firauni katika Sura Ya Al-Dukhan Aya namba 29 inayosema so why did you cry for me ۡہِمُ the sky and the earth, and they were not seen. Tafsiri ni Jibu linalosema “Mbingu haikulia wala Ardhi wala hawakupewa Muda wa kurejea Ulimwenguni (Kuomba Msamaha).Muujiza Huu wa Reverse yaani Yaliyopita. Nani anayeweza kufanya Utabiri wa aina hii? Binaadamu anajigamba Utabiri wa siku zijazo lakini hakuna yeyote awezaye kufichua yaliyopita. Soma habari hizi katika mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-2” Allahu Akbaru Allahu Akbaru.
MUUJIZA 2
NENO PLANET AU “KAWKAB”
Wafasiri walilifasiri neno “Kawkab” as a star like “Nyota” a star that kufuatana na Sayansi za hapo kale lakini Kuruani haikukosea kwani Baada ya ugunduzi kwamba Kawkab na ni Sayari (Inayojulikana kama VENUS) na siyo Nyota za kawaida star. Tunakuta Kuruani imetumia neno Kawkab ambayo ni sahihi na siyo Annajm kwani Kuruani ingetumia neno Annajm badala ya Kawkab basi leo hii Kuruani ingekosolewa. Lakini Kuruani haikosei kabisa na huu ni Muujiza mkubwa usiyo mfano kwa kuwa sahihi katika kila jambo!!!. Haya kwa kweli ni maneno yake Mwenyeezi Mungu Mtukufu. Soma Habari hizi kwa urefu katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-1 “
TAREHE 08/15/2021
Alhamdulilah leo nimeelezea habari za Mtume Mohamed (Amani na Sala zake Mwenyeezi Mungu zimfikie) na Kuja kwa Uislamu kama ilivyoashiriwa katika Biblia katika Mlango huu wa “Elimu” hapa chini. Majina Ya Mtume kama vile
Mtumishi Wangu=In Arabic Abdullah – Abdullah
Mteule Wangu=In Arabic Mustwafa – Mustafa
Kipenzi Cha Mungu=In Arabic Habiybullah – Beloved of God
Na majina ya Ukoo wa Mtume kutokana na Kedar (Kedar ni Mtoto wa Nabii Ibrahim na ), Na Sehemu atakayoishi (Sela Ni Sehemu za Madina huko Saudi Arabia ambapo Mtume alijenga Taifa au Serikali ya kwanza ya Kiislamu) yameashiriwa katika Biblia. Huu ni Muujiza kwani Mayahudi walijua habari hizi na walikuwa wakimsubiri kwa hamu kubwa Huyu Mtume.
TAREHE 07/31/2021
MUUJIZA WA KWANZA
ELIMU YA NYOKA KATIKA KURUANI TUKUFU
Kuruani Haizungumzi ya Upuzi. Kila Kilichotajwa kina Hekima Kubwa. Kuna Aya 3 ambazo zinahusiana na Kisa cha Nabii Musa. Aya hizi zinaashiria chembe cha uzazi (Chromosomes) wa Jamii/Speshi (species) za Nyoka ambao mashuhuri duniani. Tunaona Muujiza wa Kiajabu sana. Micro-Chromosomes 20 na Macro-Chromosomes 16 za Nyoka (Snake) ambazo jumla (20 + 16 = Chromosomes 36) zimeashiriwa kihesabu katika Aya hizi 3. Alhamdulillahi leo hii nimezielezea katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-1” wa website hii. Allahu Akbar. Ajabu ni kwamba mpaka Nuqta ambazo hutumika juu au chini ya herufi kama vile Nuqta moja juu ya herufi BA au Nuqta Mbili juu ya herufi TA au Nuqta tatu juu ya herufi THA zimehisabiwa na kutupa Chromosomes hizi.Allahu Akbar. Subhana Allah. Alhamdulillah.
MUUJIZA WA PILI
COMPUTER SCIENCE KATIKA KURUANI TUKUFU
Katika mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-1 Namshukuru Mungu leo hii nimegusia Elimu ya Computer Science (DIGITAL NUMBERS “Zero Na 1” ambayo inajulikana kama BINARY SYSTEM) Katika Kuruani Tukufu. Kuna Muashiri wa kuweko kwa Mfano wa Vyombo vya Teknologia ya Hali ya Juu huko Akhera. Katika Sura ya Al-Mutafifin Ibara “KITABUN MARKUM” tafsiri ni KITABU CHA NAMBA na neno “YASHHADU” lina maana ya Kuona. Maneno haya yanaashiria DIGITAL BOOK
ambacho ni Electronic Device mfano wa Computer na Video Zake au Kanda za Film na kwa hizo Video Tutaonyeshwa FILM ya maisha Yetu waziwazi. Vitendo vyetu vizuri na vibaya vitaonyeshwa kama Film. Tutajiona na wala hatutabisha chochote mbele ya ushahidi huo. Tuelewe kwamba vitendo vyetu vyote Vizuri na Vibaya Vitakuwa Vimerikodiwa. Vitendo Vibaya vitatangazwa mbele ya Binaadamu wote kuanzia kuumbwa kwa dunia mpaka mwisho. Siku hiyo itakuwa siku ya Aibu Kubwa kwa watakaotangazwa mbele ya watu wote. Hadithi inayozungumzia Kutangazwa kwa Mabaya wamekubaliana Imam Bukhari Na Muslim nayo nimeifasiri kwa Kiswahili katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-1” Allahu Akbar. Subhana Allah. Alhamdulillah.
TAREHE 7/25/2021
MUUJIZA WA KWANZA
Alhamdulilahi. Muujza Mwingine Mkubwa wenye husiano Viungio (Joints) Vya Mifupa. Hadithi za Mtume zilizo Sahihi zinatilia Mkazo Ukweli wa Ujumbe aliokuja nao Mtume. Angalia hapa chini Katika Mlango huu wa “Elimu” kuna Habari Nyingine ya Viungio (In English Joints) au (In Arabic Mafswal joint) Vya Mifupa. Hadithi Ya Mtume ambayo nimeifasiri kwa Kiswahili inasema kwamba Binaadamu ana Viungio vya Mwili 360 na Sayansi ya leo inathibitisha kauli hiyo. Kwani Mtume kila alichozungumza ilikuwa ni Wahyi (Revelation) kutoka kwa Mwenyeezi Mungu. Kama alivyosema Mwenyeezi Mungu katika Sura Ya Annajm.
And he does not speak out of desire (3) It is only a living revelation (4)
TAFSIRI YA AYA
3/ He does not speak out of his own desires. 4/ It is not but a revelation revealed.
Hakuzungumza kutoka katika nafsi yake mwenyewe bali ni Wahyi alioshushiwa.
MUUJIZA WA PILI
Digital Computers na Phones (Simu za Mkono) zinatumia Elimu inayojulikana kama “Encoding Systems” Inayohusiana na Herofi kuwakilishwa na namba. Je Mtume alisoma wapi Elimu Hizi za Kisasa. Namba inayojulikana kama Digits ndiyo inayowasilisha mawasiliano yetu kwa kupitia waya zenye Umeme. Kuruani inaashiria Ufundi huu katika Aya zake. Kwa Mfano Sura, Aya, Herofi, Harakati, Na Nuqtah zimehesabiwa katika kuruani kiajabu sana na pia Kuashiria Elimu Nyinginezo. Tutaendelea kuzungumzia habari hizi kirefu Katika Masiku Haya. Kwa kweli Inashangaza sana. Kuruani Ilishushwa kwa kufikisha ujumbe maalum na kwa njia ya kisomo na siyo Maandishi. Na Mswahaba Wakahifadhi kimoyo Na badaye iliandikwa. Kwa kifupi kila kilichoandikwa kinawakilisha Sauti na Mtume alitaka ihifadhiwe kwa njia hiyo ya Maandishi.
1/Tutazungumzia Ajabu Nyingine kuhusiana na Sura Ya Al-Nnaml Yaani Sura Namba 27 na ambayo ina Aya 93. Sura Hii inaanzia na herufi Mbili (TWA na SIN yaani Tusٓۚ TWASIN). Ukihesabu Herufi TWA katika Sura Hii utapata Zimetumika na kukariri mara 27 na usisahau namba hii ni namba Ya Sura hii pia. Na Herofi SIN ukiihesabu katika Sura hii utakuta imetumika na kukariri mara 93 na Usisahau Sura Hii ina Aya 93 Pia. Je hatuoni Lugha ya kimiujiza. Yaani Hizi Herofi Mbili zinalenga idadi za Aya na Pia namba Ya Sura. Mpangilio wa Kiajabu Tupu utafikiri Mtume alikuwa akitumia Computer wakati huo ambao kulikuwa hakuna Computer yoyote.
2/ Mfano Mwingine ni Mwanzo wa Sura Ya Al-shura namba 42 na Sura Ya Qaf namba 50. Sura Hizi Mbili Mwanzoni Ni Kama Ifuatavyo:
Sura Namba 42- Hamm (1) Essaq (2) Thus is revealed to you and to those before you, Allah, the Mighty, the Wise (3)
Mwenyeezi Mungu anamwambia Mtume kwamba amemshushia Quruani na Pia amewashushia Manabii na Mitume waliotangulia Ujumbe kwa watu wa wakati huo.
Sura Namba 50- The Glorious Qur’an (1)
Mwenyeezi Mungu anaitukuza Quruani kwa kusema “QAF, na Quruani Tukufu” The kushangaza Herufi QAF katika hizi Sura mbili timetumika na Kukariri sawasawa yaani mara 57. katika Sura ya QAF herufi imekariri mara 57 on Al-Shura Mara 57 Pia (Sura QAF mara 57 + Na Sura Al-Shura mara 57=114) Jumla herufi QAF timetumika katika Sura hixi mbili mara 114 na inashangaza kuona kwamba Jumla Ya Sura Za Quruani ni 114. Na Mwanzoni mwa Aya Zote Mbili Zinazungumzia Qurani Tukufu. Na Ajabu Ni Kwamba Idadi ya Herofi QAF zinaashiria kwa kuwakilisha Idadi ya Sura Zote za Kuruani. Na hii inathibitisha Elimu Ya Digital ambayo inahusiana na Herofi kuwakilisha namba kama tulivyoona katika maelezo yetu. Allahu Akbar. Mpangilio na Uchaguzi wa Hali ya Juu.
MUUJIZA WA TATU
hapa chini katika mlango wa Elimu kuna Muujiza mwingine unaohusiana na Fedha (Silver). Katika Kuruani kuna Aya Mbili tu zenye kutumia Neno Fedha Tunazozijua. (With Definite Article Alif and Lam) Kuna Aya Nyinginezo ambazo zimetumia Neno Fedha ya huko Akhera na siyo hizi zetu.
1/ Inayozungumzia Fedha (Silver)
2/ Na Aya ya pili inayozungumzia Kuyayushwa kwa Fedha (Silver) Huko Motoni.
Baina ya Aya Hizi mbili kuna Aya 962 na Ajabu Kubwa ni kwamba Joto linalotakikana kuyayusha chuma ni Degrees 961.8 °C ambayo ni sawa na 962 (Rounding Up in Mathematics). Hapa baina Ya Aya Hizi Mbili tunapata habari nyingine ya Maajabu yasiyo madogo. Tunapata “Melting Point ya Silver” au Degrees zinazohitajika katika kuyayusha Fedha (Silver) zinazojulikana na Wataalamu wa elimu ya chemistry kama 961.8 °C Huu ni muashiri wa kiajabu sana. (Ni Kama kusema kwamba Kutoka Aya Ya kwanza ambayo Fedha bado kuyayuka mpaka Aya ya pili inayozungumzia kuyayuka kwa fedha itahitajika kiwango cha joto au Degrees 962 ili kuyayusha Fedha hiyo)Allahu Akbar. Nimetoa Ushahidi wa Degrees kutoka katika “Google” Search Engine {Chombo (Software) cha utafiti katika Mtandao} Na Nimeuweka hapa chini katika mlango huu wa “Elimu”
TAREHE 7/17/2021
Alhamdulilahi. Leo kuna Muujiza Mwingine Mkubwa Sana ambao Nimeuelezea Hapa Chini. Nao Unahusiana na Mifupa . Maajabu Makubwa Yasiyo na Mwisho. Kuruani ni Muujiza Mkubwa Sana. Katika Mlango Huu wa “Elimu” nimeelezea Kuhusu Idadi ya Mafupa ya Binaadamu ni 206 na ambao ni ugunduzi wa Sayansi Ya Hali Ya Juu. Kuruani inatupa Idadi Hii Katika Sura Ya Al-Fatiha. Na Pia Tunapata Idadi Ya 5555 Ya Jumla ya idadi za Aya za Kuruani kuanzia Mwanzo mpaka Aya Namba 4 Sura Ya Al-Qiyama ambayo inahusianana na Finger Print . Tumezungumzia Habari Ya Finger Print katika Mlango wa “Sayansi za Viumbe” wa website Hii.
TAREHE 7/12/2021
Nimeelezea kwa kifupi hapa chini katika mlango wa “Elimu” website hii kuhusu asili yetu kutokana na udongo na sayansi inavyothibitisha maneno ya kuruani tukufu. Allahu Akbar. Allahu Akbar.
TAREHE 11/07/2021
Katika Mlango wa “Elimu Za Kiislamu” wa website hii Nimefasiri kwa Kiswahili Barua Aliyoandika Mtume Mohamed Kumpelekea Mfalme Najashiy (Negus) wa Ethiopia inayohusiana na Kumjuulisha Dini ya Kiislamu. Na pia Barua ya Majibu kutoka kwa Mfalme Huyu kwa Mtume Mohamed. Na Nimeweka Video Ya FILM nzuri sana kwa kiingereza. Mfalme Najashiy Alikataa kuwarudisha waislamu hao huko Mecca kwa Makafiri baada ya kutumiwa Ujumbe na zawadi kutoma kwa Makureishi (Makafiri) huko Mecca. Film Nzuri sana ukipata nafasi tafadhali uiangalie. Alhamdulilahi Allahu Akbar.
TAREHE 7/10/2021
Viumbe vimeashiriwa kiajabu (kisayansi na Kihesabu) katika Kuruani Tukufu Ulimwengu umeashiriwa katika kuruani kwa njia ya hali ya juu kwa matumizi ya namba. Na sur zote 113 za kuruani pia zimeshiriwa kiajabu katika surra ya al-fateh.kwa mfano neno binaadmu (Insan) HeruFi Zake Zimtumika Na Kukarii Katika Sura Ya Ya alfatiha M Ara 46 Na Namba Hii Inaashiria Chromosomes Katika Celi Au Cells Za Binaadamu.alif = 2 + Nun = 11 + Sin = 3 + Alif = 19 + Nun = 11 = 46. Na tukifanya kuhasabu Herufi za Jina la Kunguru (AL-Ghurab)tutapata Alif = 22 + Lam = 22 + Gain = 2 + Raa = 8 + Alif = 22 + Baa = 4 = 80. Na Sayansi inatuambia kwamba Chromosomes za Kunguru ni 80. Soma Habari za Kunguru kwa urefu katika mlango wa “Sayansi za Viumbe” w website hii.
HABARI ZA MIEZI ILIYOPITA
1/Mpangilio wa Sura Na Aya ya juu katika Kuruani Tukufu-Usanifu wa hali ya Juu unaotoa Jasho-Namba 777 katika Kuruani. Soma katika Mlango wa “Miujiza Ya Kuruani-3” website hii.
2/Kuna wanaosema kwamba Aristotle aliyezaliwa Mwaka 384 BCE (Before Christian Era) ndiye aliyeandika Katiba (Constitution) Ya Kwanza Duniani na Wengine wanasema kwamba Constitution inayojulikana kama Magna Carter iliandikwa mwaka 1215 huko Uingereza.Na Wengine wanasema kwamba ya Kwanza ni Ya America ambayo iliandikwa mwaka 1787. Kwa Kweli Katiba Pekee iliyokamilika na inayopasi Test ya Kukubaliwa kwamba ndiyo katiba ni ile aliyoandika Mtume Mohamed katika karne ya 7 nayo ni ya Kwanza Duniani. Soma Katiba ya Mtume kwa Kiswahili katika Mlango wa “Mengineyo MbaliMbali” wa Website Hii.
3/Barua Aliyomwandikia Emperor (Mfalme wa Dola Kubwa) Wa Persia (Persian) aliyejulikana kama Khursaw (Chosroes). Aliichana barua hiyo kwa kiburi na Mtume akatabiri Dola hiyo kuchanika pia. Mtume akatabiri tena kwamba Mfalme huyo ameuawa na Utawala wake kwisha. Jambo hili likasababisha wengi kuingia Uislamu. Soma Barua hiyo kwa Kiswahili katika Mlango wa “Mengineyo MbaliMbali” wa website hii.
4/Ukichunguza Vifungu Vya Azimio La Haki za Binaadamu vilivyoandaliwa na United Nations ( Umoja Wa Mataifa): Universal Declaration of Human Rights (UDHR ) Utaona Kwamba Kuruani na Hadithi za Mtume Mohamed zilikwisha fundisha haya yote na pia Kila lilizo zuri katika maisha ya Binaadamu. Soma Hotuba Ya Mwisho aliyotoa Mtume Mohamed Huko Arafah-Mecca kwa Kiswahili. Katika Mlango wa “Elimu Za Kiislamu” wa website Hii.
5/Barua Ya Mtume aliyompelekea Heraclius aliyekuwa Emperor (Mfalme zaidi ya Dola Moja) wa Dola Ya Byzantine (Dola Ya Roma) inashangaza sana kwani Mfalme huyu alikubali kwamba Kudhihirika Kwa Mtume ni Kweli kama ilivyotajwa katika Biblia.Yaani Mfalme huyu Mkristo Wa huko roma alikuwa tayari kumwosha muguu mtume Mohamed kama ilivyoelezwa katika Hadithi zilizokusanywa na Sahih Al-Bulhari. Nimefasiri Habari hizi na Barua kwa Kiswahili katika Mlango wa “Elimu Za Kiislamu” wa Website hii.
6/ Mara ya Kwanza kutajika Neno shams au JUA katika Kuruani ni katika Sura Ya Bakarah namba 2 Aya Namba 258 na Mara ya Mwisho Kutajika Neno shams au JUA katika Kuruani Tukufu ni Katika Sura Ya Ashams namba 91 Aya Namba 1. Na ajabu isiyo ya mwi sho ni hesabu ya Aya baina Aya hizi mbili ni jumla ya Aya 5778 na namba hii ni kipimo cha joto la JUA kinachojulikana katika Sayansi kama KELVIN (Sun’s Surface Temperature 5,778 K) soma habari hizi katika mlango wa “Sayansi Za Anga” wa website Hii.
7/Sala Ya Viumbe Vingenevyo. Video Ya Njiwa na Ujanja wa Kunguru Katika Mlango wa “Sayansi Za Viumbe” wa website hii. Angalia Video zinazoshangaza za Njiwa Kusali na Kufanya Tawafu huko Mecca-Saudi Arabia Na pia Mkusanyiko wa Mazishi Ya kunguru.
8/ Katika Mlango wa “Sayansi Za Maji” Katika Topic/Subject inayohusiana na Maji Matamu Na Ya Chumvi na hapo kuna Video Namba 2 mbyo imeelezea Elimu ya Maji Matamu Na Ya Chumvi kwa vizuri sana na inalingana na Aya za Kuruani Kiajabu sana. Kwa Kweli ni Video Nzuri sana ambayo inafundisha Hekima Hii. Na ni Muujiza katika Kuruani Tukufu. Allahu Akbar.
9/Hotuba Ya Mwisho (Prophet Mohamed-Last Sermon): Siku za Hija Zimepita. Lakini bado kumbukumbu zake hazijapotea akilini mwetu. Zinatukumbusha Kisa cha nabii Ibrahim na Mtoto wake Ismael, historia ya Kisima cha Maji ya ZamZam na Pia Hotuba ya mwisho ya Mtume Muhammad aliyotoa wakati wa Hija mwaka wa 632 Christian Era (kipindi cha Ukristo) siku ya tisa ya Dhul Hijjah, Mwezi wa 12 Wa Miezi Ya Lunar Year (Tarehe Ya Kiislamu)huko Arafat,(Mecca) siku ambayo imebarikiwa katika Mwaka. Kulikuwa na Waislamu Wengi pamoja na Mtume wakati wa hija yake ya mwisho alipotoa Hotuba yake ya mwisho. Hotuba Hiyo nimeifasiri kwa Kiswahili katika Mlango wa “Elimu Za Kiislamu” wa Website Hii. Maswahaba walilia sana kwani Katika Hotuba Hiyo alitumia maneno yaliyoashiria kufariki kwake.
MUUJIZA WA VIUNGO (JOINTS) BAINA YA MIFUPA MWILINI NA IDADI YA MIFUPA
BAINA YA MIFUPA KUNA VIUNGIO KWA LUGHA YA KIARABU (MIFSWAL) JOINT NA KWA KINGEREZA (BONE JOINTS)
HADITHI Y AMTUME KUTOKA KATIKA KITABU (Volume) SWAHIH MUSLIM
Hassan bin Ali Al-Halwani told us, Abu Tawbah Al-Rabee bin Nafi told us, Muawiyah – meaning Ibn Salam – told us on the authority of Yad, that he heard Abu Salam say that Abdullah bin Farrukh told me that he heard Aisha say that the Messenger of God, may God’s prayers and peace be upon him, said “Indeed, every human being from the sons of Adam was created on sixty and three hundred joints. And ask God’s forgiveness and remove a stone from the path of the people or a thorn or bone from the path of the people and enjoin what is right or forbid what is wrong. The number of those three hundred and sixty internodes, for he will walk on that day. And he has removed himself from the Fire.” Abu Tawbah said, and he may have said, “Yesi.”
TAFSIRI YA HADITHI
Hadithi Ya Mtume ambayo imekusanywa katika Sahih Muslim inasema kwamba:
Aisha aliripoti kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (peace be upon him) alisema:
Kila mmoja wa watoto wa Adamu ameumbwa na Viungo mia tatu na sitini; Basi anayemtukuza na kuzitukuza sifa zake, anayemtakasa na kuomba msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na anayeondoa jiwe, au mwiba, au mfupa katika njia wanayopita watu, anaamrisha mema na anakataza mabaya, (idadi ya mema hayo) kulingana na idadi ya viungo via mifupa ( ya mwili wa binaadamu)mia tatu sitini, atatembea siku hiyo akiwa amejiokoa na Moto.
Abu Taubah alisema: “Labda alisema: “Jioni ile ile” (Yaani Jioni ya siku hiyo ambayo vitendo vIzuri vitakapotimia idadi hiyo ya 360)
Ndugu Waislamu Muujiza Mbele ya Macho yetu. Je Mtume alijua Vipi katika wakati huo wa karne ya 7 tena hakuwa na chombo chochote cha utafiti. Hakusoma University Yoyote. Elimu yake yote aliipata katika Pangoni na hii ilikuwa ndiyo University yake. Aliyemfundisha hakuwa mwingine katika wakati huo isipikuwa Mwenyeezi Mungu peke yake. Hii Inaonyesha kwamba Yule Yule Aliyeumba Kila Kitu basi ndiye Yule Yule Aliyetuma Ujumbe Huu Kwa Mtume wa Mwisho Mohamed (Sala na Amani Zimfikie) Allahu Akbar. Allahu Akbar.
SHEREHE YA HADITHI KISAYANSI
Baada ya Utafiti wa muda mrefu wataalamu kwa kutumia viombo vya utafiti mbalimbali vya hali ya juu wanatuambia kwamba binaadamu katika ujana inakuwa zaidi ya 206 lakini bada ya kuungika hupungua na hatimaye kubaki mifupa 206 na kila mfupa una viungio (joints) za idi ya moja. Kwa Jumla kuna viungio 360 na wanatuelezea Viungio hivyo kama ifuatavyo:
Kuna Joints au Viungio 360 baina ya mafupa katika mwili wa binaadamu nazo ni kama ifuatavyo
Katika Skull (Mafupa ya Kichwa) = 86
Katika Throat and Neck (Koo na Shingo) = 6
Katika Thorax (Mafupa ya sehemu za Kifua) = 66
Katika Spine and Pelvis (Uti wa mgongo na sehemu za kiuno) = 76
Katika Hands, Arms and Fingers (Mafupa ya Mikono, Na Vidole) = 64
Katika Legs, Feet and Toes Mafupa Ya Miguu na Vidole) = 62
Jumla 86 + 6 + 66 + 76 + 64 + 62 = 360
Mifupa Ya Binaadamu ni 206 kama tulivyoona Muujiza katika Kuruani Tukufu na Ajabu Nyingine kuna Viungio 360 kama alivyosema Mtume Mohamed (Amani Na Sala Zimfikie) katika Hadithi kutoka katika Volume (Kitabu) cha Sahih Muslim.
Joints and Ligaments. (360) Viungio Vya Mifupa katika Mwili wa Binaadamu Ni 360 kama alivyobashiri Mtume Mohamed (Sala Na Amani zake Mwenyeezi Mungu Zimfikie) Allahu Akbar. Hii Inathibitisha Kwamba Yule Yule Aliyetuumba Ndiye Yule Yule Aliyemtuma Mtume na Ujumbe.
Sura Ya Al-Qiyama Aya Namba 3 Mpaka 4 inashangaza sana kwani tunapata idadi ya mifupa y abinaadamu 206 kwa njia ya hekima sana kupita kiasi. Surah hii ilishuka Mecca. Ni Sura ya namba 75 katika Msahafu lakini katika kushuka kwa Mtume Mohamed (Amani na Sala Zimfikie) Historia inatuthibitishia kuwa ni ya 31 nayo ni mwanzoni mwa uislamu wakati makafiri walipokuwa wanakanusha Ujumbe aliopewa Mtume.Aya za kuruani zote ni Miujiza mikubwa isiyo mfano.
Na katika Sura Ya Al-Qiyama tutazungumzia Aya namba 3 na 4
Sura Ya Al-Qiyama Aya Namba 3 na 4
Does man think that we will not gather his bones? (3) Indeed, we are destined to level his fingertips. (4)
Tafsiri Ya Aya
3. Anadhani mtu ya kuwa sisi hatutaikusanya mifupa yake? 4. Kwa nini! Sisi tunaweza (hata) kuzisawazisha ncha za vidole vyake (tutakapomfufua mara ya pili, ziwe kama zilivyokuwa duniani).
Sherehe Zaa
Miujiza Ya kushangaza isiyo mfano. Kama tulivyosema kwamba Ulimwengu mzima upo katika Kuruani. Na Kuruani Yote ipo katika Sura Ya Al-Fatiha. Na surla ya al-Fatiha ipo katika aya ya kwanza “Basmallah” Yaani “Bismillahi Arhrahmani Arrahiim” Ambayo InamzunGuzia Mumpaji Wa Ulimwengu Yaani “ALAH”. Zungumzia Mifupa.mwenyezi Munugu Anasema Kuwaambia BinaAdamu Dunia Nzima Kwamba Yeye Ana UWEZO WA Kumfufua binaadamu tena kwa kurudisha Mifupa yake na kuijenga upya tena kama mwanzo. Na katika Aya Namba 4 hapa Juu Mwenyeezi Mungu anasema kwamba Na siyo Mufupa peke yake tu anaweza kuikusanya na kuumba viumbe vyake bali na hata Ncha za vidole (Finger Print) zake ataziumba na kuzirudisha kama mwanzo. Kama tunavyoelewa kwamba kila kiumbe kina Finger Print au Ncha za Vidole Yaani Finger Print za Vidole zisizofanana ukilinganisha viumbe vyake vyote. Kwani Kuanzia kuumbwa kwa Viumbe mpaka mwisho wa Dunia Hakuna Zenye kufanana. Na ndiyo Saini zilizo sahihi. Kila binaadamu ana Saini yake ya Halisi isiyofanana na mwingine. Huu ni Muujiza Mkubwa.
Tukichunguza na kupima Aya hii inayohusiana na Mifupa katika Sura Ya Al-Fatiha utapata Jumla ya Herufi Za Aya hii katika Sura Ya Alfatiha ni 206
Does man think that we will not collect his bones?
————————-
Does he count?
Alif-Fathah(Consonant Alif-Fathah)=1 + Yaa=14 + Haa=5 + Sin=3 + Baa=4 1 + 14 + 5 + 3 + 4 = 27
——————————–
the human being
Alif-Sakinah(Consonanant-Vowel)=19 + Lam=22 + Alif-Kasrah (Consonanant Alif-Kasrah) =2 +Nun=11 +Sin=3 + Nun=11 19 + 22 + 2 + 11 + 3 + 11= 68
————————–
Alan
Alif-Fathah(Consonant Alif-Fathah)=1 + Lam=22 + Nun=11= 1 + 22 + 11=34
————————-
we collect
Nun = 11 + Jim = 0 + Mim = 15 + Ain = 6 = 11 + 15 + 6 = 32 ————————— ————-
his bones
Ain = 6 + Dhwa = 0 + Alif-Sakinah (Consonant-Vowel) = 19 + Mim = 15 + Ha = 5 6 + 19 + 15 + 5 = 45
—————————-
Jumla Ya Herofi za Aya Namba 3 hapa juu ni; 27 + 68 + 34 + 32 + 45 = 206
Jumla ya Herufi za Aya hii inayozungumzia Mifupa katika Sura Ya Al-Fatiha ni 206
Ndugu Waislamu huu ni muujiza Mkubwa sana kwani Wanasayansi au Wataalamu wa leo wanatuambia kwamba idadi ya Mifupa Ya binaadamu aliyekamilika ni 206.Wataalamu wanasema kwamba Mifupa ni 213 au 214 katika wakati bado Mifupa inajengeka au inaendedelea kukua na inapofikia Mwisho baasi Baadhi ya Mifupa huungana na Mingine na hatimaye inakamilika na kuwa 206 Na hii namba tulivyoona katika Kuruani Tukufu ni Hesabu ya Heru fi za Kuruani kufuatana na Maandishi ya Asili Ya (RASM OTHMAN BILA HARAKATI ZOZOTE) yasiyokuwa na Harakati au Sukun (Diactritiques) na Ajabu nyingine ni kwamba wataalamu wa Kiislamu hapo baadaye waliongeza Alama hizi za Harakati na Sukun (Diactritiques) our ukihesabu maandishi haya ya pili (RASM OTHMAN ZENYE HARAKATI) utapata jumla Ya Herufi za Aya hii ni 214 nazo pia ni Muujiza kwani inaashiria Mifupa ya Binaadamu wakati zinaendelela kukua yaani kabla ya Kuungana.
Kwa kifupi Muujiza Wa Kuruani Hauishi. na kama tulivyoona hapa ulinganisho na muashirio wa kushangaza sana. Kwa macho yenu ndugu Waislamu angalieni Muujiza Huu na ituamshe tufanye Ibada sana kwani inatuthibitishia kwamba Mtume Mohamed (Amani Na Sala Zimfikie) alifikisha Ujumbe huu bila kuubadili na pia Ukweli kwamba Mungu yupo. Hii Inatuthibitishia kwamba yuleyule aliyeumba Ulimwengu/Malimwengu basi ndiye yule yule aliyeshusha Kuruani hii.
Na Aya namba 4 Inayofuatia “Yes, we are able to fix his fingers” ۥ (4 ambayo inahusiana na Finger Print. Tumezungumzia Kwa kirefu Muujiza wake sehemu nyingineyo katika Website hii, Na Hapa tutataja tu baadhi ya Muujiza huu. kwamba ukihesabu idadi za Aya kuanzia mwanzo wa Sura Ya Alfatiha mpaka Sura Ya Al-Qiyama Aya Namba 4 ni Jumla ya Aya 5555 ambazo ninaashiria Vidole vya Mikono Miwili na Vidole Vya Miguu Miwili na ni Fingers zinazotumika katika Finger Print. Allahu Akbar, Allahu Akbar.
Picha hapa chini zinathibitisha idadi ya mifupa na viungo vya binaadamu.


Aina za Viungio (In English Joints)

ASILI YA BINAADAMU NI UDONGO
Tumeumbwa kwa Udongo.
Mwenyeezi Mungu anatuthibitishia katika kuruani tukufu kwamba tumetokana na udongo na ataturudisha katika asili yetu ya udongo na kisha atatufufua tena siku ya Kiyama.
Sura ya Twaha Namba 20 Aya Namba 53 mpaka 55
Who made the earth a cradle for you, and made paths for you therein, and sent down water from the sky, and brought us forth with it. A couple of various plants (53) Eat and take care of your livestock, for in that there are signs for those who have the right to forbid (54) ۞ From it We created you, and to it We will return you, and from it We will bring you out another time (55)
Tafsiri Ya Aya
53. “Ambaye Amekufanyieni ardhi kuwa tandiko na Akakuwekeeni humo njia, na Akayateremsha maji kutoka mawinguni.” Na kwa hayo tukaotesha namna za mimea mbalimbali.
54. Kuleni na Walisheni wanyama wenu. Bila shaka katika hayo zimo Ishara kwa wenye akili.
55. Katika hii (ardhi) Tumekuumbeni, na humo. Tutakurudisheni, na kutoka humo Tutakutoeni mara nyingine (muwe hai tena).
Sura Ya Al-Muuminun Namba 23 Aya Namba 12
And We have certainly created mankind from a drop of clay (12)
Tafsiri Ya Aya
1 2. Na kwa yakini tulimuumba mwanadamu kwa udongo ulio safi.
Sura Ya Al-Ruwm Namba 30 Aya Namba 20
And among His signs is that He created you from dust, and then, when you are human beings, you will be scattered (20)
20. Na katika Ishara zake (za kuonyesha uweza wake) ni huku kukuumbeni kwa udongo, kisha mumekuwa watu mnaoenea (kila mahali).
Sherehe Ya Aya
Wataalamu wamefanya utafiti na kugundua kwamba Elements za Mwili wa Binaadamu ni zile zile za Udongo, yaani tunashirikiana. Na hii inathibitisha maneno ya Mwenyeezi Mungu kwamba tunatokana na udongo. Na Elements za udongo zinafanana na Manyota Mengineyo Ulimwenguni/Malimwengu.
Angalia Picha hapa chini ya Wataalamu nayo inatuelezea Elements za Binaadamu ambazo pia ni zile zile zilizopo katika udongo. Tumeumbwa kawa udongo na Tunakula vyakula kutoka katika ardhi na hata wanyama wanakula vyakula hivyo na sisi tunakula nyama hizo. Kuruani ambayo alipewa Mrtume hapo karne ya saba inatufundisha Elimu kubwa kama hizi ambazo leo hii wataalamu wanagundua kwa kutumia Elimu na vyombo mbalimbali vya utafiti. Jambo hili linashangaza na inatuthibitishia kwamba Kuruani ni ya kweli.
Mtaalamu anayejulikana kwa jina Karel Schrivjar Pia amefanya utafiti na kuandika kitabu kinachoelezea habari hizi. Jina la kitabu chake ni “Living with the Stars” How the Human Body is Connected to the Life Cycles of the Earth, the Planets, and the Stars

Elements za Binaadamu ambazo ni sawa na na udongo. Kuruani Kweli ni Muujiza wa hali ya Juu. Allahu Akbar Allahu Akbar.
Video-1
Vijitabu Vinavyozungumzia Miujiza mbalimbali katika Kuruani unaweza kuvisoma bure katika anuani mbili za Mtandao zilizopo katika Video hii. Nakili anuani za Tovuti (Website) kisha uzitafute katika chombo cha utafiti (Browser) cha Mtandao.
Video-2
Video Hii. Nakili anuani ya Tovuti (Website) kisha uitafute katika chombo cha utafiti (Browser) cha Mtandao.
Video-3
Kitabu kipya kinachohusika na Dua za Mitume na Pia Aya Za Kuruani Zinazosaidia Katika Kutibu Maradhi Mbalimbali. Unaweza kuvisoma bure katika anuani mbili za Mtandao zilizopo katika Video hii. Nakili anuani za Tovuti (Website) kisha uzitafute katika chombo cha utafiti (website)
UTABIRI WA BIBLIA KUHUSU UISLAMU NA KUJA KWA MTUME MOHAMED (Amani na Baraka za Mola Zimfikie)
Milango 42, 41 na 27 Hapa chini kutoka kwenye bibilia zinaashiria juu ya Nabii Mohamed. (Sala na Amani Za Mola zimfikie).
Majina Yake na Ujumbe wa Uislamu Aliopewa.
MLANGO WA ISAYA 42
Isaya 42-Namba-1
1-Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea hukumu kwa mataifa ya kigeni (yaani siyo mayahudi).
Na tunapata Majina matatu Ya Mtume Mohamed katika Biblia Isaya Namba 42-1 hapa juu Kama Yafuatayo:
Mtumishi Wangu=In Arabic Abdullah – Abdullah
Mteule Wangu=In Arabic Mustwafa – Mustafa
Kipenzi Cha Mungu=In Arabic Habiybullah – Beloved of God
MAONI
Nabii Mohamed Ali Kuwa na Majina mengine kutokana na sifa zake. Ali julikana kwa majina mengine pia. Ajabu ni kwamba Utabiri wa Biblia uliandika habari hii kabla ya kuja kwa Mtume wa mwisho “Mohamed” (Amani na Baraka za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).
Wayahudi walisoma habari hii. Walijua pia mahali atakapotokea na huenda hii ndiyo sababu ya Wayahudi wengi wakati huo kuishi Madina (Saudi Arabia)na Walikuwa wakimsubiri kwa hamu na furaha kuja kwa Nabii huyu.
Mwenyeezi Mungu anasema katika Sura Ya Ashuraa Sura Namba 26 Ayat 197 Kwamba Mayahudi walijua kuja kwa Mtume.
Did they not have a sign that He should teach him the knowledge of the children of Israel (197)
kwamba “Je! sio ishara kwao kwamba Wanavyuoni wa Wana wa Israili walijua kuwa ni kweli?” (Yaani Utabiri wa Kuja kwa Mtume katika Biblia).
Isaya 42 Namba 2-4
2-Hatalia, wala hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.
3-Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi utokao moshi hatauzima; Atatoa hukumu kwa kweli.
4-Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake.
MAONI
Sifa zote hapo juu zinamuashiria Nabii Mohamed-Sauti yake ilikuwa tulivu, Alikuwa Mvumilivu, Muaminifu na tabia zingine nzuri nyingi.
Isaya 42 Namba 5-14
5 Mungu Bwana anena, yeye aliyeziumba mbingu, na kuzitanda; yeye aliyeitandaza nchi na mazao yake; yeye awapaye pumzi watu walio juu yake; yeye awapaye roho wao waendao ndani yake.
6 Mimi, Bwana, nimekuita katika haki, nami nitakushika mkono, na kukulinda, na kukutoa uwe agano la watu, na nuru ya mataifa;
7 kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa gerezani waliofungwa, kuwatoa wale walioketi gizani katika nyumba ya kufungwa.
8 Mimi ni Bwana; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.
9 Tazama, mambo ya kwanza yamekuwa, nayahubiri mambo mapya; kabla hayajatokea nawapasheni habari zake.
10 Mwimbieni Bwana wimbo mpya, Na sifa zake tokea mwisho wa dunia; Ninyi mshukao baharini, na vyote vilivyomo, na visiwa, nao wakaao humo.
11 Jangwa na miji yake na ipaze sauti zao, Vijiji vinavyokaliwa na Kedari ; Na waimbe wenyeji wa sela , wapige kelele toka vilele via milima.
12 Na wamtukuze Bwana, Na kutangaza sifa zake visiwani.
13 Bwana atatokea kama shujaa; Ataamsha wivu kama mtu wa vita; Atalia, naam, atapiga kelele; Atawatenda adui zake mambo makuu.
14 Siku nyingi nimenyamaza kimya; nimenyamaza, nikajizuia; sasa nitapiga kelele kama mwanamke aliye katika kuzaa; nitaugua na kutweta pamoja.
MAONI
“Wimbo Mpya” katika Mstari wa 10 unaashiria “Quran” (Sheria Mpya, Njia Mpya ya Kuabudu) “Na sifa Zake” zinalingana na kuashiria maelezo ya verses ya kwanza katika kuruani Sura Namba 1 inayosema
Praise be to God, Lord of the Worlds (2)
Sifa ni Zake Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote”.
Wimbo huu Mpya hapa hauashirii Sheria nyingine yoyote isipokuwa Quran. Kwa sababu Nabii Isa mwenyewe alisema katika Biblia Mathayo 5-17 kwamba.
Mathayo 5:17
17- “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza” Kwa hivyo Nabii Isa hakuleta Sheria yoyote mpya lakini alithibitisha yale aliyofundisha nabii Musa katika maisha yake yote. Hata wanafunzi wake Nabii Isa walifuata Sheria ya Musa na hawakuleta mabadiliko yoyote.
Katika Matendo 15:21
Biblia inathibitha habari hizi kwa kusema:
21-“Kwa maana sheria hizi za Musa zimehubiriwa katika masinagogi ya Kiyahudi katika kila mji na kila Sabato kwa vizazi vingi.”
Jina “Kedari” katika Isaya 42-11 ni Mwana wa Ishmaeli kama Biblia inavyosema. (Nabii Ibrahim aliyekuwa Babu wa Manabii wote, alikuwa na watoto wawili wa kiume “Ishmaeli” na Isaka. Nabii Mohamed anatokana na ukoo wa Ishmaeli na Nabii Isa (Yesu) kutoka kwa Ukoo wa Isaka). Wayahudi walikuwa wakimsubiri Nabii Mohamed kama inavyobashiriwa katika Agano la Kale. Na Jina Selani Mlima huko Madinna (Saudi Arabia. Unaweza kutafuta kwenye chombo cha utafiti Google na uthibitishe ukipenda) Isaya 42-12 inatuambia kwamba Vijiji wanavyoishi ukoo wa Kedar vitasherehekea kwa kuja kwa Nabii Mohamed. Hapa vijini ni hapo Sela Yaani sehemu za Madina nchini Saudi Arabia. Maoni yote ya Biblia yanakubalina kwamba hao kina Kedar ni wananchi wa hapo Arabuni. Pia tunaelezwa katika Biblia kwamba Kedari alikuwa mwana wa Ishmaeli, mzaliwa wa kwanza wa Ibrahimu. Mtume Muhammad alikuwa mzaliwa kutokana na nabii Ibrahimu kwa kupitia Ishmaeli na Kedari. Lakini kuna Wachambuzi wa Biblia ambao hupuuza uhusiano kati ya Kedari na Muhammad lakini ukweli haufichiki.
Isaya 42-6 inasema kwamba Nabii (Mohamed) atakuwa Nuru kwa Mataifa. Mataifa hapa ni Binaadamu wote. Kwa hivyo Nabii Mohamed alitumwa kwa Wanadamu wote kama Mwenyezi Mungu Anavyosema katika Quran;
And We have not sent you except as a companion to mankind, a bearer of good tidings and a warner, but most of the people do not know (28)
“Hatukukutuma ila kama Mjumbe kwa watu wote, mwenye kubashiria habari njema, na kuwaonya (madhambi), lakini watu wengi hawaelewi”
Yaani Wayahudi na wasiokuwaa Wayahudi. Nabii Isa alitumwa kwa Wayahudi tu kama vile Bibilia zinavyoshuhudia jambo hili.
Biblia Mathayo 15:24 Nabi Isa Alisema mwenyewe kuwa
24-Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Pia akasema katika Mathayo 10:5
5- Hao Thenashara (Apostles 12 wa yesu au Hawariuna) Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie. (yaani waende kwa mayahudi tu peke yao,
kwani Ujumbe wa Nabii Isa (Yesu) ni kwa Mayahudi tu na sio dunia nzima) Anawashauri Wafuasi wake 12 (Hawariuna) wake kueneza ujumbe kwa Wayahudi tu na sio mataifa mengine.
Mataifa Yamaanisha Wasio Wayahudi. Kwa sababu Ulimwengu haukuwa tayari kupokea Quran.
Hatua kwa hatua Mwenyezi Mungu (Mungu) aliendelea kutuma ujumbe kupitia Mitume mbalimbali mpaka wakati ulipokuwa tayari yaani watu walipokuwa tayari ndiyo alipotuma Ujumbe wa mwisho ambao ni “Quran”. na Hii Inathibitisha kauli ya Nabii Isa (Yesu) katika Yohana 16 Namba 12-14 aliposema kwamba
12-Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa.
13 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, (Yaani Mtume Mwingine) atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.
Na Hakuna Mtume Mwingine aliyekuja tangu wakati huo Mpaka Leo isipokuwa Mtume Mohamed (Amani Na Sala Zake Mola Zimfikie).
Isaya 42 Namba 13
13-Bwana atatokea kama shujaa; Ataamsha wivu kama mtu wa vita; Atalia, naam, atapiga kelele; Atawatenda adui zake mambo makuu.
MAONI
Mtume Muhammad alishiriki katika vita mbalimbali. Alifanikiwa na kuwa mshindi juu ya maadui zake. Ushindi wake Vitani uliamsha wivu mkubwa kati ya maadui zake ambao walitaka kuharibu Juhudi zake, lakini walishindwa kwa kila njia walizotumia. Na ukilinganisha na Nabii Isa (Yesu) utakuta hakuhusika katika Vita vyovyote vile kama Biblia inavyosema katika Mathayo 26:52 kwamba:
52-“Ndipo Yesu akamwambia, Rudisha upanga wako mahali pake, maana wote waushikao upanga, wataangamia kwa upanga”.
Nabi Isa (Yesu) alisema pia katika Yohana 18:36
36 -“Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa”.
Isaya 42 Namba 16-17
16-Nitawaleta vipofu kwa njia wasiyoijua; katika mapito wasiyoyajua nitawaongoza; nitafanya giza kuwa nuru mbele yao; na mahali palipopotoka kuwa pamenyoka. Haya nitayatenda, wala sitawaacha.
17 Watarudishwa nyuma, wataaibishwa sana, hao wanaotumainia sanamu za mawe, na kuziambia sanamu za madini, ninyi ndinyi miungu yetu.
MAONI
Ujumbe wa Nabii Mohamed umetajwa wazi. Aliahidi kuwaongoza watu kwenye Njia iliyonyooka ya Qur’ani na sio njia hizo za giza. Kuwatoa watu kutoka katika ibada za Sanamu na kuwaelekeza katika Dini ya Tauhidi. na tunajua kwamba Uarabuni nzima ilikuwa waabudu sanamu na wakati huo huo Wayahudi walikuwa wanaamini imani ya Mungu mmoja. Isaya 42-16 hapo juu inasema kwamba Waarabu hawakupokea mwonyaji yeyote kwatika maisha yao kabla ya Mtume Mohamed na walikuwa hawana elimu yeyote ya Tawhidi (Monotheistic Giza at kumpwekesha Mungu)yaani walikuwa katika la ujinga Na Quran inathibitisha ukweli huu.
Mwenyezi Mungu anasema katika Sura ya 32 Ayat Namba 3
Do they say, “Have you forged it? Nay, it is the truth from your Lord. That you warn a people that no warner has come to them from before you, so that they may ۡ they are guided (3)
3-“Au wanasema:” ameleta uzushi”? manabii kadhaa kabla yake kama vile;
Moses, Aaron, Josua, Samuel, Nathan, David, Solomon, Micaiah, Hoshea, Amos, Micah, Elijah, Elisha, Jonah, Isaihah, Joel, Habakkuk, Zephaniah, Jeremiah, Ezekiel, Daniel, Haggai, Zechariah, Malachi na Nabii Isa .
kwa hivyo waliujua ujumbe wa tawhiyd.
Isaya 42-17 inasema kwamba wenye kuabudu masanamu watashindwa, na ukweli ni kwamba mwishoni mwa Ujumbe wa Nabii Mohamed Uarabuni Kote ilisafishwa na kuondolewa ibada za Masanamu. Isaya Namba 42-17 hapa inazungumza juu ya wenye kuabudu masanamu na sio Wayahudi mbao walimwamini Mungu mmoja. Ushahidi ni kwamba Warumi walikuwa wanaabudu Masanamu na imani yao hiyo iliwapelekea kuwatesa Wakristo wa Kiyahudi kwa miaka mingi na historia inatuambia kwamba wafuasi wa kikristo Petro na Paulo waliuawa na Warumi kwa ajili ya imani zao. I
saya 42 Namba 18-20
18-Sikilizeni, enyi viziwi; tazameni, enyi vipofu, mpate kuona.
19-Ni nani aliye kipofu, ila mtumishi wangu? Au aliye kiziwi, how mjumbe wangu nimtumaye? Ni nani aliye kipofu, how yeye aliye na amani? Naam, kipofu kama mtumishi wa Bwana?
20-Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; Masikio yake ya wazi, lakini hasikii.
MAONI
Kama ilevyo katika Quran Mwenyezi Mungu huwaita wanaadamu waliopotea kama ni viziwi, bubu na vipofu. Mwenyezi Mungu anasema kwamba Nabii Mohamed sio kipofu au Kiziwi bali ni Mtu kamili na Yeye ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu. sheria mpya, italeta nuru kwa watu wa mataifa.
Isaya 42 Namba 21
21-Bwana akapendezwa, kwa ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na kuiadhimisha.
MAONI
Sheria mpya [ya Uislam] tangu mwanzo ilitukuzwa na mataifa mengi ambayo yalikubali heshima ambayo dini mpya iliwaletea.
Isaya 41
Isaya 41 Namba 2
2-Ni nani aliyemwinua mmoja atokaye mashareki, ambaye katika haki amemwita mguuni pake? Ampa mataifa mbele yake, na kumtawaza juu ya wafalme; awatoa wawe kama mavumbi kwa upanga wake, kama makapi yaliyopeperushwa kwa upanga wake.
Isaya 41 Namba-25
25- Lakini nimeamsha kiongozi atakayekuja kutoka kaskazini. Nimemwita kwa jina kutoka mashareki. Nitampa ushindi juu ya wafalme na wakuu. Atawakanyaga kama mfinyanzi avyokanyaga udongo.
MAONI
Ni Ubashiri kwamba Mtu mwadilifu [Muhammad] kutoka mashariki [kutokana na Ukoo wa Ishmael Mtoto wa Mtume Ibrahim] Atakuja.
Ezekiel 27:21
21-Arabuni, na wakuu wote wa Kedari, ndio waliokuwa wafanya biashara wa mkono wako; kwa wana-kondoo, na kondoo waume, na mbuzi; kwa hao walifanya biashara nawe.
MAONI
Kedari (Asili ya Waarabu) na watoto wake waliishi Uarabuni kama vile aya hii inavyosema
NAMBA 7 IMEPEWA UTUKUFU NA MWENYEEZI MUNGU KAMA ALIVYOIPA NAMBA 1 NA NAMBA 19
Mpangilio Wa Kuruani
Sayansi Ya juu iliyotumika katika Maumbile ya Ulimwengu (Au Malimwengu) inatuthibitishia Utukufu na Ukubwa wake Muumba ambaye ni Mwenyeezi Mungu.
Elimu yake imezunguka kila kitu. Kila kilichoumbwa, kinachoumbwa au kitakachoumbwa ni kwa hekima kubwa na siyo kienyeji kama Mwenyeezi Mungu alivyosema katika kuruani Tukufu:
Surah Ya Al-Imran Namba 3 Aya Namba 191
Those who remember God standing, sitting, and on their sides, and reflect on the creation of the heavens and the earth, their Lord. I did not create this for nothing. Glory be to You, so we will save you from the punishment of the Fire (191)
Tafsiri.
Ambao humkumbuka Mwenyezi Mungu wakiwa wima na wakikaa na wakilala. Na hufikiri umbo la mbingu na ardhi (pia. ‘Namna gani Mwenyezi Mungu alivyoumba’. Wakasema:) “Mola wetu! Hukuviumba hivi bure. Utukufu ni wako. Basi tuepushe na adhabu ya Moto.”
kwa mfano kila nyota au umbile lolote angani limejaaliwa katika sehemu yake na vipimo vya umbali baina ya viungi hivyo ni kwa kadiri maalum ambapo ingelikuwa siyo hivyo basi ulimwengu usingekuwa katika hali tuliyonayo. Kama Ardhi ingekaribia Jua hata kwa hesabu ndogo chini ya milimeter moja basi tungeungua kwa joto na iwapo Ardhi hii ingekuwa mbali na Jua kwa hesabu ndogo chini ya milimeter moja basi tungeganda kwa baridi. kila umbile Angani ni mfano huu. Kila nyota imepangiliwa umbali na nyinginezo kwa hekima sana na laiti ingekhalifu mpangilio huu basi ulimwengu ungeanguka na kusingekuwa na uhai ardhini.
Na kila kitu amekiumba kwa kadiri na vipimo vya hali ya juu. Kwa mfano Earth Surface Gravity, Distance between Celestial Bodies, Thickness of Earth Crust, Earth’s Inclination of Orbit, Rotation Period of the Earth, Magnetic Field, Vipimo Vya Elements katika Hewa, Universe Expansion Rate, Solar System.
Maumbile ya Viumbe vyake yatahitaji vitabu na vitabu kuorodheshwa na kuna Mengineyo ambayo hatujui isipokuwa yeye Mwenyewe Mwenyeezi Mungu Mtukufu. Na hivyo hivyo haiwezekani Kuruani ambayo ni maneno yake kuwa bila ya mpangilio wowote.
Kwa hiyo tukichunguza Kuruani tutakuta kuna mpangilio wa hali ya juu sana. Kuna Maajabu yasiyo na mwisho. Na Elimu Za Sayansi mbalimbali as vile za Jamii au za Maumbile Ya Ulimwengu na Nyinginezo zinasaisia katika kuielewa Kuruani vizuri zaidi, kwani Kuruani ni Kitabu Kilichokusanya Elimu zote Tunazozijua na Tusizozijua.
Hatuwezi Kujigamba kwamba tutazungumzia Muujiza wa Namba 7 katika Kuruani katika maandishi machache kama haya lakini tutagusia tu kwani watu wameshafanya utafiti na maandishi yaliyopo ni mavitabu makubwa yaliyojaa utafiti huu. Alhamdulilahi Nitagusia kidogo ili tupate kujua angalau kidogo muujiza huu.
Mlinganisho baina ya sura ya mwanzo na ya mwisho katika kuruani(Alfatiha na Al-Nas)
In the name of God, the Most Merciful, the Most Merciful (1) Praise be to God, Lord of the worlds (2) The Most Gracious, the Most Merciful (3) The King of the Day of Judgment (4) Thee we worship, and Thee we seek help (5) Show us the straight path (6) The path of those whom Thou hast bestowed upon May those who are not angry be upon them, nor those who go astray (7)
Sura Hii inajulikana kwa majina mbalimbali. La kwanza ni Alfatiha, Inajulikana pia kwa Jina la Sabaa al-Mathani Lenye maana ya “Saba Zenye Kukariri” yaani Aya saba zenye Kukariri katika sala zetu. Tunaposali tunasoma Kila Rakaa Sura Ya Alfatiha na kwa hiyo inakariri kariri kila mara katika sala zetu. Na sura hii ina sifa za Mwenyeezi Mungu Mtukufu; Aya Nne za mwanzo zinamsifu Mwenyeezi Mungu kwa sifa zake; Alhamdu, Arrahman, Arrahim na Malik.
Namba 7 Katika Sura Ya Alfatiha
Tukichunguza herufi za Jina lake Mwenyeezi Mungu “Allah” katika sura hii tutapata hesabu zifuatazo:
Herufi zilizotumika katika jina lake Mola yaani Allah ni, Alif, Lam and Haa . Alif Katika sura ya Alfatiha imetumika mara 22, Lam imetumika mara 22 na Haa imetumika mara 5, kwa hiyo jumla tunapata herufi; 22 + 22 + 5 = 49 na hii namba ni sawa na 7 X 7 Je unaona Namba Saba hapa. Kwanza Sura hii in Aya 7 na kisha herufi za jina la Allah zimetumika mara 49 ambazo ni sawa na 7 X 7
Namba 7 Katika Sura Ya A-nnas
In the name of God, the Most Merciful, the Most Merciful. Say, I seek refuge in the Lord of the people (1) The King of the people (2) The God of the people (3) From the evil of whispers Al-Khanas (4) Who whispers in people’s breasts (5) From heaven and people (6)
Sasa tulinganishe na Sura Ya Annas ambayo ni ya mwisho katika mpangilio wa kuruani (ni sura namba 114). Neno Annas lina maana ya “Binaadamu” yaani inatuhusu sisi Binaadamu. Sura Hii Imetumia Neno “Annas” mara 5.
Kama hapo Juu katika sura ya Alfatiha tutafute Herufi za Neno “Annas” katika sura hii. Tutapata yafuatayo:
Herufi tutakazotafuta ni Alif, Allam,Nun na Sin ambazo ni hizi tu zilizotumika katika kuundwa neno “Annas” tusihesabu zilizokariri. 7; Alif katika Sura Ya “Annas” Zipo 18, Lam zipo 12, Nun zipo 9 na Sin zipo 10 na ukijumlisha (18 + 12 + 9 + 10 = 49) utapata 49 ambayo ni 7 x 7 je unaona Namba zilivyopangika.
Hapa tumefanya utafiti katika Sura ya mwanzo na ya mwisho wa Kuruani na tumeona Herufi zilivyotumika. Katika Sura ya kwanza jumla ya herufi za Allah zilizotumika ni 49 na pia Katika Sura Ya pili jumla ya herufi za Annas zilizotumika ni 49 pia!!!!! unaona mpangilio wa kushangaza huo?
Aya Ya mwanzo katika Sura Ya Alfatiha Ni
In the name of God, the most gracious, the most merciful
Nayo ina maneno manne na Aya Ya Mwisho katika Sura Ya “Annas”
From heaven and people
Ina maneno matatu na ukijumlisha 4 + 3 = 7 unapata namba 7 hii inashangaza sana.
Na Muujiza mwingine wa kushangaza zaidi ni jumla ya herofi hizi zote tulizozichambua hapa juu katika sura mbili. Ukizifanyia Utafiti kama hapa juu yaani Herufi Alif katika sura mbili utakuta imetumika mara 40, herufi Lam imetumika mara 34, Herufi Haa imetumika mara 7, Herofi Nun imetumika mara 20 on Herofi Sin imetumika mara 13 na Jumla ni 114 yaani Alif 40 + Lam 34+ Ha 7 + Nun 20 + Sin 13 = 114 (Idadi Ya Sura Za Kuruani ni 114) na 114 ni Idadi Ya sura zote za Kuruani. Yaani katika Sura Ya Mwanzo na Ya Mwisho Idadi ya Herufi za neno Allah na Annas (Jina la Mola “Allah” na “Annas” yaani Binaadamu ni sawa na Kuruani Nzima. (Idadi Ya Sura Zote za Kuruani).
Je unaona Maajabu Yasiyo na Mwisho? Mpangilio wa kiajabu? Je hatutishiki? Hii Inaonyesha kwamba Yule yule aliyeumba ulimwengu na akajaalia Elimu ya Mahesabu basi ni yule yule aliyeshasha kuruani ambayo ina maajabu yasiyo na mwisho. Laiti binaadamu angejaribu kubadili mpangilio huu; How do you feel kuzidisha au kupunguza herufi je tungepata muujiza huu? Je huoni kwamba kuruani haijaguswa tangu kushushwa kama alivyoahidi Mwenyeezi Mungu kwamba ataitunza kuruani hii kama alivyoshusha mpaka atakapopenda kuirithi mwenyewe Elimu yake katika wakati na sehemu atakayopenda Mwenyewe.
Mwenyeezi Mungu Ameichagua Namba Saba Kutoka katika Namba nyinginezo. (Namba 1 inaashiria upweke wake na ndiyo imetumika sana kuliko herufi yoyote katika kuruani tukufu na namba 19 ameitaja utukufu wake katika Sura Ya Almudathir)
Namba 7 Imetumika katika dini na ulimwengu kwa mfano Chembe Ndogo Ya Atom ina Matabaka (shells) 7/ Mbingu Kaumba Matabaka 7/ Ardhi Matabaka 7/ Mecca Watu Wanazunguka Kaaba Mara 7/ Safwa Wal-Marwa Ni Mara 7/ Idadi ya Vijiwe Katika Hija Hutupwa Kumpiga Shaytwan Ni 7/Viungo Vyetu Vinavyotumika katika Swala ni 7 (Paji La Uso + Mikono Miwili + Vidole Vya Miguu Miwili + Magoti Mawili = 7). Na Hivyo Hivyo Amejaalia Kuruani katika Mpangilio wa Namba 7 kiajabu sana. Kwa Mfano Namba Ya Kwanza Kutajwa Katika Kuruani baada Ya Sura ya Alhamdu Ni Namba 7 Ambayo Inazungumzia Mbingu 7, Aya Hii ni Ya 29 Katika Sura Ya Albakarah. Nayo Imetanguliwa Na Aya 28 Ambazo Ni 7 X 4. Yaani Hiyo 28 Ni Multiple ya Namba 7. /Mbingu in matabaka 7 (Tumezungumzia kwa kirefu Katika Website Hii katika Mlango wa “Elimu Za Anga”) /Light au Mwanga una rangi 7 (A prism separates white light into a group of seven colors called a spectrum. These seven colors are always in the same order.The colors of the spectrum are red, orange, yellow, green, blue, indigo, and violet.)/Siku Ni 7 (Monday-Tuesda-Wed-Thur-Frid-Sat-Sun). Jumamosi-Jumapili-Jumatatu-Jumanne-Jumatano-Alkhamisi-Ijumaa./Shells Za Atom yeyote ile ni 7 (kila shell inabeba electrons).
Na Kuruani inathibitisha namba hii 7 kiajabu sana na inatupa imani zaidi kwamba kitabu hiki ni chake Mwenyeezi Mungu Mtukufu kwani Hii namba 7 ni mojawapo ya namba iliyopewa utukufu na Mwenyeezi Mungu. Kama vile alivyoumba ulimwengu kwa hekima na kwa kukadiria kwa kutumia elimu ya juu basi hivyo hivyo alivyoipanga kuruani katika mpangilio wa Aya kiajabu sana. Mwenyeezi Mungu Anasema kuhusu Elimu Yake katika Aya ifuatayo:
Sura Namba 65 Aya Namba 12
It is God who created seven heavens, and from the earth like them descends between them, so that you may know that God has power over all things, and God has encompassed all things with knowledge (12)
Tafsiri: .
Mwenyezi Mungu ni yule ambaye ameziumba mbingu saba, na ardhi kuwa mfano wa hizo. Amri (zake) zinashuka baina yao, ill mujue kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu, na kwamba Mwenyezi Mungu amekizunguka kila kitu kukijua ( vilivyo kwa ilimu yak e).
Ajabu Nyinginezo za Namba 7:
Ameumba Mbingu 7 na Ibara “Mbingu 7” zimetajika katika kuruani mara 7 tu. Yaani katika kuruani kuna aya 7 tu. (Tumezitaja Aya Hizo Katika Mlango “Elimu za Anga” wa website hii) / Namba 7 Ndiyo ya kwanza kutajika kuanzia mwanzo wa kuruani. Yaani katika Aya namba 29 ya sura ya Albakarah. Hakuna namba yeyote nyingine kabla yake.(Kuanzia sura ya Alhamdu).
Sura Ya Alhamdu in Aya 7 (Katika Aya Asbaa Almathaniy) na Herufi zilizotumika (Sura Ya Alfatiha)za lugha ya kiarabu ni 21 kutoka katika herufi 28. Na hizi 21 ni (7 X 3). /Jina la Mwenyeezi Mungu “Allah” limetumia Herufi 3 nazo ni (Alif, Lam na Ha) Herufi hizi zimeripiti katika sura hii kama ifuatavyo (22 + 22 + 5 = 49) mbyo ni 7 X 7
Sehemu Hii Ya Muujiza wa Namba 7 Unaendelea katika Mlango wa
“Miujiza Ya Kuruani Namba 2”
MUUJIZA WA MADINI YA FEDHA (SILVER)
Katika Kuruani kuna Aya Mbili tu zenye kutumia Neno Fedha ambazo tunazozijua (kwani kuna Aya Nyinginezo zinazozungumzia Fedha au Silver ya huko Akhera)
1/Sura Namba 3 Aya namba 14 Inayozungumzia Fedha (Silver) Tunazozijua
2/Na Aya ya pili Inayozungumzia Fedha Pia. Sura Namba 9 Aya Namba 34 na Aya Inayofuata namba 35 inazungumzia kuyayushwa kwa Fedha katika Moto wa Jahannam. Kwa hiyo Aya Namba 34 inaambatana kimaana na Aya namba 35.
Mara Ya kwanza Kutajika Kwa Madini Ya Fedha ni katika Sura Namba 3 Aya namba 14) Sura Ya Al-Imran ambayo Mwenyeezi Mungu anatuambia kwamba Fedha (Silver), Dhahabu, Wanawake, Watoto, Wanyama wa Mifugo kama vile Farasi na Wengineo, Ardhi za vilimo zote hizi ni katika Mapambo ya Dunia lakini kwa Mwenyeezi Mungu kuna bora zaidi kwani haya ni ya dunia na ya baadaye huko akhera ni ya milele.
Quran 3:14
14 Beautified for people the love of desires of women and children, and heaped-up heaps of gold and silver, and branded horses, and now General and tillage. This is the enjoyment of the life of this world. And God has a good return with Him.
TAFSIRI YA AYA
Adorned for people is the love of desires, such as women and children, and piles upon piles of gold and silver, branded horses, livestock and fields. These are the conveniences of the worldly life, but with Allah lies the finest resort.
Na Mara ya Pili Kutajika Kwa Madini Fedha ni katika Sura Namba 9 Aya Namba 34 Sura Ya Al-Tawbah. Aya ifuatayo namba 35 inahusiana na Kuyayushwa kwa Fedha hiyo kwa moto wa Jahannam na kisha Kuadhibiwa Hao wanaokula Mali kwa Njia ya Haramu na Pia wenye Kurundika Fedha na Dhahabu na Hawatoi Kwa Njia Ya Mweneezi Mungu.
34 O you who have believed, indeed many rabbis and monks devour people’s wealth unjustly and avert from the path of God. Those who hoard up gold and silver and do not spend it in the way of God, announce to them a painful punishment for 35 days. Then their foreheads, their sides, and their backs would be branded with it. This is what you hoarded up for yourselves, so taste what you were hoarding
TAFSIRI YA AYA
O you who believe! Many of the rabbis and priests consume people’s wealth illicitly, and hinder from Allah’s path. Those who hoard the gold and the silver, and do not spend them in Allah’s cause, inform them of a painful punishment. On the day when they will be heated in the Fire of Hell, then their foreheads, their sides, and their backs will be branded with them: “This is what you hoarded for yourselves; so taste what you used to hoard.”
SHEREHE ZA AYA KISAYANSI
Aya Ya kwanza inayohusiana na Fedha (Silver) ni ile Fedha (Silver) tunayoijua. Ama Fedha katika Aya Ya Pili inazungumziwa kuyayushwa kwa Fedha. Muujiza wa kushangaza ni kwamba. Idadi ya Aya Baina Ya Aya Hizi Mbili, Kuanzia Sura Namba 3 Aya Namba 14 mpaka Sura Namba 9 Aya namba 34 ni Jumla Ya Aya 962 Na namba hii Kisayansi inahusiana na Melting Point ya Fedha. (Silver Melting Point ni 961.8 °C. Na namba Hii kihesabu ni sawa na 962 °C (Inajulikana katika Elimu ya Mathematics kama “Rounding Up”). Je unaona Muujiza katika Kuruani. Baina Ya Aya Hizi Mbili tunapata Melting Point ya Silver ambayo inajulikana na wataalamu wa chemistry Allahu Akbar Ukitafuta katika Google melting point of Silver utapata namba hii.
Angalia ushahidi nimeambatanisha hapa chini ambayo nimeuchukua kutoka katika Google . Allahu Akbar Hii Nathibitisha kwamba Kuruani Ni Muujiza Mkubwa sana.

Uthibitisho wa Melting Point Ya Silver kutoka katika Google. Allahu Akbar.